Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Ujue siwaelewi.
Nashindwa kuelewa mpaka sasa huyo Mungu anayepata sifa kede kede katika hivyo vitabu vyenu Biblia na Quran mpaka sasa hizo sifa zake ameshindwa kuzionesha kwa wafuasi wake.
Angalia wafuasi wake pale Palestine wapo tayari kwa nguvu zao kulinda ule msikiti usitwaliwe na waisrael lakini Mungu wao mpaka sasa kashindwa kabisa kuwalinda wao dhidi ya makombora ya waisrael.
Hivi umewahi kuona video za watoto wa kipalestine wanao kufa kila siku tuchukulie mfano video za juzi juzi tu hapa ambazo kambi ya wakimbizi imeripuliwa huko Rafah na watoto wa kipalestine wamechomwa moto inasikitisha sana lakini huyo Mungu wao ambao wao wapalestine mpaka huwa wanapigana na askari wa waisrael kuhusu msikiti wa Al Aqsa wanapo zuiliwa kusali na wapo tayari kuulinda huo msikiti dhidi ya Israel lakini huyo Mungu hata kuwalinda wao dhidi ya uharamia wa Israel kashindwa kabisa.
Zile sifa kede kede mnazompa kwenye Quran ni hadithi tu za kijifurahisha za uongo ? Au huyo Mungu kafa ? Hayupo ? Au amewachoka hataki kuwasikiliza wafuasi wake ?
Tuje hapo Sudan, tuende somalia hali ni ile ile ni kushindwa kwa huyo Mungu anaye abuduiwa na kupewa sifa kede kede mara oooh ni muweza wa yote mpaka sasa kuwalinda watu wake dhidi ya uharamia kashindwa kabisa.
Sasa huyo Mungu kazi yake nini ? Kama tu zile zinazo elezewa kwenye hivyo vitabu mpaka leo hakuna anacho thibitisha kama anaweza kufanya au kuna mahali naye kajificha kazidiwa nguvu na watu wa duniani wa sasa tofauti na hao wa kale ambapo aliweza ?
Hawa wayahudi nao Mungu wao anapewa rundo la sifa mara ooh Samson pekee aliua wafilisti kwa uwezo wa Mungu, mara oooh Mussa alipasua bahari kwa uwezo wa Mungu sifa nyingi lakini huyo Mungu alishindwa kabisa kuwaokoa dhidi ya uharamia wa Hitler mpaka unajiuliza wakati Hitler anafanya anayo yafanya huyo Mungu alikuwa amelala miaka yote ?
Leo hii wanajilinda kwa mamifumo ya ulinzi ya kutisha na makombora ya kutisha sioni yule Mungu wao akiwalinda kwa miujiza yake kama anavyopewa sifa kwenye vitabu vyao.
Juzi tu hapo walipigwa ambush na Hamas huyo Mungu wao kuwalinda alikuwa wapi ?
Tuje Congo hawa wakatoliki wa Congo nao wanachinjana na kuchinjwa kila siku, wacongo huwezi waambia kitu kuhusu Mungu wao kupitia katoliki lakini mpaka leo wanategemea askari toka Tanzania waende wakawalinde kwa nini huyo Mungu wao asioneshe miujiza yake sasa ? Anasubiri nini na lini ?
Huko Ukraine wale wa orthodox nao Mungu wao kashindwa kuwalinda kabisa hata kuwapatanisha na wa orthodox wenzao warusi hakuna muujiza wowote alio fanya zaidi tu ya waukraine kuendelea kufa kila siku na kufanyiwa uharamia na Warusi.
Tunaambiwa huyo Mungu kupitia jiwe tu Daudi alimuua Goliath lakini leo hii mawe yameshindwa kuwalinda wapalestine kuzuia vifaru vya waisrael vinavyo waangamiza na kupora maeneo yao kila siku.
"Mungu wa upendo na huruma" inafikirisha sana.
HUYO MUNGU TUNAEAMBIWA WA HURUMA NA UPENDO YUPO WAPI ?
MBONA KIMYA WAFUASI WAKE WANAZIDI KUANGAMIZWA KILA SIKU AU MIUJIZA IMEISHA ?
