SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ndiyo maana nimekuambia kuwa yaweza kuwa nia yako ni kutaka kujua lakini akina Faiza Foxy na genge lake watakuja kubadilisha upepo hivyo kukaribisha malumbano badala ya kuelimishana.Mimi mwenyewe ni Mkristo Mkuu, ila sioni kama ni dhambi kuuliza.
Uzuri zaidi Yesu alisema Lazaro alilala usingizi katika kifo na alimfufua au alimuamsha kutoka usingizi wa kifo. Nothing going on alipokufa na alipofufuliwa hakueleza lolote... Muhimu Yesu alisema aliamka usingizi katika kifoKuzimu ni kaburini.
Aliibuka kama mtu aliyetoka kulala.
Angekuwa mahali bora angeibuka na kumalumu Yesu kwa nini kamrudisha kwenye shida za dunia?
Mkuu kwa hii Kasi yako ya kuichunguza biblia, sioni kama utaendelea kuhudhuria kanisani. Mimi baada ya kuanza kujiuliza maswali kama yako, kwa sasa nimebaki mromani mstaafu. Naongea na Mungu direct sitaki tena hivyo vitabu.Imani yako ni ya kijinga.
😆😆😆😆😆Mimi sio msomaji mzuri wa Bibilia, ila nimesikia habari ya Lazoro kufa na baadae kufufuliwa na Yesu wakati Yesu bado yuko hapa duniani na tena tunaambiwa alikuwa anatoa harufu.
Swali ni je, Lazaro alihadithia nini kuhusu kifio au hakusema chochote?
Kwa mfano, wakati anakata roho, nini hasa kilitokea?
Na je, alikufa mara ya pili au ilikuwaje?
Mwenye majibu tafadhali.
Lazaro wapo wawiliHuyu Lazaro anatuchanganya, niliwahi kuuliza hapa makuhani na manabii wote wa humu walikwepa kujibu
- Tunaambiwa Lazaro alikufa akaenda kustarehe mikononi na kifuani kwa Ibrahimu, je aliyemuona yuko na Ibrahimu ni nani? Alifikishaje hizo taarifa duniani?
- Lazaro alipokufa akafufuliwa na Yesu alikuwa amerudi lini toka kwa Ibrahimu?
- Tunaambiwa tajiri aliyemtesa Lazaro alimuomba Mungu amtume Lazaro duniani kuwaambia ndugu zake na tajiri watende mema, je hayo maneno yalishuhudiwa na nani?
Tumepewa akili na marifa ila kuhoji mambo haya ni kukufuru Mungu.Mkuu kwa hii Kasi yako ya kuichunguza biblia, sioni kama utaendelea kuhudhuria kanisani. Mimi baada ya kuanza kujiuliza maswali kama yako, kwa sasa nimebaki mromani mstaafu. Naongea na Mungu direct sitaki tena hivyo vitabu.
Ulimuhoji Lazaro!?Hizo ni stori tu zisizo na kichwa wala miguu.
Lazaro hakuhadithia chochote kwa sababu hakukumbuka chochote kwa sababu hakukua na chochote.
Kuna miungu zaidi ya 3,000, stori nyingi tunazoambiwa ni kuhusu muungu mmoja wa kiyahudi. Hapo ndipo utapeli ulipo.
Mungu wa kwenye biblia ama quran hayupo.
Mimi sio msomaji mzuri wa Bibilia, ila nimesikia habari ya Lazoro kufa na baadae kufufuliwa na Yesu wakati Yesu bado yuko hapa duniani na tena tunaambiwa alikuwa anatoa harufu.
Swali ni je, Lazaro alihadithia nini kuhusu kifio au hakusema chochote?
Kwa mfano, wakati anakata roho, nini hasa kilitokea?
Na je, alikufa mara ya pili au ilikuwaje?
Mwenye majibu tafadhali.
Maandiko yananichanganya sana na kwakweli niko katikati kama yote tunayoyasoma katika vitabu hivi ni ya kweli.Kabla ya kuchangia chochote kwenye uzi huu, nina maswali haya kwanza...
1. Je, unamwamini Yesu Kristo?
2. Je, unaamini katika Biblia?
Wewe ndo mjinga mlevi wa imani bila ku reason vituMaswali yako ni ya kijinga.
Ule ni mfano tu. Si jambo halisi. Kuna somo refu pale, unatakiwa kuanza kusoma mistari kadhaa nyuma kujua Mwana wa Mungu alikuwa anazungumzia nini.Yule aliyekula makombo je? Biblia inasema alikufa wakakutana na tajiri mbinguni
Yule jamaa ni stad up comedian. Hana uchungaji wowote.Tumepewa akili na marifa ila kuhoji mambo haya ni kukufuru Mungu.
Leo hii nimesikio clip ya Mchungaji mmoja maarufu sana(Mchungaji Daniel Mgogo) ambae clip zake husambaa sana mitandaoni akisema, "waliodai Israeli ni Taifa teule,ni Manabii wa Kiyahudi".
Sasa hyu Mchungaji nae anahoji/anapingana na maandiko kama kina sisi?
Mambo mengi muda mchache.
Unajuaje alikuwa kuzimu?Mimi sio msomaji mzuri wa Bibilia, ila nimesikia habari ya Lazoro kufa na baadae kufufuliwa na Yesu wakati Yesu bado yuko hapa duniani na tena tunaambiwa alikuwa anatoa harufu.
Swali ni je, Lazaro alihadithia nini kuhusu kifio au hakusema chochote?
Kwa mfano, wakati anakata roho, nini hasa kilitokea?
Na je, alikufa mara ya pili au ilikuwaje?
Mwenye majibu tafadhali.
Hayo maelezo ni ya Yesu mwenyewe na kumbuka Yesu alifundisha kwa mifano.Huyu Lazaro anatuchanganya, niliwahi kuuliza hapa makuhani na manabii wote wa humu walikwepa kujibu
- Tunaambiwa Lazaro alikufa akaenda kustarehe mikononi na kifuani kwa Ibrahimu, je aliyemuona yuko na Ibrahimu ni nani? Alifikishaje hizo taarifa duniani?
- Lazaro alipokufa akafufuliwa na Yesu alikuwa amerudi lini toka kwa Ibrahimu?
- Tunaambiwa tajiri aliyemtesa Lazaro alimuomba Mungu amtume Lazaro duniani kuwaambia ndugu zake na tajiri watende mema, je hayo maneno yalishuhudiwa na nani?
Kulala; more appropriately kulala mauti ni njia nyingine (polite way) ya kusema kafa. Haimaanishi kufa ni sawa na kulala fofo ambako hata kuoza mtu haozi tofauti na kufa.Kifo ni kama Usingizi mzito. Ndiyo maana Yesu aliwaambia rafiki yetu Lazaro amelala ila naenda kumuamsha. Wakamwambia, "Kama kalala si ataamka!" Lakini Yesu alikuwa anamaanisha kafa. Ukifa huna tofauti na mtu aliyelala fofofo.