Hivi lengo la Hamas lilikuwa ni nini ile Oktoba 7, 2023?

Umemjibu vyema.

Watu wengi wasichokijua ni kuwa wengi wa tunaowaita wapalestina leo wana damu ya kiyahudi, ila tu waliamua kuukubali uislamu na baadhi yao kuukubali ukiristo.

Hawa walowezi kutoka ulaya wanadhani wana haki zaidi.


Was Palestine a country before Israel?


From a purely historical perspective, “Israel” predates “Palestine” by more than a millennium. But, with the Jewish people then dispersed from their homeland, “Palestine” became home to a substantial Arab population, again for more than a millennium.
 
Okay, but, are Gazans better off today than they were before 10/07/2023?
 
Vitoto vya 2000 vinajadili vita ya Palestina na Israel, vinaona vita vimeanza Oct 7.

Havijui Wapestina wameanza kuuliwa na Israel toka mwaka 1948 baada Israel kuchukuwa ardhi ya Wapalestina.
 
Vitoto vya 2000 vinajadili vita ya Palestina na Israel, vinaona vita vimeanza Oct 7.

Havijui Wapestina wameanza kuuliwa na Israel toka mwaka 1948 baada Israel kuchukuwa ardhi ya Wapalestina.
Hakuna unachokijua. Hiyo siyo ardhi ya wapalestina oekee, bali Wayahudi na wapalestina.

Hakuna wakati hata mmoja ambapo ardhi hiyo ilikosa Wayahudi

Kiasili ardhi hiyo ni ya aayahudi kakini demograohy ilibadilika kutikanana Wayahudi kutawanyika.

Was Palestine a country before Israel?


From a purely historical perspective, “Israel” predates “Palestine” by more than a millennium. But, with the Jewish people then dispersed from their homeland, “Palestine” became home to a substantial Arab population, again for more than a millennium.
 
Dah nikikumbuka iyo October 7 walivyokuwa wakibweka Allah akbar Allah akabar na kukata mauno hadharani. Basi huyo Allah angewasaidia sasa anawaogopa wayahudi ambao amewaumba?
Nimegundua wewe Mgerasi una ugomvi binafsi na Waquraish weusi!

Au nasema uongo adriz?
😁😁
 
Hammas ni wapumbavu.
Nafikiri walivuta Bangi.
Hata kama mnapigania HAKI yenu huwezi pigania HAKI alafu ukaacha AKILI pembeni.
Ndicho walichofanya Hammas. Kupigania HAKI yao bila Akili
Bangi iheshimiwe mkuu.
Sisi wavuta bangi hatuna maamuzi ya kingese kama hao wanywa gongo
 
Unawalaumu wapalestina peke yao na unawatoa katika hatia mazayuni. Mazayuni ni tatizo kubwa. Unasema kuwa vitabu vya dini vya wapalestina vinataka dola ya kizayuni iliyoanzishwa mwaka 1948 na wazungu ambao wengi waliikimbia Ulaya kuwakimbia "ndugu" zao waliokuwa wakiwatesa, ifutwe, ila husemi kuwa mazayuni wanatumia vitabu ambavyo wengi wao hata hawaviamini kuhalalisha kuunda taifa Lao pale na kufanya mauaji ya kimbari pale! Au unafikiri reference ya "kuangamiza mbegu za amalekites" wanazitoa Geneva Conventions?

Hamas na Iran (dola ya kishia) ni tatizo pia, na ndio wanaowaponza wapalestina zaidi na kuharibu fursa za amani zinapojitokeza. Ila fursa hizo za amani zinapopotea hata mazayuni wanafurahi pia. Kwa sababu agenda zao zinasonga. Akina Netanyahu walipinga Oslo Accords na wakati ule waliona uwepo wa Hamas ni fursa ya kuwadondosha akina PLO. Waliona Hamas inaweza kutumika kama "tool" yao. Na ndio maana kila hata Oct 7 , attack imefanywa na Hamas lakini mazayuni wanashambulia mpaka West Bank iliyo chini ya Fatah.

Mazayuni ni watu wa khiana, hilo linajulikana, ila fursa za kupata amani zinapopatikana wapalestina japo wana haki lakini wafanye tu amani na mazayuni na nchi za kiislam zifanye tu amani na mazayuni. Na waheshimu hiyo mikataba ya amani kwa dhati kabisa (wakijua moyoni kuwa mazayuni ni watu wa khiana). Na warudi katika Dini yao kwa sawa. Mazayuni wakifanya khiana, baada ya hiyo amani, basi wapalestina watasaidiwa tu na Mola Mlezi wa viumbe vyote.