Nashindwa kuelewa mpaka sasa huyo Mungu anayepata sifa kede kede katika hivyo vitabu vyenu Biblia na Quran mpaka sasa hizo sifa zake ameshindwa kuzionesha kwa wafuasi wake.
Angalia wafuasi wake pale Palestine wapo tayari kwa nguvu zao kulinda ule msikiti usitwaliwe na waisrael lakini Mungu wao mpaka sasa kashindwa kabisa kuwalinda wao dhidi ya makombora ya waisrael.
Hivi umewahi kuona video za watoto wa kipalestine wanao kufa kila siku tuchukulie mfano video za juzi juzi tu hapa ambazo kambi ya wakimbizi imeripuliwa huko Rafah na watoto wa kipalestine wamechomwa moto inasikitisha sana lakini huyo Mungu wao ambao wao wapalestine mpaka huwa wanapigana na askari wa waisrael kuhusu msikiti wa Al Aqsa wanapo zuiliwa kusali na wapo tayari kuulinda huo msikiti dhidi ya Israel lakini huyo Mungu hata kuwalinda wao dhidi ya uharamia wa Israel kashindwa kabisa.
Zile sifa kede kede mnazompa kwenye Quran ni hadithi tu za kijifurahisha za uongo ? Au huyo Mungu kafa ? Hayupo ? Au amewachoka hataki kuwasikiliza wafuasi wake ?
Tuje hapo Sudan, tuende somalia hali ni ile ile ni kushindwa kwa huyo Mungu anaye abuduiwa na kupewa sifa kede kede mara oooh ni muweza wa yote mpaka sasa kuwalinda watu wake dhidi ya uharamia kashindwa kabisa.
Sasa huyo Mungu kazi yake nini ? Kama tu zile zinazo elezewa kwenye hivyo vitabu mpaka leo hakuna anacho thibitisha kama anaweza kufanya au kuna mahali naye kajificha kazidiwa nguvu na watu wa duniani wa sasa tofauti na hao wa kale ambapo aliweza ?
Hawa wayahudi nao Mungu wao anapewa rundo la sifa mara ooh Samson pekee aliua wafilisti kwa uwezo wa Mungu, mara oooh Mussa alipasua bahari kwa uwezo wa Mungu sifa nyingi lakini huyo Mungu alishindwa kabisa kuwaokoa dhidi ya uharamia wa Hitler mpaka unajiuliza wakati Hitler anafanya anayo yafanya huyo Mungu alikuwa amelala miaka yote ?
Leo hii wanajilinda kwa mamifumo ya ulinzi ya kutisha na makombora ya kutisha sioni yule Mungu wao akiwalinda kwa miujiza yake kama anavyopewa sifa kwenye vitabu vyao.
Juzi tu hapo walipigwa ambush na Hamas huyo Mungu wao kuwalinda alikuwa wapi ?
Tuje Congo hawa wakatoliki wa Congo nao wanachinjana na kuchinjwa kila siku, wacongo huwezi waambia kitu kuhusu Mungu wao kupitia katoliki lakini mpaka leo wanategemea askari toka Tanzania waende wakawalinde kwa nini huyo Mungu wao asioneshe miujiza yake sasa ? Anasubiri nini na lini ?
Huko Ukraine wale wa orthodox nao Mungu wao kashindwa kuwalinda kabisa hata kuwapatanisha na wa orthodox wenzao warusi hakuna muujiza wowote alio fanya zaidi tu ya waukraine kuendelea kufa kila siku na kufanyiwa uharamia na Warusi.
Tunaambiwa huyo Mungu kupitia jiwe tu Daudi alimuua Goliath lakini leo hii mawe yameshindwa kuwalinda wapalestine kuzuia vifaru vya waisrael vinavyo waangamiza na kupora maeneo yao kila siku.
"Mungu wa upendo na huruma" inafikirisha sana.
HUYO MUNGU TUNAEAMBIWA WA HURUMA NA UPENDO YUPO WAPI ?
MBONA KIMYA WAFUASI WAKE WANAZIDI KUANGAMIZWA KILA SIKU AU MIUJIZA IMEISHA ?