Hivi mtu akifariki humu mnajuaje?

Daah inasikitisha mbona, pole kwa huyo jamaa
 
Reactions: BAK
Ni kweli unataja tu ID inatosha na sio kutoa historia ya maisha ya marehemu au location yake.
Ukiandika mwenzetu to yeye katutoka inatosha,la sivyo watu watakazana na PM wasijibiwe,wamlaumu marehemu pasipo sababu
 
Naomba unisaidie namna ya kumpata mpenzi humu mkuu,if possible,ni Pm
Mkuu kuna jukwaa linaitwa love connect.
Kuna majabali kibao yanapost vimemo kule

Ila all in all tread carefully.

Pisi zangu nyingi kali nazipata Mahali flani
 
Mshana Jr njoo utoe lecture huku
 
hivi jiwe ndiyo alikuwa anajiita Bia yetu? Au Kawe Alumni.

Maana siyo kwa kimya hiki.
 

#*Hivi wanawake xhida Iko wap Huko kwenu! Mna huruma na Kujali ndio ila xaxa hamsomeki Mkiombwa Namba kwa ajili ya mambo ya Dharula kama haya {Kifo, Kuumwa ,N.k) Hamtaki! asa xii Bora Kila Mtu Afee Kivyakeee•••••••
 
Ni kweli unataja tu ID inatosha na sio kutoa historia ya maisha ya marehemu au location yake.

Kama utaamua Kuleta Umbea wa kifo cha Member wa humu•••••• Basii Hakikisha unaleta Full Mkoko ili Tuamni
 
Kama utaamua Kuleta Umbea wa kifo cha Member wa humu•••••• Basii Hakikisha unaleta Full Mkoko ili Tuamni
Eti umbea wa kifo😂😂 Kuna vitu sio vya kudisclose ila kutoa tu taarifa watu wajue mwenzetu hayupo inatosha
 
#*Hivi wanawake xhida Iko wap Huko kwenu! Mna huruma na Kujali ndio ila xaxa hamsomeki Mkiombwa Namba kwa ajili ya mambo ya Dharula kama haya {Kifo, Kuumwa ,N.k) Hamtaki! asa xii Bora Kila Mtu Afee Kivyakeee•••••••
Ha ha haaa,aisee
 
Mtoa mada acha namba tuanze kufahamiana,,
Japo sio mhimu sana maana tutashindwa kufunguka kwa uwazi kwa vile tunafahamiana,ebu vuta picha ule uzi wetu was rickyboy wa kula kimasihara,,
Sasa mkifahamiana nahisi mengi yatabaki kuwa siri
 
Ushauri wako mzuri na umenikumbusha mbaliii!
JF itadumu ila members wake hawatodum milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…