Hivi mtu akifariki humu mnajuaje?

Wewe watu wamegonga hadi madwmu kumi humu humu

Unadhani watu hawajuani!!
 
Kuna mmoja nimesoma nae chekechea ha o level alinijua na Mimi nikamjua kwa mwandiko tu, nikifa atawaambia naye akifa nitawaambia, au vipi?
 
Kuna mmoja nimesoma nae chekechea ha o level alinijua na Mimi nikamjua kwa mwandiko tu, nikifa atawaambia naye akifa nitawaambia, au vipi?
Umetisha mkuu..mbona mwandiko ni mmoja humu?
 
ngoja nikaanzishe uzi unasema ivi humu mnawezaje kutambuana kijinsia?
 
We Kufa tu tutajua
 
Mimi nikifa Kuna member wanne wananifahamu watakuja kutoa taarifa..🤔🤔but how watapata taarifa ikiwa namba zao nilifutaga.. sijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…