Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi mkuu ila kumbuka una piga danadana bomu!!!Smart phone zimeleta mengi, niko busy namchombeza mke wa mtu hapa!
So laki yangu ingeliwa bure acha kuharibu mipango.Si unamwambia twende home kuna taarifa za msiba....mkifika home una mpa mgegedo mmoja heavy.
[emoji3][emoji3][emoji3]We kajamaa umebobea kwny matusi.Kifupi wewe ni kumamae, anyways tuache hizi habari, vipi Arsenal anatoboa top 5 msimu huu?
Ulipokutana nae njiani alikuaga kwamba anaenda wapi? Maana mpaka ametoka nyumbani that means alikua ameshaaga au labda alitoka bila taatifa mkakutana bahati mbaya?Siku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezini, nilipoamua nirudi nyumbani kwenye kona fulani hivi nikakutana na wife tukapeana salamu baadae akaendelea na mishe zake, ila moyo nikawa nafkiria kuwa ameenda kuliwa, lakini nilishindwa kumrudisha.
Nilipofika home nilisubiri takribani masaa manne ndio akarudi na alionesha dalili zote za kuliwa. Swali langu ni je, ningemrudisha tulipokutana? na ningetumia kigezo gani?
Karibuni.
Hakuna matusi bhana, tunachangamsha kijiwe[emoji3][emoji3][emoji3]We kajamaa umebobea kwny matusi.
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Siku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezini, nilipoamua nirudi nyumbani kwenye kona fulani hivi nikakutana na wife tukapeana salamu baadae akaendelea na mishe zake, ila moyo nikawa nafkiria kuwa ameenda kuliwa, lakini nilishindwa kumrudisha.
Nilipofika home nilisubiri takribani masaa manne ndio akarudi na alionesha dalili zote za kuliwa. Swali langu ni je, ningemrudisha tulipokutana? na ningetumia kigezo gani?
Karibuni.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wee jamaa ina waza mitanange tuSi unamwambia twende home kuna taarifa za msiba....mkifika home una mpa mgegedo mmoja heavy.
Mjuba at his best[emoji16]Umenikumbusha nilikuwa na mpenzi nikikutana nae ghafla njian akaona nimependeza ananirudisha nyumbani kwanin umependeza hivyo unaenda wapiii[emoji23][emoji23][emoji23]