Hivi Lazaro aliyefufuliwa na Yesu, alitoa ushuhuda gani kuhusu kuzimu baada ya kufufuka?

Ni mifano tu alikuwa anatoa bwana Yesu...
Ila tukio la kufufuliwa lazaro kwa mujibu wa bibilia takatifu ni tukio ambalo lilitokea. Na lazaro aliyekufa na kufufuliwa na Yesu alikuwa rafiki yake Yesu.

Hivyo haya mambo mawili tofauti.
Huo mfano ulikuwa unaelezea uhalisia wa matukio mwanadamu anapokufa au ni just paukwa pakawa?
 
... ule mfano wa Yesu kuhusu maskini Lazaro kifuani pa Ibrahimu tunaona yule tajiri kule kuzimu akikumbuka ndugu zake aliowaacha duniani. Ufafanuzi tafadhali.
 


Mkuu kuna mtu anaitwa DR Mambo AMP kuna vitabu aliniorodheshea nikavisome kuhusu the church history.

sijawahi kujuta kumfahamu huyu kiongozi ni anajua haya maswala mpaka anakera. Nipo nasoma kitabu kimoja kinaitwa “when Jesus become god” kiukweli wengi hatufahamu historia. Tusome mkuu historia
 
Mleta mada kweli katika wanaume wako wote uliowahi kuwa nao hakuna hata mmoja anayesoma na kuielewa biblia akusaidie swali lako?
Au mna date na wanaume ili mradi ana kende na dushe?
Ndio shida inapoanzia..))
 
god hawezi kuwa God.
 
Mkuu kwa hii Kasi yako ya kuichunguza biblia, sioni kama utaendelea kuhudhuria kanisani. Mimi baada ya kuanza kujiuliza maswali kama yako, kwa sasa nimebaki mromani mstaafu. Naongea na Mungu direct sitaki tena hivyo vitabu.
Willy Gamba enzi zake kikosi cha kisasi, au Allan quaterman na Umsolopagaz ukisoma vile vitabu unaona ni vitu halisi kabisa.

Sasa pata Picha ya magenious wa middle east jinsi walivyotunga hivi vitabu huchomoki.

North Korea walishapiga marufuku hivi vitabu vya middle east kitambo tu kwenye nchi yao.
 
... ule mfano wa Yesu kuhusu maskini Lazaro kifuani pa Ibrahimu tunaona yule tajiri kule kuzimu akikumbuka ndugu zake aliowaacha duniani. Ufafanuzi tafadhali.
Huwezi kufafanuliwa, yani hivi vitabu mfano wake ni sawa na Nyerere mwaka 1960 anazungumzia jinsi alivyokufa na msiba wake mwaka 1999.

Ni ngumu sana kwa mtu anayetumia akili na logic kuviamini vitabu hivi, hasa kile cha Quran ndio magumashi matupu.
 
Mkuu usipende kuamini story za Biblia na Qur'an kwani zile ni hadithi tu za kuchanganya watu akili wa kuwatia hofu
 
Akili yako inakuwa kama memory card. Inaflashiwa unakuwa hukumbuki chochote
 
Ni mifano tu alikuwa anatoa bwana Yesu...
Ila tukio la kufufuliwa lazaro kwa mujibu wa bibilia takatifu ni tukio ambalo lilitokea. Na lazaro aliyekufa na kufufuliwa na Yesu alikuwa rafiki yake Yesu.

Hivyo haya mambo mawili tofauti.
Musa anayemzungumzia hapa ni yupi maana Musa alikufa kabla ya Yesu kuzaliwa
 
Simulizi hii ya Yesu inaonyesha hili ni jambo kamili lilitokea haikuwa hadithi ya kutungwa kama ile hadithi ya Msamaria mwema
 
Musa anayemzungumzia hapa ni yupi maana Musa alikufa kabla ya Yesu kuzaliwa
Inawezekana kutoa mfano wa kisa cha zamani kana kwamba kinatokea leo. Anaanza na neno; "palikuwa... "; happened in the past!

Hata leo tunaanzaga; hapo zamani za kale kujenga taswira ya kisa cha zamani kana kwamba kinatokea sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…