Hivi Mbowe, Lema, Sugu na wenje mbali na siasq wanaweza kufanya kazi gani? Lisu naona yuko katika genge la wahuni na zero brains.

Uwe na akili, wote hao ni wafanyabishara wakubwa. It seems wewe ni std seven failure! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Zimepatika kwenye siasa. Ndo mana hawataki kutoka
Mbowe mambo yake ya kwenye siasa yanawaumiza nyinyi msiokuwa realistic kukubali kwamba siasa ni usanii, lakini tukirudi kwenye utajiri sehemu kubwa amerithi kutoka kwa baba yake Mzee Aikaeli Mbowe yeye ameendeleza tu. Ukwasi anao na kuna mwaka zilivujishwa nyeti info za wanasiasa wenye Swiss secret bank accounts jamaa hana njaa kabisa plus ni genius kwenye biashara na uwekezaji.
Yuko vizuri na hata nje ya siasa hawezi kabisa kuyumba kiuchumi, business na mafanikio ya kiuchumi viko kwenye bloodline yake kwani amezaliwa akavikuta nyumbani.
 
Ivi kuna watu waliamini kabisa Mbowe yupo kwa maslai ya Watanzania!!!
 
mnyika alidisco pale udbs alipokuwa anasoma bba.
Mbowe sawa ni Kilaza kabisa na hao kina Sugu, ila Wenje akili zimo ni vile kaamua tu kuwa Double Agent, ila Mnyika ni genius, kupata 1.7 sio mchezo lazima ziwemo. Pia kudisco chuo hakujustify uwezo mdogo wa mtu bali kuna factors nyingi zinazofanya mtu kudisco chuo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…