Hivi Mbowe, Lema, Sugu na wenje mbali na siasq wanaweza kufanya kazi gani? Lisu naona yuko katika genge la wahuni na zero brains.

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Kwa vyovyote tulitegemea mbowe awe dictator ndani ya chama mana nje ya siasa hana cha kufanya mana hata form four hakumaliza vile vile mnyika alidisco pale udbs alipokuwa anasoma bba.

Watanzania mjue hawa hawaki kwa maslahi yenu bali ni njia ya kujinufaisha wao wenyewe. Uzuri kwa hili watanzania wamepata real picture
 
Aise unaishi dunia hii au unaishi kwenye sayari nyngne?unamfahamu vizuri MBOWE au unabwabwaja baada ya kuishiba ugali maharage?Mbowe anamiliki hoteli dubai s afrika achilia miradi yake hapa nchini.Waulize watu wa hai aliwaletea maendeleo kwa fedha yake mwenyewe kabla hajakuwa mbunge wao.ACHANA NA MBOWE NI LEVEL NYNGNE.
 
Sema hivj; achana na dictator mbowe ni level nyingine na hana tofauti na mseveni
 
Hawo watu wana biashara na hotels, tena biashara kubwa ukichilia siasa

Lissu on the otherside sijui
 
Reactions: rr4
Uzuri n kwamba mwanaJF mwenzetu Erythrocyte ananeemeka kupitia mbowe hvy wanachadema nawaombeni mumpe kura bwana mbowe ili tusije kuongeza idadi ya single mother mtaani 😎
 
Mbowe ndio anaongoza saccos yetu ya uchagani ambayo inaitwa CHAGADEMA.
 
Wenje alimkopesha Lissu Hela ya matibabu
Sugu licha ya muziki anamiliki majumba na hotel
Lema mfanya biashara na tangu aache ubunge angekuwa na njaa angekuwa kama Msigwa na Lijualikali.
Mbowe hata usiseme ,Magu alijaribu kumdhoofisha ki uchumi kwa kuvunja Bilcanas, kuharibu mashamba yake ya horticulture na kufungia gazeti lake Mwamba hatetereki.
Wewe una kazi gani?
 
Mi ninzaidi ya mbowe. Mbowe ni form four failure mi ni phd holder
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…