Hivi mbona watoto wa siku hizi hawachezi michezo tuliyocheza zamani kama kombolela?

Hivi mbona watoto wa siku hizi hawachezi michezo tuliyocheza zamani kama kombolela?

Soft soft kivipi unataka kutuambia wewe mkakamavu kwa kuruka ukiti wa meme wa meme.
Yani ni hivi, personally ninaamini mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Hiyo ni rule of thumb sawa na elimu ni ufunguo wa maisha ila unaweza ukasoma ukaishia kuwa masikini tu.
So ile watoto kuwa wanajitengenezea toys, ni kitu kilichokuwa kinawajenga. Ndiyo maana wenzetu watoto wadogo huwapa building blogs watumie kujenga nyumba, kutengenezea magari na vitu mbalimbali zinawafanya wawe creative na kuongeza uwezo wao wa kufikiri. Hili jambo nimeliona kuanzia kwa wachina mpaka wazungu.
 
Yani ni hivi, personally ninaamini mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Hiyo ni rule of thumb sawa na elimu ni ufunguo wa maisha ila unaweza ukasoma ukaishia kuwa masikini tu.
So ile watoto kuwa wanajitengenezea toys, ni kitu kilichokuwa kinawajenga. Ndiyo maana wenzetu watoto wadogo huwapa building blogs watumie kujenga nyumba, kutengenezea magari na vitu mbalimbali zinawafanya wawe creative na kuongeza uwezo wao wa kufikiri. Hili jambo nimeliona kuanzia kwa wachina mpaka wazungu.
SO building blocks unataka kufanisha na ukuti wa meme wa meme.
 
SO building blocks unataka kufanisha na ukuti wa meme wa meme.
Hapana mimi ukuti hapana siungi mkono michezo hiyo, ila naunga mkono michezo ya kutengeneza magari, kucheza mipira ya mchangani, vitu kama hivyo. kuna michezo mingine inaharibu watoto ukuti watoto wanaanza ushenzi mapema sana
 
Kwanza sijawahi cheza video games mimi wala watoto wangu huwa naona ujinga mtupu ,Michezo kwangu ni ile ya kucheza physically KWANGU VIDEO GAMES SIO UBUNIFU NI UPUMBAVU TU WA KUPUMBAZA AKILI
Sasa umejuaje kama video games zinaua uwezo wa akili na ubunifu? Na kupumbaza akili Kama wewe mwenyewe na wanao hamjawahi kucheza hizo video games?

Unatambua kwamba hao waliotengeneza hizo video games wametumia akili kubwa na pesa nyingi kwenye video games kuliko wewe unaeona video games ni ujinga?,

Unadhani kwanini walitengenza video games kama zinaua uwezo wa kiakili na ubunifu?

Unatambua kama, hata video games ni ubunifu pia?
(Au umetumia hisa na sio uwezo wa fikra)

Katika mataifa yanayoongoza kucheza video games na yanayoona video games ni ujinga, sasa kwanini mataifa yanayocheza video games yameendeleza zaidi, kuliko mataifa yanayosema video games ni ujinga. kwanini?.
 
Ninyi ni kizazi muliocheza hiyo muliyoipa jina la michezo vipi sasahivi mumekuwa watu wazima imewanufaisha kivipi, impact yake kwako na kwa taifa ni ipi ??
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.

Inaonesha wazi Wewe ni zao la hao watoto waliokosa hiyo michezo...na hii ni mfano hai wa madhara yaliyopatikana.
 
Walimchukua kule sababu kwanza walimuona ana akili wabunifu na nchi zao zinahitaji watu wenye akili wabunifu ,Sisi hatuhitaji wabunifu tunahitaji vitu vilivyobuniwa tayari sisi ni users tu!!! Wakaona aweza kufanya vizuri kule kwao kwenye maabara zao za ubunifu kuliko huku aweza wapa business kule akitengeneza waweza uza sana huku sababu sisi tunaabudu vitu made in Japan kuliko made in Tanzania!! Hata mimi nikigundua kitu naenda ulaya au marekani nitengenezee kule niiletee mibwege ya Africa inayoamini katika made in EUROPE and USA kwa sababu ukitengenezea hapa inakuponda!!


Angebaki angekuwa lofa tu sababu wajinga wangesema kimti tu sio deal sababu vichwa vyao vimezoea ready made za nje ya nchi wasingeona kuna maana yeyote wangemwona yule mtoto mjinga tu kumbe wao ndio mipumbavu mikubwa
Sasa Kama unajua sisi ni watumiaji tu, kwanini unalaumu hiki kizazi cha sasa hivi kwa kutoendelea kutengeneza magari ya mbao ilhali unatambua ni kupoteza muda tu na kumdumaza mtoto kiakili sababu unatambua hakuna faida yoyote ya kufanya hivyo kwani hatofika popote sababu sisi ni users tu,

Au utasubiri waje wachukuliwe na hao wajapan?
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.

Inaonesha wazi Wewe ni zao la hao watoto waliokosa hiyo michezo...na hii ni mfano hai wa madhara yaliyopatikana.
Nafaka huyu jamaa aliyeandika hapa ni moja ya watoto waliocheza Ile michezo, sehemu ambapo pameulizwa swali anatukana matusi.

