Huo mfano ulikuwa unaelezea uhalisia wa matukio mwanadamu anapokufa au ni just paukwa pakawa?Ni mifano tu alikuwa anatoa bwana Yesu...
Ila tukio la kufufuliwa lazaro kwa mujibu wa bibilia takatifu ni tukio ambalo lilitokea. Na lazaro aliyekufa na kufufuliwa na Yesu alikuwa rafiki yake Yesu.
Hivyo haya mambo mawili tofauti.
... ule mfano wa Yesu kuhusu maskini Lazaro kifuani pa Ibrahimu tunaona yule tajiri kule kuzimu akikumbuka ndugu zake aliowaacha duniani. Ufafanuzi tafadhali.Mhubiri 9:5, 10
Biblia Habari Njema (BHN)
5. Maana, walio hai hujua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui chochote. Hawana tuzo tena; hata kumbukumbu lao limesahauliwa kabisa
10. Kila unachotaka kufanya kifanye kwa nguvu zako zote, maana, hakuna kazi, wala wazo, wala maarifa, wala hekima huko kuzimu unakokwenda.
Kufufuka kwa Yesu kunathibitisha hilo; yapo maisha baada ya kifo.Yaani eti mtu umeshakufa eti alafu uwe na maisha mengine kwenye ulimwengu mwingine huu ni uwongo!
Mimi sio msomaji mzuri wa Bibilia, ila nimesikia habari ya Lazoro kufa na baadae kufufuliwa na Yesu wakati Yesu bado yuko hapa duniani na tena tunaambiwa alikuwa anatoa harufu.
Swali ni je, Lazaro alihadithia nini kuhusu kifio au hakusema chochote?
Kwa mfano, wakati anakata roho, nini hasa kilitokea?
Na je, alikufa mara ya pili au ilikuwaje?
Mwenye majibu tafadhali.
Wametuweza kwakweli hasa Waafrica.Ila binadamu wanajua kutunga hadithi za kuhuzunisha..!!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].....
Duh..!
Baada ya kufufuka alizungumziaje aliyoyakuta angali mfu?Kufufuka kwa Yesu kunathibitisha hilo; yapo maisha baada ya kifo.
god hawezi kuwa God.Mkuu kuna mtu anaitwa DR Mambo AMP kuna vitabu aliniorodheshea nikavisome kuhusu the church history.
sijawahi kujuta kumfahamu huyu kiongozi ni anajua haya maswala mpaka anakera. Nipo nasoma kitabu kimoja kinaitwa “when Jesus become god” kiukweli wengi hatufahamu historia. Tusome mkuu historia
Hongeragod hawezi kuwa God.
Willy Gamba enzi zake kikosi cha kisasi, au Allan quaterman na Umsolopagaz ukisoma vile vitabu unaona ni vitu halisi kabisa.Mkuu kwa hii Kasi yako ya kuichunguza biblia, sioni kama utaendelea kuhudhuria kanisani. Mimi baada ya kuanza kujiuliza maswali kama yako, kwa sasa nimebaki mromani mstaafu. Naongea na Mungu direct sitaki tena hivyo vitabu.
Huwezi kufafanuliwa, yani hivi vitabu mfano wake ni sawa na Nyerere mwaka 1960 anazungumzia jinsi alivyokufa na msiba wake mwaka 1999.... ule mfano wa Yesu kuhusu maskini Lazaro kifuani pa Ibrahimu tunaona yule tajiri kule kuzimu akikumbuka ndugu zake aliowaacha duniani. Ufafanuzi tafadhali.
Nieleweshe hiiLazaro wapo wawili
Mkuu usipende kuamini story za Biblia na Qur'an kwani zile ni hadithi tu za kuchanganya watu akili wa kuwatia hofuMimi sio msomaji mzuri wa Bibilia, ila nimesikia habari ya Lazoro kufa na baadae kufufuliwa na Yesu wakati Yesu bado yuko hapa duniani na tena tunaambiwa alikuwa anatoa harufu.
Swali ni je, Lazaro alihadithia nini kuhusu kifio au hakusema chochote?
Kwa mfano, wakati anakata roho, nini hasa kilitokea?
Na je, alikufa mara ya pili au ilikuwaje?
Mwenye majibu tafadhali.
Akili yako inakuwa kama memory card. Inaflashiwa unakuwa hukumbuki chochoteMimi sio msomaji mzuri wa Bibilia, ila nimesikia habari ya Lazoro kufa na baadae kufufuliwa na Yesu wakati Yesu bado yuko hapa duniani na tena tunaambiwa alikuwa anatoa harufu.
Swali ni je, Lazaro alihadithia nini kuhusu kifio au hakusema chochote?
Kwa mfano, wakati anakata roho, nini hasa kilitokea?
Na je, alikufa mara ya pili au ilikuwaje?
Mwenye majibu tafadhali.
Naye anatuchanganya, kwahiyo alikuwa anamsemea tajiriHayo maelezo ni ya Yesu mwenyewe na kumbuka Yesu alifundisha kwa mifano.
Ni mifano tu alikuwa anatoa bwana Yesu...
Ila tukio la kufufuliwa lazaro kwa mujibu wa bibilia takatifu ni tukio ambalo lilitokea. Na lazaro aliyekufa na kufufuliwa na Yesu alikuwa rafiki yake Yesu.
Hivyo haya mambo mawili tofauti.
Musa anayemzungumzia hapa ni yupi maana Musa alikufa kabla ya Yesu kuzaliwa²⁸ kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso.
²⁹ Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.
³⁰ Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu, watatubu.
³¹ Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.
Lazaro wapo wawili
Hayo maelezo ni ya Yesu mwenyewe na kumbuka Yesu alifundisha kwa mifano.
Ule ni mfano tu. Si jambo halisi. Kuna somo refu pale, unatakiwa kuanza kusoma mistari kadhaa nyuma kujua Mwana wa Mungu alikuwa anazungumzia nini.
Simulizi hii ya Yesu inaonyesha hili ni jambo kamili lilitokea haikuwa hadithi ya kutungwa kama ile hadithi ya Msamaria mwemaLuka 16 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁹ Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa.
²⁰ Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi,
²¹ naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri; hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake.
²² Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.
²³ Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.
²⁴ Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.
²⁵ Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa.
²⁶ Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.
²⁷ Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume nyumbani kwa baba yangu,
²⁸ kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso.
²⁹ Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.
³⁰ Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu, watatubu.
³¹ Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.
Hapa panaelezea mtu akifa nini hutokea.
Inawezekana kutoa mfano wa kisa cha zamani kana kwamba kinatokea leo. Anaanza na neno; "palikuwa... "; happened in the past!Musa anayemzungumzia hapa ni yupi maana Musa alikufa kabla ya Yesu kuzaliwa