ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Angesema nyumba mbovu na mbaya ziko kwenu Usukumani na hasa Mwanza is Slum,Dom ni something elseπ¬π¬π¬π¬ππNI kajinga flani hivi kanadhani sote ni wajinga eti nyumba mbaya na zinajengwa kiholela
ππKumbe kule walipojenga Udom ni vichuguu!!?,Kwa Waziri Mkuu Area D ni vichuguu!!? ,Imagi Hill kwenye minara ni vichuguu...!!? Ihumwa Jeshini ni vichuguu..!!?, Ikulu ni vichuguu..!!? Milima nyuma ya gereza la Isanga ni vichuguu...!!?Dodoma hakuna milima wala mito hata mmoja ila vichuguu kibao.
Sio huwenda ,Bali ndio ukweli kwamba Jiji linakua Kwa Kasi.Upo sahihi Mkuu.
Dodoma ni uwe umeyapatia maisha tayari. Ni pagumu mno, lakini huwenda ndio sehemu inakua kwa kasi na fursa zinaonekana.
Ni kupambana hapohapo.
Dom hapana hizo situation nilizotaja,no anything extremely so pako liveable Kwa factors nyingi sana kushinda DarIshi popote unapotaka mimi sijakupangia.
Kama ambavyo hupataki Dar na Njombe. Nami ndivyo sipataki Dodoma.
Je ukiwa maji ya mbaaziUkiwa maji ya kunde fasta utakuwa mweusi tiii.
Mito ya nini? Ili muigeuze madampo bubu kama Dar inayonuka mauchafu Kila sehemu?Dodoma hakuna milima wala mito hata mmoja ila vichuguu kibao.
Hao ni wale wanaosimuliwa.Kwanza Dom ya Sasa imepandwa miti Mingi sana na sijui huo Ukame wanaoutaja ni upi ππhuyo jamaa ni walewale "hater" nina wasiwasi kama kweli amewahi kufika Dom manake anajichanganya mwenyewe anasema eti anakaribia mwakamzima hajaona mvua wakati msimu wa masika mwakahuu Dom mvua ilinyesha ya kutosha hadi kuvunja rekodiππ
Karibu Hapa KiliNianze kwa kusema nimeishi Arusha, Mwanza, Dar Moshi, na sasa hivi nipo Dodoma unaelekea Mwaka sasa nipo huku kwa sababu za kikazi.
HALI YA HEWA
Huu mji toka nifike sijaona mvua, mchana kuna jua kali sana na vumbi halafu jioni na usiku upepo mkali wa baridi kama jangwani karibia napakimbia .
MAKAZI
Kwa sasa hivi Dodoma ujenzi ndo mahala pake lakini watu hawajui kujenga kabisa ,Sidhani hata kama wanatumia ramani kwenye kujenga maana wanajenga manyumba makubwa kama makubwa jinga halafu mabaya hayapakwi rangi wala kupigwa lipu yanaachwa hivyo hivyo na madirishani wakiweka mifuko ya cement, mabox au makaratasi ya magodoro ni kichefuchefu. Ukija kwenye bati ndo huzuni mabati marefu refu kama Mkuki
USAFIRI
Kama huna gari au sio wa kutokea STM au STK etc huku hakufai usafirihaueleweki wala nauli hazieleweki kila mtu na nauli yake .
MAJI
Kwa mara ya kwanza nashuhudia maji ya idara ya maji yana chumvi. Kama huna kazi hapakufai, maji ya kunywa ni ununue bila hivyo utakunywa chumvi uwe na meno kama ndugu zetu wa Arusha.
KAZI
Dodoma ofisi nyingi zinahamia huku lakini sio sehemu bora ya kuja kuanzia maisha kama huna ramani tofauti na mikoa kama Dar, Mwanza na Arusha huku utapauka dakika 2 baada ya kushuka stand
MWISHO
Nisipoona hata mvua hii miezi iliobaki hata kwa mganga nitaenda nihame ofisi.
Mbeya labdaWatu wanaishi Khartoum hakuna miti na joto 40Β°C ndio ushindwe kuishi Dodoma?
Usipoishi Dodoma kwenye pesa utaishia wapi pengine? Acha uzushi wa kijinga
Si unaweza kuishi uko wewe?Dom hapana hizo situation nilizotaja,no anything extremely so pako liveable Kwa factors nyingi sana kushinda Dar
Unataka utukimbie mbeya.Kiufupi ukifika Dom Jiji lote ni jipya sio sawa na huko Mikoani Dar au kwingine kukikojaa uswazi na uswahili.
Binafsi napenda kuishi Dom sema ndio Sina fursa Kwa Sasa
Kwani kuna shidaUkiwa maji ya kunde fasta utakuwa mweusi tiii.
Siwezi kuhama Kila kitu kipo huku Kwa Sasa labda ningefanya mapema kabla sijakita miziziUnataka utukimbie mbeya.
Tuichange mbeya uwe kama dom
Wanaogopa hali ya hewa,wanadai watapauka ngozi,kukatika na pia wanaogopa vumbi.Waache tu wakae Dar wan'gare wakati mifukoni hawana kitu...Karibu Wilaya ya Chamwino,,Kata ya Dabalo,,Kijiji cha NAYU,,KITONGOJI cha Kinyami tuchimbe dhahabu,kama hutojali lakini
Hahahaha π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ πNilikuwa nimejifanya ngunguri nikaenda pale Chef Asili kusubiri basi mida ya saa moja.Nilipigwa na baridi mpaka nikanunua uji wa mchele bila kupenda.Kuna upepo Dodoma usiku sijawahi ona.
Ulibanduka ngozi na hivi nilikuwa nimevaa fulana nyepesi nilikoma aisee.Hahahaha π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π
Nimecheka sanaaaa aisee!!!!
Vipi haujaungua mdomo baada ya kumaliza uji