OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Baby umekula mchana?πππ sio me bhana
Njaa tu zimenijaa hapa naswampa tu jf
Sijakula hata pesa ya kula siijui inapatikana wapi na ujobless huu πππBaby umekula mchana?
Tafuta pesa nikudalalie π€£π€£π€£wewe si hutaki kunidalalia
Polee sanaπ€£π€£π€£Sijakula hata pesa ya kula siijui inapatikana wapi na ujobless huu πππ
π€£π€£π€£π€£ nimecheka eti wauza chai huna ujasiri wa kuwaomba utelezi!!!Nikienda wanantania tu siku hz na maisha mazuri kumbe mi nimefilisika hadi wale wadada wauza chai Sina ujasiri wa kuwaomba utrelrezri
nitafutie mtoto mwenye nyonyo saa sita nakupa boom langu loteπTafuta pesa nikudalalie π€£π€£π€£
Humu jf?? Humu tupo vikongwe nyonyo inasimama tukiinama kupiga deki πππnitafutie mtoto mwenye nyonyo saa sita nakupa boom langu loteπ
Oyaa mi nlikuwa natumiia wi Fi ya hapa nlipo, nielekeze mapemaπ€£π€£π€£π€£π€£ nimecheka eti wauza chai huna ujasiri wa kuwaomba utelezi!!!
Hatuwezi kua maskini offline na online sehemu Moja tuoneshe ubabe chalianguπππ sio me bhana
Njaa tu zimenijaa hapa naswampa tu jf
Hata mimi?Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
hawatafuti maisha wamewekeza kuwasaidia wanaoyatatafuta.[emoji419][emoji375]Wengine wamestaafu wakiwa na miaka 30, hawatafuti maisha wamewekeza kuwasaidia wanaoyatatafuta.
Wengi ni wafanyakazi wa serikali wakitumia free wi-fi. Muda mwingi wao huwa mitandaoniYaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Wengi Wetu ni waajiri, wengine jf wako kazini(Ofisini kwa na wengine Wana kazi ambazo haziwa keep kuwa busy nawachache ni ma jobless ambao mda mwingi ni walalamishi.Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Njoo wanyama πππOyaa mi nlikuwa natumiia wi Fi ya hapa nlipo, nielekeze mapemaπ€£
Me kote choka mbaya niwe offline niwe online tafrani tupu!!! Nipe connection boss wangu ya uwinga basi πππHatuwezi kua maskini offline na online sehemu Moja tuoneshe ubabe chaliangu
Ficha upumbavu wako kwa kukaa kimyaWengi Wetu ni waajiri, wengine jf wako kazini(Ofisini kwa na wengine Wana kazi ambazo haziwa keep kuwa busy nawachache ni ma jobless ambao mda mwingi ni walalamishi.
Mwisho kabisa mtu analipwa ruzuku kama Machadema unadhani atashinda wapi zaidi ya jf?
Iga ufe.
Matumizi mabaya sana ya ruzuku,kutwa kulalamika na kutukana ccm ila sijawahi ona hata dawati Moja kusaidia jamii.