Hivi ladies especially wa Tanzania huwa mnatuchukuliaje wanaume ambao hatuna sauti nzito?

Hivi ladies especially wa Tanzania huwa mnatuchukuliaje wanaume ambao hatuna sauti nzito?

Kuna huyu hapa mwamba wa kaskazini jamaa ana sauti flani amaizing inanipeleka mbali mpk nasahau shida za dunia.
Nyie wenye sauti km kuku muungane na Moze Iyobo kukata mauno dabilisibiu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu!!! Onea watu huruma hata kdg.
 
Sasa unataka tufanane sauti,?

Mwanaume asipokua na ndevu,asipokua na sauti nzito huwa simwelewi,,,,,,sijuh namuonaje

Napenda mwanaume awe mwanaume,awe na sauti ya mamlaka

Yaani akiniambia sitaki ufanye kitu flani basi naacha.

Mwanaume nikiongozana naye basi nijione niko salama

Sasa ndevu huna

Sauti nzito flan huna

🤔🤔🤔

Aaaaaaaaah
I LOVE YOU JOA!!💞💞
 
Mnavyojadili utafikiri mna uwezo wa kujiongeza hata unywele mmoja tu. hao mnaowasema na sauti gani sijui hawakujiumba. hivyo hivyo na kwa wanawake wenye sauti za kiume, wanaume wasio na ndevu vs wanawake wenye ndevu, au sisi wanaume weney garden love vs wengine ambazo pengine hawana garden, warefu kwa wafupi, wanene kwa wembamba, weusi na weupe n.k. hayo yote ni Mungu amefanya, cha muhimu tu wewe kama ulizaliwa mwanaume uishi kama mwanaume, and vise versa is true.

Kenya kuna dada mmoja anaitwa Sara Kiarike (wengi humwita Sara K), anaimba vizuri sana. inasemakana alizaliwa pacha na mwenzake, mwezie alikua na uwezo sana darasani, yeye hakuwa na uwezo, mwenzie alipendwa yeye mara nyingi alikuwa akishindwa anatukanwa " lisauti lako kubwa", Mungu alimpandisha polepole kwa lile lile lisauti likubwa kama la mwanaume likiimba akawa mwanamziki mkubwa sana anayeimba hata kwenye hafla za kitaifa mbele ya Rais wa nchi. Anajulikana na kuheshimika duniani kuliko hata mwenzake ambaye hata hatumjui.

hapo ndipo nilijifunza kutobagua watoto wala kuonyesha kumpenda huyu zaidi ya mwingine. mwanangu hata akifelis huleni kuliko wenzake huwa simkatishi tamaa, namwambia mbona umejitahidi tu, siku nyingine utafanya vizuri zaidi ya hivi, kazana. basi, ila siwezi kumwambia wewe huna akili kuliko fulani au kwanini fulani amefauli wewe umefeli?
 
Mnavyojadili utafikiri mna uwezo wa kujiongeza hata unywele mmoja tu. hao mnaowasema na sauti gani sijui hawakujiumba. hivyo hivyo na kwa wanawake wenye sauti za kiume, wanaume wasio na ndevu vs wanawake wenye ndevu, au sisi wanaume weney garden love vs wengine ambazo pengine hawana garden, warefu kwa wafupi, wanene kwa wembamba, weusi na weupe n.k. hayo yote ni Mungu amefanya, cha muhimu tu wewe kama ulizaliwa mwanaume uishi kama mwanaume, and vise versa is true.

Kenya kuna dada mmoja anaitwa Sara Kiarike (wengi humwita Sara K), anaimba vizuri sana. inasemakana alizaliwa pacha na mwenzake, mwezie alikua na uwezo sana darasani, yeye hakuwa na uwezo, mwenzie alipendwa yeye mara nyingi alikuwa akishindwa anatukanwa " lisauti lako kubwa", Mungu alimpandisha polepole kwa lile lile lisauti likubwa kama la mwanaume likiimba akawa mwanamziki mkubwa sana anayeimba hata kwenye hafla za kitaifa mbele ya Rais wa nchi. Anajulikana na kuheshimika duniani kuliko hata mwenzake ambaye hata hatumjui.

hapo ndipo nilijifunza kutobagua watoto wala kuonyesha kumpenda huyu zaidi ya mwingine. mwanangu hata akifelis huleni kuliko wenzake huwa simkatishi tamaa, namwambia mbona umejitahidi tu, siku nyingine utafanya vizuri zaidi ya hivi, kazana. basi, ila siwezi kumwambia wewe huna akili kuliko fulani au kwanini fulani amefauli wewe umefeli?
Ujumbe mzuri sana.
 
Sasa unataka tufanane sauti,?

Mwanaume asipokua na ndevu,asipokua na sauti nzito huwa simwelewi,,,,,,sijuh namuonaje

Napenda mwanaume awe mwanaume,awe na sauti ya mamlaka

Yaani akiniambia sitaki ufanye kitu flani basi naacha.

Mwanaume nikiongozana naye basi nijione niko salama

Sasa ndevu huna

Sauti nzito flan huna

🤔🤔🤔

Aaaaaaaaah
Ndevuu zangu sinyoi ata iweje
 
Mnavyojadili utafikiri mna uwezo wa kujiongeza hata unywele mmoja tu. hao mnaowasema na sauti gani sijui hawakujiumba. hivyo hivyo na kwa wanawake wenye sauti za kiume, wanaume wasio na ndevu vs wanawake wenye ndevu, au sisi wanaume weney garden love vs wengine ambazo pengine hawana garden, warefu kwa wafupi, wanene kwa wembamba, weusi na weupe n.k. hayo yote ni Mungu amefanya, cha muhimu tu wewe kama ulizaliwa mwanaume uishi kama mwanaume, and vise versa is true.

