Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ungeorodhesha yote unayodhani ni ya uongo.. Na kwenye hili la pajama (nguo za kulalia) kwa kaliba ya rais au hata kwa yeyote kumuendea mtu asiye mkeo na nguo hiyo usiku lazima kulete maswaliIn the name of president , nimesoma hiki kitabu kuna mambo mengi ni ya uongo kwa ukweli nilionao mimi , na katika yaliyoandikwa ambalo sina uhakika nalo ni hili la kwenda kwa vice na pajama .
1.Magufuli alikuwa muda mwingi sana usiku yuko macho na ndio alikuwa anafanya shughuli zake ,sioni ajabu yeye muda huo kuwa na pajama.
2.Magufuli alikuwa Rais muda wote ana ulinzi ni ngumu sana kufanya hilo tukio tena kwa kiongozi mwenzake .
3.Hatujui ukaribu wao ulikuwaje kabla , na Magufuli he was a man like other men na inawezekana kweli alikuwa na issue ya kudiscuss muda ila akachukulia poa code ya mavazi .
Je huwezi fanya kikao na pajama ? Nadhani tunajaribu kuoneshwa kuwa yule jamaa alikuwa katili sana .
"sioni ajabu yeye muda huo kuwa na pajama." Ndiyo.In the name of president , nimesoma hiki kitabu kuna mambo mengi ni ya uongo kwa ukweli nilionao mimi , na katika yaliyoandikwa ambalo sina uhakika nalo ni hili la kwenda kwa vice na pajama .
1.Magufuli alikuwa muda mwingi sana usiku yuko macho na ndio alikuwa anafanya shughuli zake ,sioni ajabu yeye muda huo kuwa na pajama.
2.Magufuli alikuwa Rais muda wote ana ulinzi ni ngumu sana kufanya hilo tukio tena kwa kiongozi mwenzake .
3.Hatujui ukaribu wao ulikuwaje kabla , na Magufuli he was a man like other men na inawezekana kweli alikuwa na issue ya kudiscuss muda ila akachukulia poa code ya mavazi .
Je huwezi fanya kikao na pajama ? Nadhani tunajaribu kuoneshwa kuwa yule jamaa alikuwa katili sana .
Unayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.In the name of president , nimesoma hiki kitabu kuna mambo mengi ni ya uongo kwa ukweli nilionao mimi , na katika yaliyoandikwa ambalo sina uhakika nalo ni hili la kwenda kwa vice na pajama .
1.Magufuli alikuwa muda mwingi sana usiku yuko macho na ndio alikuwa anafanya shughuli zake ,sioni ajabu yeye muda huo kuwa na pajama.
2.Magufuli alikuwa Rais muda wote ana ulinzi ni ngumu sana kufanya hilo tukio tena kwa kiongozi mwenzake .
3.Hatujui ukaribu wao ulikuwaje kabla , na Magufuli he was a man like other men na inawezekana kweli alikuwa na issue ya kudiscuss muda ila akachukulia poa code ya mavazi .
Je huwezi fanya kikao na pajama ? Nadhani tunajaribu kuoneshwa kuwa yule jamaa alikuwa katili sana .
Haisaidii na haikusaidii kitu wala hsitamaliza umaskini wako kuwa na chuki na mtu aliyekuzidi kila kitu.Unayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.
View attachment 3193823 Mukiambiwa alikuwa kichaa mnabisha. Kweli Rais wa nchi mwenye akili sawa anaweza kulala kwenye mawe??
Navuta picha ' kumbe vyumba vyao vilikuwa vinatazamana' sasa mbna ata huku wapangaji wanafinyana vzr tu! Kosa la kwanza apo nililogundua ofisi yaan ikulu isiwe nyumba ya kuishi!? sidhani kama kuna ulazima huo!? Kosa la pili kwann kusiwe na utengano (ukuta)kati ya familia ya vice na president!? maana kama wakubwa wanafanya vikao usiku na pajama iweje Kwa wengine vijana wanaobaki om muda wote!! ikulu itakuwa inanajisiwa sanaLabda ungeorodhesha yote unayodhani ni ya uongo.. Na kwenye hili la pajama (nguo za kulalia) kwa kaliba ya rais au hata kwa yeyote kumuendea mtu asiye mkeo na nguo hiyo usiku lazima kulete maswali
Ni sawa na mwanamke akujie usiku na night dress..! Hizo ni nguo za chumbani tuu zukienda mbali sana ni sebuleni kwa wanajua maana yake
Mwenzako kichaa kashaweka historia ya kuwa rais!Unayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.
View attachment 3193823 Mukiambiwa alikuwa kichaa mnabisha. Kweli Rais wa nchi mwenye akili sawa anaweza kulala kwenye mawe??
Duuuh! Kumbe kulala kwenye mawe nako ni kuvunja sheria! tuombe uzima jamani ili tujitetee pale tunapozongwa na shutuma kama hzi!Unayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.
View attachment 3193823 Mukiambiwa alikuwa kichaa mnabisha. Kweli Rais wa nchi mwenye akili sawa anaweza kulala kwenye mawe??
Kaweka na historia pia ya kuwa Rais aliyekuwa anajianika kwenye mawe kama kenge.Mwenzako kichaa kashaweka historia ya kuwa rais!
.
Wewe na akili zako utaweka historia ya kuolewa tu basi
Wewe na akili yako hivyo ulivyo unaweza kulala kwenye mawe kama huyo pimbi?Duuuh! Kumbe kulala kwenye mawe nako ni kuvunja sheria! tuombe uzima jamani ili tujitetee pale tunapozongwa na shutuma kama hzi!
Umeona yeye mwenyewe au watu wake wa karibu wamejitokeza kukanusha?In the name of president , nimesoma hiki kitabu kuna mambo mengi ni ya uongo kwa ukweli nilionao mimi , na katika yaliyoandikwa ambalo sina uhakika nalo ni hili la kwenda kwa vice na pajama .
Hapo kanafikiria kalivyoishika nchi kama mali yakeUnayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.
View attachment 3193823 Mukiambiwa alikuwa kichaa mnabisha. Kweli Rais wa nchi mwenye akili sawa anaweza kulala kwenye mawe??
TeheeeeeeeeeUnayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.
View attachment 3193823 Mukiambiwa alikuwa kichaa mnabisha. Kweli Rais wa nchi mwenye akili sawa anaweza kulala kwenye mawe??
Mtu mwenye akili timamu unaweza fanyaje kikao tena na nguo za kulalia. Acheni kutetea uiinga. Code za kiutumishi zipo wazi. Raisi hana maadili si yanayosemwa yatakua na ukweli tuNavuta picha ' kumbe vyumba vyao vilikuwa vinatazamana' sasa mbna ata huku wapangaji wanafinyana vzr tu! Kosa la kwanza apo nililogundua ofisi yaan ikulu isiwe nyumba ya kuishi!? sidhani kama kuna ulazima huo!? Kosa la pili kwann kusiwe na utengano (ukuta)kati ya familia ya vice na president!? maana kama wakubwa wanafanya vikao usiku na pajama iweje Kwa wengine vijana wanaobaki om muda wote!! ikulu itakuwa inanajisiwa sana