Je hiyo michezo inashindwa kumfunza mtoto kama huyu kujibu hoja na kutapika matusi bila sababu.
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.

Inaonesha wazi Wewe ni zao la hao watoto waliokosa hiyo michezo...na hii ni mfano hai wa madhara yaliyopatikana.
Weka mfano hai wa zao la watoto waliocheza hiyo michezo, na mfano hai wa faida waliyopata.

Wewe kama kizazi cha hiyo michezo na mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri, ili tukuamini kama kweli una uwezo mkubwa wa kiakili,

Jibu hili swali: uwezo wa kufikiri unasababishwa na nini?
na kwanini usababishwe na hicho kitu.
 
Nafaka huyu jamaa aliyeandika hapa ni moja ya watoto waliocheza Ile michezo, sehemu ambapo pameulizwa swali anatukana matusi.

Je hiyo michezo inashindwa kumfunza mtoto kama huyu kujibu hoja na kutapika matusi bila sababu.
Rule of thumb mkuu. Kama ule msemo elimu ni ufunguo wa maisha ila siyo kila aliyesoma amefanikiwa katika maisha mkuu.
 
kilikuwa na maana gani kubwa ??

Wew unaweza kuchukulia simple..

Ku design kitu kama hicho, ubongo wa Mtoto lazima uchakate vizuri, kutoa product kama hiyo.

Process nzima inasaidia mtoto kuwa mbunifu, na ubongo kufanya kazi effectively.

Wew huwez kujua haya mambo.
 
Nadhani Africans ndio watu pekee tunaoongoza kusifia mambo ya zamani hata kama yalikuwa na ujinga wa kiwango cha kusikitisha.

tukianza na kombolela- huu mchezo umesababisha watoto kuanza ngono mapema na kuwaharibu akili zao tangu utotoni, fikiria kitoto cha miaka 11 au 7 kinafanya huo ujinga.
Alafu leo nimwache mwanangu acheze kombolela seriously?.

Ataenda kuliwa huko huko , unapo taka kumfungia.
 
Ataenda kuliwa huko huko , unapo taka kumfungia.
Tumia nidhamu na busara pamoja na akili yako katika chochote unachofanya, usitumie hisia zinazotokana na malezi pamoja na mazingira uliyokulia yanayotokana na jamii mbovu iliyokuzunguka, kwa mwandkio wako inaonesha wewe ni zao la hao waliocheza hiyo michezo hivyo wewe ni mfano hai.

Unadhani Albert Einstein alikuwa anacheza kombolela?
 
Ataenda kuliwa huko huko , unapo taka kumfungia.
Nyie zao la iyo michezo tunawauliza tokea mwanzo mutupe Impacts za iyo michezo hatimaye mumekuwa mukituonesha Matusi tu.

Hitimisho: Hii michezo inafundisha hawa watoto matusi hata hoja zao zimejaa matusimatusi.
 
Wew unaweza kuchukulia simple..

Ku design kitu kama hicho, ubongo wa Mtoto lazima uchakate vizuri, kutoa product kama hiyo.

Process nzima inasaidia mtoto kuwa mbunifu, na ubongo kufanya kazi effectively.

Wew huwez kujua haya mambo.
Toka umezaliwa taja chochote ulichobuni chenye faida katika jamii yako au taifa kwa ujumla kutokana na huo ubunifu wako huko utotoni?,
Pia taja bunifu zilizotoka afrika kutokana na huko kubuni magari ya mbao?,
Wewe mpaka leo hii hivyo ulivyobuni viko wapi?

Kwa ile post yako uliyoniquote sidhani kama ubongo wako unafanya kazi effectively.
 
Nyie zao la iyo michezo tunawauliza tokea mwanzo mutupe Impacts za iyo michezo hatimaye mumekuwa mukituonesha Matusi tu.

Hitimisho: Hii michezo inafundisha hawa watoto matusi hata hoja zao zimejaa matusimatusi.

Usijifanye mtakatifu sana, kwahyo ukimpa hiyo PC hawezi kujifunza matusi, hawezi kuchek Porn?

Unajua negative impacts za social media.

Don't speak like an idiot man.
 
Usijifanye mtakatifu sana, kwahyo ukimpa hiyo PC hawezi kujifunza matusi, hawezi kuchek Porn?

Unajua negative impacts za social media.

Don't speak like an idiot man.

Wapi nilipoandika Social Media.

Wewe mtoto zao la ukuti wa meme mbona umejaza matusi Kichwani.
 
Wapi nilipoandika Social Media.

Wewe mtoto zao la ukuti wa meme mbona umejaza matusi Kichwani.

Ndio maana nikasema usijifanye mtakatifu sana, acha unafki..

Unafikir mtoto atajifunza matusi kwa kwa mchezo wa ukuti tu? Hata wew mzazi unaweza kumfundisha matusi.

Nyie ndio mnao fanya matusi mbele ya watoto wenu, mnakuja kusingizia mchezo wa ukuti[emoji16].

Kuna watu wa ajabu sana.
 
Back
Top Bottom