hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
- Thread starter
- #121
Kiufupi tunashangaanaNa sisi tunakushangaa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiufupi tunashangaanaNa sisi tunakushangaa wewe
Polisi wa mitandaoni wa bongo wapo bize na memes tu,🤣🤣 huku ni nadra kuwapataTulishajibu swali kama hili, hao ni wafanyabiashara mitandaoni wanafanya biashara zao, wengine ni wanahabari na wengine ni polisi wa mitandaoni wapo doria
mtag tu yaisheKuna ajuza mmoja kila sehemu yumo
Kuna malipo yoyote unapata?Mimi kazi yangu ni kupost JF
We nidanganye tu 🙄🙄🙄yaan katoni 30 sichukui risiti unanipa 20k afu unakuja kunitania humuMe kote choka mbaya niwe offline niwe online tafrani tupu!!! Nipe connection boss wangu ya uwinga basi 😂😂😂
Hata wewe mkuu tukikutag hata saa nane za usiku unakuja,
Unaongelea vitu gani? 😂😂😂We nidanganye tu 🙄🙄🙄yaan katoni 30 sichukui risiti unanipa 20k afu unakuja kunitania humu
Kwani wewe ulivyoandika hapa huoni kuwa na sisi uketuongezea update? Haya na wewe unafanya nini?Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Niko nasoma comment yako hapaKwani wewe ulivyoandika hapa huoni kuwa na sisi uketuongezea update? Haya na wewe unafanya nini?
Haya, chukua majibu haya kaijibu post yakoNiko nasoma comment yako hapa
Naijua hyo! Huko sijiNjoo wanyama 😂😂😂
😂😂😂 sasa si nakuelekeza nilipo unipe kazi ya uwingaNaijua hyo! Huko siji
Matumizi mabaya sana ya ruzuku,kutwa kulalamika na kutukana ccm ila sijawahi ona hata dawati Moja kusaidia jamii.
Chadema ni chama Cha hovyo sana.
Hahahahaa[emoji23]Hata wewe mkuu tukikutag hata saa nane za usiku unakuja,
😁😁😁😁Haina maslahi bn michosho tu😂😂😂 sasa si nakuelekeza nilipo unipe kazi ya uwinga
🤣mtag tu yaishe
Kweli wewe ni abnormal 😅Pole sana sisi wengine ni walinda maudhui ya mtandaoni 24/7 hautukosi humu ukiyakanyaga tuu tunakufata hadi hapo ulipo...(joking) usichukulie serious hii comment yangu.
Mi naichukulia serious mkuu, maana kuna watu kazi yao ni kushinda mitandaoni kuset trends na wanalipwa kwa ajili ya hilo. { wazua taharuki , wabadili upepo etc. }Pole sana sisi wengine ni walinda maudhui ya mtandaoni 24/7 hautukosi humu ukiyakanyaga tuu tunakufata hadi hapo ulipo...(joking) usichukulie serious hii comment yangu.
Unanisema mimi?Kuna ajuza mmoja kila sehemu yumo
Sio wew yeye ni kibibi kabisa ila kibishi na ni mfia dini mmoja hiviUnanisema mimi?