[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] haa haa haa eti wanawake wakorofi,[emoji23]Mimi nikiwa na nafasi ya salio naacha matumizi ya mwezi mzima huku kila kitu kikiwa ndani.
Sitaki kero ya kuamka na madeni mwishowe unakuwa unaadopt mazingira ya madeni.
Ila wanawake wakorofi,utamuachia laki mbili ya matumizi lakini still atakuomba pesa ya vocha.
Huwa zinaisha kuna dharula huwa zinajitokeza budget inapunguaKila mwezi namlipa mshahara, mambo ya kuacha hela nyumbani kila siku huo ni utamaduni wa kiswahiliswahili.
buku mbili hapo mboga za majani kwa sana, mabamia, supu ya mchicha na makabeji na liugali dona aliwakosi kwa wiki mara nne 😅buku 2 tu tunaishi kama China😅
Ameen
Mungu akuzidishie zaidi na zaidi[emoji1545]Ameen
Mapambano yanaendelea
Uzi tayari!
Kiasi gani cha matumizi unachomwachia mkeo ili kukidhi mahitaji ya kutwa na maandalizi ya chakula cha jioni?
Ambao hatujaoa njooni tujifunze hapa!
Hujakosea mkuu mimi ni ngosha, katika hao watu 9, watoto wangu ni watatu tu wengine ni ndugu zangu.We utakuwa ni msukuma..
# Mjomba ni mama
Hata mimi napenda, na wakiondoka nyumba inapwaya kabisa.
Karogwa huyo huwajui wasukumaWakwe unawapa, wazazi wako sijaona
Matembele na mboga nyingine za majani ni lazima tule, ila tunakula kama mboga ya kuongezea juu ya mboga nyingine.Mkuu ina maana kwako hamgusi matembele kabisa?
Nyumba inachangamka sana na chakula kinanoga yaani raha sana,Hata mimi napenda, na wakiondoka nyumba inapwaya kabisa.
Raha ya kuidhi wengi,nyuma inakuwa changamfu muda wote na kama una watoto hawaidhi kiupweke.
Niliposema kuwa tunakoelekea tutakula tembele kama ishara ya ugumu wa maisha, nilimaanisha kuwa mboga kuu na sio ya pembeni, kitu ambacho naomba sana Mungu aepushe.Kwani mkuu tembele Lina shida Gani? Ulipaswa uwe unakula Kila siku kama mboga ya pembeni
Familia ya aina hii haiihitaji kuwa na mama mwenye nyumba mchoyo.Nyumba inachangamka sana na chakula kinanoga yaani raha sana,
Wakiondoka nyumba inapooza sana,
Mwanzo ilikuwa ngumu sana kuzoea maisha ya family ya wat u wanna tu na kila mmoja akiamka na mishe zake kukutana jioni,mkipika chakula mnaangaliana tu,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mmemuandama sana mwenzenu??Karogwa huyo huwajui wasukuma
Na ukiona kwako ni family kubwa na wageni wanapenda kufikia hapo jua ya kwamba mke sio mchoyo,Familia ya aina hii haiihitaji kuwa na mama mwenye nyumba mchoyo.
Najua sio maisha yangu ila kwakua sijaona mchanganuo unaowalenga wazazi wako kama ilivyo kwa wakwe zako, ningependa kukushauri uwakumbuke pia unless wawe wameshatangulia mbele za haki.200k-300k kwa mwezi
Unga,mafuta,Gas,mchele juu yangu
Ila kuna kipindi wakati namuoa sikuwa na uweZo huo hivyo nilikuwa natoa 150k na siongezi hata sh kumi plus unga,mchele,mafuta na gas.
Mpe mkeo mahitaji kulingana na uchumi wako unavyokwenda.
Awali ma mkwe nilikuwa nampa 50k na ba mkwe 80k kwa mwezi ila now ma mkwe 100k na ba mkwe 150k.
Kama mkeo hakupi stress na hela unatafuta vzr basi hakikisha uchumi ukipanda na watu wa karibu wananufaika maana pesa zipo zitumiwe tu.
Kule kwetu usukumani wakati tunakua tulikuwa na slogan moja "mavyakula sio ya kumnyima mtu kama yapo", na ndio slogan yangu mpaka sasa maishani.Na ukiona kwako ni family kubwa na wageni wanapenda kufikia hapo jua ya kwamba mke sio mchoyo,
Hakuna kitu tunajiaribia sisi wanawake kama uchoyo wa chakula,,ukitaka uchukiwe basi kuwa mchoyo aisee hakuna mtu atatamani kuja kwako. Japo hawafuati kula hapo kwako,
wageni/family inabidi ipewe uhuru kwenye chakula
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo inatokana na malezi ujue,,,sasa kama mzazi wageni wamefika nyumbani anapika msosi na kuwafungia jikoni wale,unategemea pale mtoto anafundishwa nini[emoji23]Kule kwetu usukumani wakati tunakua tulikuwa na slogan moja "mavyakula sio ya kumnyima mtu kama yapo", na ndio slogan yangu mpaka sasa maishani.
Yani kama uwezo wa kulisha upo, we mwaga tu msosi hata kama mengine utakuwa ni mkazaji (bahili)
Daah hongera hawa ndio wale wanaomba alio waimba Juma Nature "wenye nguvu za Simba na wasiogopa risasi......".200k-300k kwa mwezi
Unga,mafuta,Gas,mchele juu yangu
Ila kuna kipindi wakati namuoa sikuwa na uweZo huo hivyo nilikuwa natoa 150k na siongezi hata sh kumi plus unga,mchele,mafuta na gas.
Mpe mkeo mahitaji kulingana na uchumi wako unavyokwenda.
Awali ma mkwe nilikuwa nampa 50k na ba mkwe 80k kwa mwezi ila now ma mkwe 100k na ba mkwe 150k.
Kama mkeo hakupi stress na hela unatafuta vzr basi hakikisha uchumi ukipanda na watu wa karibu wananufaika maana pesa zipo zitumiwe tu.