Ni kweli nyumba ikiwa na mnaishi wengi inapendeza sana,raha tupu,Raha ya nyumba iwe na watu wengi aisee sio mnakaa kipweke pweke hapanogi yani. Watu wawepo hasa ndugu zenu miksa na watoto waishi vizuri na company za wenzao inajenga bond nzuri mno.
Ni sahihi mkuu,ndani mnachangamka hauna stress.Ni kweli nyumba ikiwa na mnaishi wengi inapendeza sana,raha tupu,
Kwa karne hii ni ngumu sana kumkuta mtu anaishi na ndugu zake
Sent using Jamii Forums mobile app
achana na hizo fanya shopping ya mwezi ya vitu ambavyo aviozi kama mchee,unga etc then unaangalia kuhusu mboga mboga za kla siku utajiongeza mwenyewe kutokana na mfuko wako mm uwaga natoa hela weekly ..Uzi tayari!
Kiasi gani cha matumizi unachomwachia mkeo ili kukidhi mahitaji ya kutwa na maandalizi ya chakula cha jioni?
Ambao hatujaoa njooni tujifunze hapa!
halafu ukinunua vitu vya mwezi utashangaa unaacha 250k kwa mwezi na life ikasonga poa tuuNinachofanya! Wanapanga bajeti ya mwezi mzima (mke akishirikiana na dada wakazi au waliopo home), kwamba nyama watakula kwa wiki mara ngapi? Maharagwe? Samaki? Kuku au vyovyote vile ila mboga za majani ni lazima kila mlo!!N afaka pia unga wa ugali, mchele, ngano,makande, ndizi, na n.k. zinalika kiasi gani kwa siku/wiki/mwezi. Dharura isikosekane, wageni wamo.
Hii inafanya kunakuwa na urahisi kujua kwa wiki ni kiasi gani cha mlo, na kwa mwezi vinahitajika bila kusahau mahitaji mengine kama gesi, mafuta, umeme, mkaaa,maji na n.k.
Wakishapata bajeti kuu ya mwezi mzima katika mlo, wanapiga bajeti ya vitu vidogo vidogo kama nyanya, vitunguu, mayai, mikate, maandazi kwa siku wanatumia kiasi gani na kisha wanaijumlisha kwa mwezi.
Mwisho bajeti kuu ya mlo inajumlishwa na ya matumizi ya siku inapatikana gharama ya mwezi mzima. Nampa wife hiyo hela kinachobaki kinakwenda kwenye maendeleo na mambo mengine!!
Hii mbinu inasaidia kuhakikisha mlo kamili unalika nyumbani na unaweza kufuatilia vyema ili kuimarisha malezi!!
Mi nikiamka asubuhi sina ninachouliza wala kuulizwa lakini hata katikati ya mwezi ukifulia, home uhakika upo. Hakuna kinachokosekana.
Pia, utajua kipato chako kwa mwezi kinakwenda vipi na namna gani ufanye kuleta maendeleo.
NB: Mambo ya kutoa hela kila siku utaona maisha magumu na mtagombana tuu!! Mjenge mkeo katika bajeti ya kila mwezi, mwanzoni inatesa ila akizoea na mwenyewe atafurahi.
mkuu umetisha sana wewe ni kama nanvyofanya mm kwangu hata kama sina hela ya lite na uwakika wakula wali kidali na juice juu ha ha maisha ni kupangaNinachofanya! Wanapanga bajeti ya mwezi mzima (mke akishirikiana na dada wakazi au waliopo home), kwamba nyama watakula kwa wiki mara ngapi? Maharagwe? Samaki? Kuku au vyovyote vile ila mboga za majani ni lazima kila mlo!!N afaka pia unga wa ugali, mchele, ngano,makande, ndizi, na n.k. zinalika kiasi gani kwa siku/wiki/mwezi. Dharura isikosekane, wageni wamo.
Hii inafanya kunakuwa na urahisi kujua kwa wiki ni kiasi gani cha mlo, na kwa mwezi vinahitajika bila kusahau mahitaji mengine kama gesi, mafuta, umeme, mkaaa,maji na n.k.
Wakishapata bajeti kuu ya mwezi mzima katika mlo, wanapiga bajeti ya vitu vidogo vidogo kama nyanya, vitunguu, mayai, mikate, maandazi kwa siku wanatumia kiasi gani na kisha wanaijumlisha kwa mwezi.
Mwisho bajeti kuu ya mlo inajumlishwa na ya matumizi ya siku inapatikana gharama ya mwezi mzima. Nampa wife hiyo hela kinachobaki kinakwenda kwenye maendeleo na mambo mengine!!
