Hivi mkeo ukikutana naye njiani ukahisi anaenda kuchepuka unaweza ukamrudisha?

Hivi mkeo ukikutana naye njiani ukahisi anaenda kuchepuka unaweza ukamrudisha?

Mtoa mada nimekuonea huruma sana. Wadogo zetu wanaoa kabla hawajakomaa kiakili
 
Akili zangu za jana nilikua nasema nikiwa na mke wangu

nikagundua kachepuka/kaliwa basi namuacha hapo hapo

ila sasa hivi ntamuacha mke wangu kwa mengine ila sio

eti nigundue kaliwa/kachepuka hiyo kwa sasa si sababu.
 
Siku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezini, nilipoamua nirudi nyumbani kwenye kona fulani hivi nikakutana na wife tukapeana salamu baadae akaendelea na mishe zake, ila moyo nikawa nafkiria kuwa ameenda kuliwa, lakini nilishindwa kumrudisha.

Nilipofika home nilisubiri takribani masaa manne ndio akarudi na alionesha dalili zote za kuliwa. Swali langu ni je, ningemrudisha tulipokutana? na ningetumia kigezo gani?

Karibuni.
Ulipokutana nae njiani alikuaga kwamba anaenda wapi? Maana mpaka ametoka nyumbani that means alikua ameshaaga au labda alitoka bila taatifa mkakutana bahati mbaya?
 
Wewe mpumbavu usiite mwanamke mnaeishi wote kama geto mkeo...heshimu neno mke..uyo mpenzi wenu SEMA na endeleen kumkunguta Kwa zamu zenu
 
Ukiona manyoya ujuwe wahuni wameshamvua chupi na wahuni wanavyopenda tigo!!! Mkeo ulishindwa kumuuliza anaenda wapi!? Pole Mkuu
Siku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezini, nilipoamua nirudi nyumbani kwenye kona fulani hivi nikakutana na wife tukapeana salamu baadae akaendelea na mishe zake, ila moyo nikawa nafkiria kuwa ameenda kuliwa, lakini nilishindwa kumrudisha.

Nilipofika home nilisubiri takribani masaa manne ndio akarudi na alionesha dalili zote za kuliwa. Swali langu ni je, ningemrudisha tulipokutana? na ningetumia kigezo gani?

Karibuni.
 
Si unamwambia twende home kuna taarifa za msiba....mkifika home una mpa mgegedo mmoja heavy.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wee jamaa ina waza mitanange tu
 
Back
Top Bottom