Uko sahihi mkuu.Hiyo avatar yako huwa naonaga utakua wale wamama wa itakadi sana nyumbani sheria nyingi unalianzisha muda wowote, samahani lakini ni mtazamo tu
Ndiyo hivyo mkuu, tabu inakua palepale"""usitake kujua kazi gani""
Shida huanziaga hapo sasa [emoji851][emoji851][emoji851][emoji119][emoji119][emoji119]
Nipo vodacom huku... aiseee hatari na nusunipe kibarua nitulie
Wenye kazi humu ni moderator tuuNdiyo hivyo mkuu, tabu inakua palepale
mimi nipo pm nasumbua totoz[emoji23]
Hebu tuanze na wewe unayewajua wanaoshinda humu JF huwa hauna kazi ya kufanya?Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
waambie wapunguze bei ya mabandoNipo vodacom huku... aiseee hatari na nusu
Sizani π€π€π€ππππNa ulivyo na bad lucky wote hawakutaki [emoji23][emoji23][emoji23]
wewe si hutaki kunidalaliaNa ulivyo na bad lucky wote hawakutaki [emoji23][emoji23][emoji23]
π€π€π€ππππ ungejuawaambie wapunguze bei ya mabando
Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Na sisi tunakushangaa weweYaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Uko wapi Sasa saa Tisa natokea hukoπππhapa tunapigiana miayo tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] twende tukawinge kkoo tupoze hasira
Almanusura niseme LamomyVery good observation
Lakini usijudge wote negative. Nitatolea mfano wa mdada huku nayemfahamu ratiba zake
Ni mfanyabiashara, katika biashara ana vijana wa kufanya kazi yeye huwa pembeni tu kucheck hivyo asubuhi mchana au jioni sio ajabu kuwa active jf
Akirudi home ana mdada wa kazi, sasa hapo utasema hana cha kufanya? Watu tumetofautina kulingana na shughuli au kazi zetu
Men ndio tuna ratiba kidogo complicated hata kama uwe na watu wa kukufanyia kazi zako, hivyo kwa men ukikuta wapo active muda wote hilo ni tatizo kubwa na ni kiashiria cha upweke wa hali ya juu
Utanikuta pale kwa yule mchina muuza viatu πππUko wapi Sasa saa Tisa natokea hukoπππhapa tunapigiana miayo tu
Nikienda wanantania tu siku hz na maisha mazuri kumbe mi nimefilisika hadi wale wadada wauza chai Sina ujasiri wa kuwaomba utrelrezriUtanikuta pale kwa yule mchina muuza viatu πππ
Naunga mkono hoja ππTulishajibu swali kama hili, hao ni wafanyabiashara mitandaoni wanafanya biashara zao, wengine ni wanahabari na wengine ni polisi wa mitandaoni wapo doria
Mwambie huyoKushinda kwao kuna kuathiri chochote?