Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
Jameni tufanyeni kazi na tujikite katika tafiti mbalimbali... Hakuna miujiza kwenye dunia hii.. Amin nimewaibia siri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣Hata firauni aliua sana lakini wakati wa Mungu ulipofika hakutoboa kabisa aliangamia na utawala wake. Mungu anafanya kazi zake kwa Wakati hakurupuki kama wewe. Sifa ya binadamu ni pupa Allah ameshakadiria kila kitu na idadi ya watakao poteza usiwe na haraka ndugu yangu
Kwa Nini Mungu alimuumba Shetani wakati hapendi maovu?Huwezi kumpangia Mungu ratiba yake
Wakati wake bado
Maisha ya hapa duniani ni kama movie, sasa hivi kubwa la maadui Shetani anatamba ndio maana unaona mambo ya hovyo mengi sio vita tu hata maadili
Movie inapoelekea mwishoni wakati wa Mungu wa kumuua kubwa la maadui utafika na hapo ndiyo itakuwa mwisho wa yote uliyosema
Shetani alikuwa malaika mzuri tu ila akaasiKwa Nini Mungu alimuumba Shetani wakati hapendi maovu?
Za kuambiwa changanya na za kwako sweetheart...
Sure loZa kuambiwa changanya na za kwako sweetheart...