Kenya kuna dada mmoja anaitwa Sara Kiarike (wengi humwita Sara K), anaimba vizuri sana. inasemakana alizaliwa pacha na mwenzake, mwezie alikua na uwezo sana darasani, yeye hakuwa na uwezo, mwenzie alipendwa yeye mara nyingi alikuwa akishindwa anatukanwa " lisauti lako kubwa", Mungu alimpandisha polepole kwa lile lile lisauti likubwa kama la mwanaume likiimba akawa mwanamziki mkubwa sana anayeimba hata kwenye hafla za kitaifa mbele ya Rais wa nchi. Anajulikana na kuheshimika duniani kuliko hata mwenzake ambaye hata hatumjui.

hapo ndipo nilijifunza kutobagua watoto wala kuonyesha kumpenda huyu zaidi ya mwingine. mwanangu hata akifelis huleni kuliko wenzake huwa simkatishi tamaa, namwambia mbona umejitahidi tu, siku nyingine utafanya vizuri zaidi ya hivi, kazana. basi, ila siwezi kumwambia wewe huna akili kuliko fulani au kwanini fulani amefauli wewe umefeli?
Mnavyojadili utafikiri mna uwezo wa kujiongeza hata unywele mmoja tu. hao mnaowasema na sauti gani sijui hawakujiumba. hivyo hivyo na kwa wanawake wenye sauti za kiume, wanaume wasio na ndevu vs wanawake wenye ndevu, au sisi wanaume weney garden love vs wengine ambazo pengine hawana garden, warefu kwa wafupi, wanene kwa wembamba, weusi na weupe n.k. hayo yote ni Mungu amefanya, cha muhimu tu wewe kama ulizaliwa mwanaume uishi kama mwanaume, and vise versa is true.

Kenya kuna dada mmoja anaitwa Sara Kiarike (wengi humwita Sara K), anaimba vizuri sana. inasemakana alizaliwa pacha na mwenzake, mwezie alikua na uwezo sana darasani, yeye hakuwa na uwezo, mwenzie alipendwa yeye mara nyingi alikuwa akishindwa anatukanwa " lisauti lako kubwa", Mungu alimpandisha polepole kwa lile lile lisauti likubwa kama la mwanaume likiimba akawa mwanamziki mkubwa sana anayeimba hata kwenye hafla za kitaifa mbele ya Rais wa nchi. Anajulikana na kuheshimika duniani kuliko hata mwenzake ambaye hata hatumjui.

hapo ndipo nilijifunza kutobagua watoto wala kuonyesha kumpenda huyu zaidi ya mwingine. mwanangu hata akifelis huleni kuliko wenzake huwa simkatishi tamaa, namwambia mbona umejitahidi tu, siku nyingine utafanya vizuri zaidi ya hivi, kazana. basi, ila siwezi kumwambia wewe huna akili kuliko fulani au kwanini fulani amefauli wewe umefeli?
Pongezi sana ndugu yangu, namshukuru Mungu kunijalia kutokumkosoa mtu kwa vile alivyo umbwa.
Zaidi ya kumshukuru Mungu kwa mtu yoyote aliye mbele yangu haidhuru yu wa namna gani.
 
Kama una pesa basi wala usijali, hiyo ni booonge la sauti.
 
Mnavyojadili utafikiri mna uwezo wa kujiongeza hata unywele mmoja tu. hao mnaowasema na sauti gani sijui hawakujiumba. hivyo hivyo na kwa wanawake wenye sauti za kiume, wanaume wasio na ndevu vs wanawake wenye ndevu, au sisi wanaume weney garden love vs wengine ambazo pengine hawana garden, warefu kwa wafupi, wanene kwa wembamba, weusi na weupe n.k. hayo yote ni Mungu amefanya, cha muhimu tu wewe kama ulizaliwa mwanaume uishi kama mwanaume, and vise versa is true.

Kenya kuna dada mmoja anaitwa Sara Kiarike (wengi humwita Sara K), anaimba vizuri sana. inasemakana alizaliwa pacha na mwenzake, mwezie alikua na uwezo sana darasani, yeye hakuwa na uwezo, mwenzie alipendwa yeye mara nyingi alikuwa akishindwa anatukanwa " lisauti lako kubwa", Mungu alimpandisha polepole kwa lile lile lisauti likubwa kama la mwanaume likiimba akawa mwanamziki mkubwa sana anayeimba hata kwenye hafla za kitaifa mbele ya Rais wa nchi. Anajulikana na kuheshimika duniani kuliko hata mwenzake ambaye hata hatumjui.

hapo ndipo nilijifunza kutobagua watoto wala kuonyesha kumpenda huyu zaidi ya mwingine. mwanangu hata akifelis huleni kuliko wenzake huwa simkatishi tamaa, namwambia mbona umejitahidi tu, siku nyingine utafanya vizuri zaidi ya hivi, kazana. basi, ila siwezi kumwambia wewe huna akili kuliko fulani au kwanini fulani amefauli wewe umefeli?
ili nalo ni neno zuri kutoka kwa Roho Mt. Mungu akulinde
 
Kuna sauti ndogo afu kuna sauti mbaya...
Mimi ninavyo vyote. Naishi kwa stress sana juu hili
 
Back
Top Bottom