Mtume alifanya amani na mayahudi wa Madinah na akaheshimu mikataba, ni mayahudi ndio walivunja mikataba hiyo, na wakapata sehemu ya yale yaliyofanywa na mikono yao.

Mtume alifanya mkataba wa amani na washirikina wa Kiquraish na akauheshimu, na terms za ule mkataba zilikuwa zinaonekana harsh kwa Waislam, ila aliuheshimu mkataba kwa uaminifu. Ni.maquraish ndio waliuvunja mkataba huo, na yakawapata yaliyowapata.
 
Weka hapa huo ushahid
Ushahidi kutoka kwa Vyombo vya habari vya Israel

1. Haaretz

2. Times of Israel (wameelezea report ya Haaretz na zaidi)

3. Chanel 12 tv ya Israel pia ilireport Hamas hawakuwa na Mpango wa Kuvamia Music Festival na Polisi wa Israel waliua Raia wao

4. Jerusalem post

Huo ni Ushahidi toka Israel kwenyewe.

Kuna ushahidi mwingine toka Ufaransa, Usa na waandishi wa habari wengine ila wote huo hauna nguvu kuliko Israel wenyewe.


Hii Picha inaonesha aftermath ya music festival

Hamas hawana silaha yoyote inayoweza kuleta impact kubwa kama hio, hio picha Pia haitendei haki Angalia hii video kuona impact

View: https://twitter.com/Megatron_ron/status/1723041286578462953
Kila mtu mwenye ABCD za vita anajua nani kaunguza hilo eneo kiasi kwamba Maiti ilibidi zikapimwe Dna kutambulika,
 
Fredwash umeandika bila ushabiki uchambuzi mzuri sana
 
Mbona tumeichakaza Israel vya kutosha, Au huoni mkuu...

Nenda kaangalie Al-shabab Tv, utaona kinachojiri huko Israel .. 🥴🥴
Sasa kama mmeichakaza Israel, malalamiko kama Yale ya tamko la Arab league yanatoka wapi?

Gaza imekuwa vifusi huku unadai Israel inapigwa?
 
Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel
It is assumed That, the October 7th was Inside job to get the excuse of exterminating Phalestines from Ghaza so that the elites of West and Israel can do exploration of oil and gas in that area then later have oil and gas wells to feed the starving Energy industry of the West!!!
 
Okay, but, are Gazans better off today than they were before 10/07/2023?
Hapana sio bora sasaivi na inawezekana maisha yakawa mabaya zaidi hapa lakini suali zuri ni je kwa mfano Nchi zingeendelea kutawaliwa duniani? Mapinduzi hayakuwa bora kupata uhuru wao? watu waliuliwa sana kwenye hayo mapinduzi lakini leo generation yao inafaidika na matunda ya na uhuru uliopatikana kwa shida na dhiki ya waliopigania nchi yao.
 
Lengo lao lilikuwa zuri tu kwa mustakabali wao, sema walimis-calculate reaction ya muisrael.
Hesabu ilikuwa kutumia mateka kama turufu ya kupush madai yao kwa Israel, walidhani Israel atakuja mezani kwa majadiliano. Badala yake Israel akaja kwa kipigo kikali.

Baba yao (Iran) naye akaingia na hesabu hizo hizo, naye akakumbana na revenge ya hatarii.

Sasa Trump ndo majuzi kawavuruga zaidi kutoa ile ultimatum ya mateka kuachiwa
 
Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?
We naye haujitambui, huko westbank kuna chokochoko mbona kila siku wanapigwa? Hiyo ni justification tu ya Netanyahu ku annex Gaza na kuwapa makazi settlers. Otherwise Hamas walivamia sababu ya kutuma ujumbe kuwa wamechoka kukandamizwa na nadhani imepata attention waliyotaka kwahiyo its a win kwenye hiyo angle.

Ni sawa na useme Mkwawa alikua mjinga kisa kuleta chokochoko kwa wajerumani. Kila rebellion lazima iwe na mwanzo hata kama itakua crushed ila ina-set basis ya future redemption. Kwahiyo hakuna hasara hata Kurds pia wanapigwa!! Lakini sio sababu ya kuwakatisha tamaa kuwa ipo siku patakucha
 
Hammas ni wapumbavu.
Nafikiri walivuta Bangi.
Hata kama mnapigania HAKI yenu huwezi pigania HAKI alafu ukaacha AKILI pembeni.
Ndicho walichofanya Hammas. Kupigania HAKI yao bila Akili
Mbona Mandela alifanya hivi hivi, alikua wanatega mabomu na kuteka makaburPu ila mnamuita Baba wa Afrika na sio Gaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…