Sema hivj; achana na dictator mbowe ni level nyingine na hana tofauti na mseveniAise unaishi dunia hii au unaishi kwenye sayari nyngne?unamfahamu vizuri MBOWE au unabwabwaja baada ya kuishiba ugali maharage?Mbowe anamiliki hoteli dubai s afrika achilia miradi yake hapa nchini.Waulize watu wa hai aliwaletea maendeleo kwa fedha yake mwenyewe kabla hajakuwa mbunge wao.ACHANA NA MBOWE NI LEVEL NYNGNE.
Hawo watu wana biashara na hotels, tena biashara kubwa ukichilia siasaKwa vyovyote tulitegemea mbowe awe dictator ndani ya chama mana nje ya siasa hana cha kufanya mana hata form four hakumaliza vile vile mnyika alidisco pale udbs alipokuwa anasoma bba.
Watanzania mjue hawa hawaki kwa maslahi yenu bali ni njia ya kujinufaisha wao wenyewe. Uzuri kwa hili watanzania wamepata real picture
Zimepatika kwenye siasa. Ndo mana hawataki kutokaHawo watu wana biashara na hotels, tena biashara kubwa ukichilia siasa
Lissu on the otherside sijui
Wafanyabiashara wakubwa ni Bakhresa, Rostam Aziz, GSM na Mo DewjiMbowe mfanyabiashara mkubwa
Kupitia siasa. Ndo mana hawataki kutoka mana nje ya siasa biashara haipoWote hao ni wafanyabiashara
C KWELI MBOWE ALIKUWA MFANYABIASHARA MKUBWA KABLA YA SIASA.PIA SUGU ALIKUWA USA AKAGOMBEA UBUNGE KWA PESA YAKE MWENYEWEZimepatika kwenye siasa. Ndo mana hawataki kutoka
Kwa nini wanakuwa vinganganizi sasa wa siasa.C KWELI MBOWE ALIKUWA MFANYABIASHARA MKUBWA KABLA YA SIASA.PIA SUGU ALIKUWA USA AKAGOMBEA UBUNGE KWA PESA YAKE MWENYEWE
Labda Bakhressa tu, wafanyabiashara wengine wote wakubwa wapo kwenye siasa moja kwa moja au kwa ujanjaujanja wana ukaribu na wanasiasa wakubwaKupitia siasa. Ndo mana hawataki kutoka mana nje ya siasa biashara haipo
SUGU NA MBOWE HAO WALIKUWA WAFANYABIASHARA KABLA YA SIASA.SIASA KWAO NI UMAARUFUKupitia siasa. Ndo mana hawataki kutoka mana nje ya siasa biashara haipo
Siyo kweli. Mbowe ameaema mwenyewe ana miaka zaidi ya 30 akiwa mwenyekiti na akaongeza aondoke amwachie nani ulaji huu?SUGU NA MBOWE HAO WALIKUWA WAFANYABIASHARA KABLA YA SIASA.SIASA KWAO NI UMAARUFU
Mbowe ndio anaongoza saccos yetu ya uchagani ambayo inaitwa CHAGADEMA.Aise unaishi dunia hii au unaishi kwenye sayari nyngne?unamfahamu vizuri MBOWE au unabwabwaja baada ya kuishiba ugali maharage?Mbowe anamiliki hoteli dubai s afrika achilia miradi yake hapa nchini.Waulize watu wa hai aliwaletea maendeleo kwa fedha yake mwenyewe kabla hajakuwa mbunge wao.ACHANA NA MBOWE NI LEVEL NYNGNE.
Wenje alimkopesha Lissu Hela ya matibabuKwa vyovyote tulitegemea mbowe awe dictator ndani ya chama mana nje ya siasa hana cha kufanya mana hata form four hakumaliza vile vile mnyika alidisco pale udbs alipokuwa anasoma bba.
Watanzania mjue hawa hawaki kwa maslahi yenu bali ni njia ya kujinufaisha wao wenyewe. Uzuri kwa hili watanzania wamepata real picture
Childish nonsensical crap.Mbowe ndio anaongoza saccos yetu ya uchagani ambayo inaitwa CHAGADEMA.
Mi ninzaidi ya mbowe. Mbowe ni form four failure mi ni phd holderWenje alimkopesha Lissu Hela ya matibabu
Sugu licha ya muziki anamiliki majumba na hotel
Lema mfanya biashara na tangu aache ubunge angekuwa na njaa angekuwa kama Msigwa na Lijualikali.
Mbowe hata usiseme ,Magu alijaribu kumdhoofisha ki uchumi kwa kuvunja Bilcanas, kuharibu mashamba yake ya horticulture na kufungia gazeti lake Mwamba hatetereki.
Wewe una kazi gani?
Angalieni aina ya watu wanaomtetea MboweMbowe mfanyabiashara mkubwa