Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Geita, mwanza, simiyu na shinyanga huu ufara umetawala sanaKanda ya ziwa kubwa mkuu. Mkoa gani specifically? Maana kwa mkoa wa Mara ndoa siyo watu 2.
Makubaliano ni ya watu 2 lkn ng'ombe (.mahari) zikishatolewa mke anakuwa wa ukoo. Atakatwa mpk mkono lkn haondoki.
Kwahiyo mkuu kuhusu umri sahihi wa mtoto wa kike kuondoka kwao? Hujasema chochoteMwambie ajimiani na aishi Maisha yake
Daah! Tutawatuma TAWLA na LHRC wakatoe elimu hukoGeita, mwanza, simiyu na shinyanga huu ufara umetawala sana
Hakuna umri sahihi mkuu,kama hajaweza bado kujitegemea aendelee kukaa hapo Kwa Amani kabisa mpaka Mungu atakapo mjaaliaKwahiyo mkuu kuhusu umri sahihi wa mtoto wa kike kuondoka kwao? Hujasema chochote
Anaumia kusemwaKWA HIYO ANAUMIA KUSEMWA AU ANAUMIA KUENDELA KUKAA NYUMBANI KWAO BILA NDOA NA BILA KAZI
Hakuna mkuu dawa yao ni kuwakazia tu hakuna ndoa ....Daah! Tutawatuma TAWLA na LHRC wakatoe elimu huko
Amen. AsanteMwambie Katu asiwe mnyonge kabosa
Connection Ni kuuza au akili yako ndo imeishia hapoNop! I'm not here to sell anyone!
KWA HIYO HAITAJI MSAADA WA KIMOJAWAPO AIDHA KUOLEWA AU KUPATA KAZI NIMEONA UNAMKINGA SASA SIJUI KAMA NDIYO UNAMSAIDIA KUONDOKANA NA HAYO MASIMANGO AU WEWE NDIYO MUHUSIKAAnaumia kusemwa
ASANTEConnection Ni kuuza au akili yako ndo imeishia hapo
Soma mada uelewe. Kama umelewa lala utasoma keshoKWA HIYO HAITAJI MSAADA WA KIMOJAWAPO AIDHA KUOLEWA AU KUPATA KAZI NIMEONA UNAMKINGA SASA SIJUI KAMA NDIYO UNAMSAIDIA KUONDOKANA NA HAYO MASIMANGO AU WEWE NDIYO MUHUSIKA
Nahisi Ni yeye jua ndo linazama yaniHiKWA HIYO HAITAJI MSAADA WA KIMOJAWAPO AIDHA KUOLEWA AU KUPATA KAZI NIMEONA UNAMKINGA SASA SIJUI KAMA NDIYO UNAMSAIDIA KUONDOKANA NA HAYO MASIMANGO AU WEWE NDIYO MUHUSIKA
😳makubwa!Vijana wa kileo hatuko tayari kuowa majangili, majambazi na matapeli wa kike.........huko kanda ya ziwa kumeibuka mtindo mbovu sana mwanamke anakubali kuolewa kwa lengo moja la kwenda kuchuma mali za mume.....yaani anakubali ndoa baada ya mwaka mmoja tu anajigeuza anadai talaka na mwisho wa siku anakomaa wagawane mali alizozikuta pasu kwa pasu ......NYINYI WANAWAKE MKAOLEWE NA BABA ZENU AU KAKA ZENU ..
Kwa mila na tamaduni zilizokuwa zimezoeleka huko nyuma ilikuwa kwamba mtoto wa kike ataondoka kwa wazazi wake kwa kuolewa.
Kwa miaka ya karibuni mifumo na taratibu za maisha zimegeuka kabisa. Idadi kubwa ya watoto wa kike hawaolewi kwasabb mbalimbali.
Kufuatia mabadiliko haya ndiyo sababu ninakuja kwenu wanaJF na maswali yangu haya:-
1. Kwakuwa kuolewa ni nadra sana siku hizi, je, mtoto wa kike azeekee kwa wazazi wake?
2. Kama jibu la swali la kwanza hapo juu ni HAPANA, je, ni umri upi sahihi wa mtoto wa kike (asiyeolewa) kuondoka kwa wazazi wake na kwenda kujitegemea?
Kwann nimeleta uzi huu?
Kuna mdada mmoja kaja kuniomba ushauri mm Sexless, kungwi la kitaifa.
Anasema ana miaka 32 (msomi wa chuko kikuu) hajabahatika kuolewa wala hajapata kazi. Bado yupo kwa wazazi lkn hivi sasa anatukanwa na majirani, makaka na mashngazi. Wazazi wake hawana shida naye kabisaaa, wako peace kabisa.
Tutoe ushauri utakaosaidia wadada wote nchini wenye changamoto kama ya huyu mteja wangu.
Andika tu kiswahili mkuu!YOUR NOT SELLING
Kiinglish tafadhaliMarriage is the consent two people. I hope u understand what is missing?