Hivi mume wa Mange Kimambi anachepuka kweli??

Mbona alikuwa anachepuka na shoga yake, na alibisha mpaka waliporusha picha zao..... hana cha ufbi wala ucia.... Tz ukitaka habari zozote unapata tuu, kuna watu wanajifanya wanajua kila kitu...madaktari wao, lawyers wao, wanasiasa wao....na ndio hao ambao humtumia huyo mange hizo habari
 
Akijua anamchamba mchepuko wake mwanzo mwisho
 
Huyu mtu ni Nani nasikia mnamuongelea sanaa.....Au yeye Hafanyiwi Kifo cha Membe?
 
Mimi ex waifu alishanifumania kabisa laivu kitandani mwetu nilimpiga saundi had akakubali alikuwa anaota ni illusion. Hadi Leo anadhani hivyo. Mwanaume uwez kubali mambo ngeseki ngeseki lazima Uwe mbishi
Pamoja na sound mwishowe akawa x-wife kwako!! Ilikuwaje tena mzee wa sound!?
 
Siku zote mganga hajigangi
 
Kwani hicho Kinungayembe kina mume au madanga..[emoji83][emoji1436]
 
Mwanaume atakayeweza kuishi na mange! Labda mugabe
Kwa hiyo Mange anafaa kuwa first lady. TOBA! Mugabe asisikie. Labda ndicho kitakachomfanya agairi kugombea urais
 
Dada lile domo hafai....ila yeye ni safi kiasi gani?
 
true,kama yupo nina uwalakini na uanaume wake 😵😳😱
kuna wakati unakua kwenye ndoa au mahusiano na mwanamke ambae hata ukitaka kumtendea ubaya wowote nafsi inakusuta sababu ya upendo wake, kujitoa kwake na tabia nzuri zake. ukiona nafsi kwa mwanaume inakupeleka hivo ni ngumu sana kuchepuka maana unakua huna amani kabisa mda mwingine mtu anakosa hadi raha kabisa. so inategemeana sio wote japo ni wachache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…