Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Acha kujifariji.Bodaboda ina hela
Mtu kulaza 30 Kwa siku ni laZima
Hapo Kwa mwezi laki 9
Ni watumishi wachache wa umma wanalipwa laki 9
Bodaboda wanajenga, watoto wanaosoma, wanaendesha familia
Usidharau kazi ya mtu
Huyu dogo ni wa kumpuuza hata mimi kabla sijanyooshwa na kitaa nilikuwa na dharau kama hizo ....huyo dogo hata miaka 25 naamini hajafiki maana yake hayajui maisha yakoje .....hundred percent huyo dogo anaishi home.Upo sahihi, sasa,
Kule kijijini kwetu watoto wawili wa familia moja, mapacha wa kiume, walipo maliza la saba, wazazi wao wakafariki! Mi naenda form one, wao ikashindikana, inabidi wasote kijijini, wauze mkaa, wapike gongo,nipo form two, wao wakaanza form one, wakapata mfadhili wakamaliza form 4,pesa ya kuendelea hakuna, wakauweka kijijini, waendelee na msisha mengine,elimu ikawa imeishia hapo, kule kijijini, kaya ni maskini Sana, hata majani ya chai ya dukani ni hanasa, mi nikaenda chuo, baada ya mwaka nikarudi kusalimia kijijini, nilivyowaona washikaji, nilisononeka Sana, wamechakaa, wameishaoa, wamekuwa wazee wa kijijini, asubuh kilimo, mchana kunywa gongo kidogo, deal ya kuingiza pesa, ama uchome mkaa, uvue samaki!
Namalizia shahada yangu, washikaji ndio kabisaa,wameishakubali matokeo, ni kufa maskini tu, wana vitoto,makalio yapo nje, wakati huo Mimi, Nina CPA yangu, salary six figure!
Sasa kijana kama huyo, akiendesha boda kutafuta fedha, usimdharau, you have know idea what people go through!
Unaowaona mjini, wanapiga boda, kuuza umachinga, sio kwamba unawazidi akili, au ni wajinga, ni maisha tu, wengine tupo tulipo,sio kwa akili zetu, akili zilichsngia, Ila nature/Mungu Ali manipulate circumstances, tukaweza kufika hapa.
Unauliza swali Gani Hilo sio bila shaka Mimi pesa nina undugu nayo hiki ni koi akiba tu Cha tigo pesa saving ambacho nakutumia wiki Moja tu kimeishaBasi wewe bila shaka utakuwa ni milionea.
HatariYaani hiki chombo Cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda Chali Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya kijinga kama Boda Boda naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe ni uchafu yaani unakufa kisa buku si ujinga huu
Watu wanakurupuka tu kuongea mkuuBodaboda gani unaowaongelea mzee baba?, mbona tunaishi nao huku mtaani hali zao tunazijua, yani alaze 30k halafu asumbuane na boss kwa hesabu ya 10k.! hivi hizi hesabu mnazozitajaga mshawahi kufanya iyo kazi au mnazitaja tu baada ya kusikia story mtaani.
Well ungekua unajua maisha yapoje usingekua masikini boya wewe halafu hiyo michezo yenu ya barabarani Mimi nitakuja kuwamwaga ubongo endeleeniHuyu dogo ni wa kumpuuza hata mimi kabla sijanyooshwa na kitaa nilikuwa na dharau kama hizo ....huyo dogo hata miaka 25 naamini hajafiki maana yake hayajui maisha yakoje .....hundred percent huyo dogo anaishi home.
So ni wa kumpuuzia utoto unamsumbua.
Hajui kwamba kilo Moja ya chupa za maji zinazotupwagwa mitaani ni 700 hadi 800 kwa siku wengine wanakusanya kama kilo 20 na zaidiHata uchafu siku hizi Ni kazi inayozingatiwa.
Ukiokota machupa maana yake wewe hazipo mtu mwenye akili timamu unaanzaje kuokota makopo ya wenzio waliokunywa majiHajui kwamba kilo Moja ya chupa za maji zinazotupwagwa mitaani ni 700 hadi 800 kwa siku wengine wanakusanya kama kilo 20 na zaidi
Haya Maisha chunga sanakudharau kazi ya mwenzio
Tema mate chini sema mdomo komaUki
Ukiokota machupa maana yake wewe hazipo mtu mwenye akili timamu unaanzaje kuokota makopo
Tema wewe Mimi Sina mate dunia haiitaji watu wanyonge na kutia hurumaTema mate chini sema mdomo koma
Sikia wewe boda mchezo wako wakujiharishia hovyo barabarani Mimi nitakuja kukumwaga ubongoUkifanikiwa kubalehe kiakili utakuja kufuta huu uharo uliojamba na kuharisha hapa.
Wewe utoto unakusumbua sana, usipokuwa makini utalawitiwa halafu mwishowe vipesa vyako vyote uje utumie kununua pampus.Sikia wewe boda mchezo wako wakujiharishia hovyo barabarani Mimi nitakuja kukumwaga ubongo
Pole sana kumbe umeshalawitiwa Sasa hivi unavaa pampas🤣Wewe utoto unakusumbua sana, usipokuwa makini utalawitiwa halafu mwishowe vipesa vyako vyote uje utumie kununua pampus.
UselessYaani hiki chombo cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi, aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda chali.
Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya bodaboda, naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe siyo yaani unakufa kisa buku si ujinga huu.
Nonsense tafuta hela masikini weweUseless
Nonsense
Rubbish
Endelea kujichekesha.Pole sana kumbe umeshalawitiwa Sasa hivi unavaa pampas🤣
Nonsense tafuta hela masikini wewe
Kumbe unavaa pampas pole sana mzee ndio maisha hayo kikubwa hawajakuua 🤣🤣🤣🤣Endelea kujichekesha.
Usihitimishe hivi mkuu, kazi ni kazi Ili mradi ni halali na inaingiza kipatoYaani hiki chombo cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi, aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda chali.
Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya bodaboda, naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe siyo yaani unakufa kisa buku si ujinga huu.
Tafuta hela masikini wewe ndio maana nagonga sana wake wa bodaboda sababu ni masikini marofa🤣🤣🤣🤣Huwa nampakiza mpaka mkeo boya wewe kupata kwako isiwe kejeli kwa wengine, jifunze ustaarabu unaleta nyuzi za kipuuzi sana wee dogo