Hii mbinu inasaidia kuhakikisha mlo kamili unalika nyumbani na unaweza kufuatilia vyema ili kuimarisha malezi!!
Mi nikiamka asubuhi sina ninachouliza wala kuulizwa lakini hata katikati ya mwezi ukifulia, home uhakika upo. Hakuna kinachokosekana.
Pia, utajua kipato chako kwa mwezi kinakwenda vipi na namna gani ufanye kuleta maendeleo.
NB: Mambo ya kutoa hela kila siku utaona maisha magumu na mtagombana tuu!! Mjenge mkeo katika bajeti ya kila mwezi, mwanzoni inatesa ila akizoea na mwenyewe atafurahi.
Kawaida mtu mwenye akili zake anaacha 30k kwa siku kama hana basi anasema .Wewe huwa unaachiwa sh ngapi?
Ee mola! Ibariki Tanzania!Kawaida mtu mwenye akili zake anaacha 30k kwa siku kama hana basi anasema .
Kuliko mtu maisha ndio haya unaachiwa 10k hamna hata vitu vya jumla nikutesana tu.
30 na bado amenunua vitu ndani vyote hapo niuchumba tu je ndoa .
[emoji3]Mimi nikiwa na nafasi ya salio naacha matumizi ya mwezi mzima huku kila kitu kikiwa ndani.
Sitaki kero ya kuamka na madeni mwishowe unakuwa unaadopt mazingira ya madeni
ila wanawake wakorofi, utamuachia laki mbili ya matumizi lakini still atakuomba pesa ya vocha.
Utamuwekea kila kitu ndani cha kupika lakini still atakuuliza leo tunakula nini.
SafiKila mwezi namlipa mshahara, mambo ya kuacha hela nyumbani kila siku huo ni utamaduni wa kiswahiliswahili.
HahaaaMimi nina familia ya watu wa3 naacha ten au naweza acha 70 wiki nzima wakati kila kitu kipo ndani yani unga mchele na mazaga ya sokoni. Nikiacha hela ya mwezi mzima tunagombana kwani inaisha ndani ya wiki 2 tu sijui anacheza kikoba sielewi.
Huyo mkeo nae kweli mpumbavu!Hapa ndio wanawake wanakuwa wajinga sana. Juzi nimesafiri nimeacha nyumbani laki nne na vyakula vya kutosha nipo njiani safarini eti mke ananiambia luku imeisha sikununua. Hawa viumbe akili zao ni finyu baadhi lkn
Nilitamani nimtukane matusi mazito sana but nilijizuia
Kwani mkifanya kazi wote inahusiana nn?Kama wote mnafanya kazi, unaacha pesa ya nini na mnapanya bajeti ya mwezi? Ila kama ni mama wa nyumbani unajikuna mahali mkono unafika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh na baba/mama mkwe? Hongera200k-300k kwa mwezi
Unga,mafuta,Gas,mchele juu yangu
Ila kuna kipindi wakati namuoa sikuwa na uweZo huo hivyo nilikuwa natoa 150k na siongezi hata sh kumi plus unga,mchele,mafuta na gas.
Mpe mkeo mahitaji kulingana na uchumi wako unavyokwenda.
Awali ma mkwe nilikuwa nampa 50k na ba mkwe 80k kwa mwezi ila now ma mkwe 100k na ba mkwe 150k.
Kama mkeo hakupi stress na hela unatafuta vzr basi hakikisha uchumi ukipanda na watu wa karibu wananufaika maana pesa zipo zitumiwe tu.
[emoji23][emoji23]kweliwanawake wengi hampendi kuona wageni wamekuja kwenu hasa ndugu wa waume zenu. Hapo utajinunisha tu ilimradi na kuhakikisha mboga ni marage na kabichi tu week nzima ata kama nyama zimejaa frijini.
Wengine huenda extra mile na kufunga friji na funguo kabisa hadi akirudi yeye kutoka kazini jioni ndio afungue.
Hasara ya aina hii ameipata bro wangu mmoja na mshua mkubwa..Kukanyaga majumbani mwao ni ishu sababu wake waduanzi
Huyo sio mwanaume ww[emoji3]Tatizo wanaume mnajiweka kama wanawake kwenye id.
Sina hamu na ndugu mieIngawa tunajua kuwa ndugu hawanaga shukrani (watajaa kwako vinono vikiwepo na vikiisha watakimbia), ila kama mungu kakubariki wahudumie tu hasa swala la chakula na makazi.
Nimezipokea pongezi zako mkuu, asante sana.
[emoji23][emoji23]Papunyi ni kisanga.Ijue nguvu ya papuchi, lazima asahau kwao.