Hivi Mungu wenu bado yupo au amekufa? Au zile zilikuwa hadithi tu za vitabuni?

Hivi Mungu wenu bado yupo au amekufa? Au zile zilikuwa hadithi tu za vitabuni?

Ujue siwaelewi.

Nashindwa kuelewa mpaka sasa huyo Mungu anayepata sifa kede kede katika hivyo vitabu vyenu Biblia na Quran mpaka sasa hizo sifa zake ameshindwa kuzionesha kwa wafuasi wake.

Angalia wafuasi wake pale Palestine wapo tayari kwa nguvu zao kulinda ule msikiti usitwaliwe na waisrael lakini Mungu wao mpaka sasa kashindwa kabisa kuwalinda wao dhidi ya makombora ya waisrael.

Hivi umewahi kuona video za watoto wa kipalestine wanao kufa kila siku tuchukulie mfano video za juzi juzi tu hapa ambazo kambi ya wakimbizi imeripuliwa huko Rafah na watoto wa kipalestine wamechomwa moto inasikitisha sana lakini huyo Mungu wao ambao wao wapalestine mpaka huwa wanapigana na askari wa waisrael kuhusu msikiti wa Al Aqsa wanapo zuiliwa kusali na wapo tayari kuulinda huo msikiti dhidi ya Israel lakini huyo Mungu hata kuwalinda wao dhidi ya uharamia wa Israel kashindwa kabisa.

Zile sifa kede kede mnazompa kwenye Quran ni hadithi tu za kijifurahisha za uongo ? Au huyo Mungu kafa ? Hayupo ? Au amewachoka hataki kuwasikiliza wafuasi wake ?

Tuje hapo Sudan, tuende somalia hali ni ile ile ni kushindwa kwa huyo Mungu anaye abuduiwa na kupewa sifa kede kede mara oooh ni muweza wa yote mpaka sasa kuwalinda watu wake dhidi ya uharamia kashindwa kabisa.

Sasa huyo Mungu kazi yake nini ? Kama tu zile zinazo elezewa kwenye hivyo vitabu mpaka leo hakuna anacho thibitisha kama anaweza kufanya au kuna mahali naye kajificha kazidiwa nguvu na watu wa duniani wa sasa tofauti na hao wa kale ambapo aliweza ?

Hawa wayahudi nao Mungu wao anapewa rundo la sifa mara ooh Samson pekee aliua wafilisti kwa uwezo wa Mungu, mara oooh Mussa alipasua bahari kwa uwezo wa Mungu sifa nyingi lakini huyo Mungu alishindwa kabisa kuwaokoa dhidi ya uharamia wa Hitler mpaka unajiuliza wakati Hitler anafanya anayo yafanya huyo Mungu alikuwa amelala miaka yote ?

Leo hii wanajilinda kwa mamifumo ya ulinzi ya kutisha na makombora ya kutisha sioni yule Mungu wao akiwalinda kwa miujiza yake kama anavyopewa sifa kwenye vitabu vyao.

Juzi tu hapo walipigwa ambush na Hamas huyo Mungu wao kuwalinda alikuwa wapi ?

Tuje Congo hawa wakatoliki wa Congo nao wanachinjana na kuchinjwa kila siku, wacongo huwezi waambia kitu kuhusu Mungu wao kupitia katoliki lakini mpaka leo wanategemea askari toka Tanzania waende wakawalinde kwa nini huyo Mungu wao asioneshe miujiza yake sasa ? Anasubiri nini na lini ?

Huko Ukraine wale wa orthodox nao Mungu wao kashindwa kuwalinda kabisa hata kuwapatanisha na wa orthodox wenzao warusi hakuna muujiza wowote alio fanya zaidi tu ya waukraine kuendelea kufa kila siku na kufanyiwa uharamia na Warusi.

Tunaambiwa huyo Mungu kupitia jiwe tu Daudi alimuua Goliath lakini leo hii mawe yameshindwa kuwalinda wapalestine kuzuia vifaru vya waisrael vinavyo waangamiza na kupora maeneo yao kila siku.

"Mungu wa upendo na huruma" inafikirisha sana.

HUYO MUNGU TUNAEAMBIWA WA HURUMA NA UPENDO YUPO WAPI ?

MBONA KIMYA WAFUASI WAKE WANAZIDI KUANGAMIZWA KILA SIKU AU MIUJIZA IMEISHA ?
Mungu hayupo mkuu.

Hizo habari za Mungu kuwapo ni stories walizotunga watu waliokuwa wanapambana na hali zao tu.

Mungu angekuwapo hata huu mjadala kama Mungu yupo au haupo usingewezakana kuwepo.
 
Thibitisha hayo uliyo andika
Mungu hayupo mkuu.

Hizo habari za Mungu kuwapo ni stories walizotunga watu waliokuwa wanapambana na hali zao tu.

Mungu angekuwapo hata huu mjadala kama Mungu yupo au haupo usingewezakana kuwepo.
 
Sisi tunaoamini na kujua kwamba Mungu yupo tunajua pia kwamba ana hekima na njia na sababu katika kila jambo limtokealo mwanadamu.

Kwa sababu hawezi kuwa Mungu bila kuwa na maelezo mantikifu ya kila kitu, au siyo?

Tatizo linaanzia tu pale mwanadamu anapotaka kucheza kwenye nafasi ya Mungu.

Nadhani kila mmoja acheze kwenye nafasi husika kadiri ya uwezo na hekima aliyo nayo.
Suala ni kwanini anashindwa kulinda wafuasi wake licha ya sifa kede kede anazopewa na hao wafuasi wake
 
Hayupo kiongozi kwa nani alisema yupo?kumbuka unaelezwa hivi ..your ways aren't my ways.. says the Lord

Kila jambo hutokea kwa sababu kuwa na subra utajua.Atakama ni nature lazima kuna kitu kama cause-effect relationship.So kabla ya kupata majibu sahihi jiulize nini chanzo cha haya yote uliyosema hapa afu ndio utajua who is to intervene
 
Thibitisha hayo uliyo andika

Kwanza kabisa.

Kimantiki.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mabaya ni contradiction.

Mungu huyo, kwa sifa zake hizo, hawi pamoja na ulimwengu unaoruhusu mabaya.

The two are mutually exclusive.

Ama Mungu huyo yupo na ulimwengu unaoruhusu mabaya haupo.

Ama, ulimwengu unaoruhusu mabaya upo, na Mungu huyo hayupo.

Ulimwengu unaoruhusu mabaya upo.

Hivyo.

Mungu huyo hayupo.
 
Suala ni kwanini anashindwa kulinda wafuasi wake licha ya sifa kede kede anazopewa na hao wafuasi wake
Mkuu, define ^kushindwa!^

Utagundua mwenyewe kwamba hiyo ni istilahi sahabi na tushisi (relative and subjective term).

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mabaya ni contradiction.

Mungu huyo, kwa sifa zake hizo, hawi pamoja na ulimwengu unaoruhusu mabaya.
Hizi sifa za Mungu umezipata wapi? Ningependa sana kujua chanzo cha taarifa zako hizi.

Nikijua chanzo chako ulikopata hizo habari, bila shaka nitakusaidia utoke kwenye mkwamo wako wa kifikra.
 
Huwezi kumpangia Mungu ratiba yake

Wakati wake bado

Maisha ya hapa duniani ni kama movie, sasa hivi kubwa la maadui Shetani anatamba ndio maana unaona mambo ya hovyo mengi sio vita tu hata maadili

Movie inapoelekea mwishoni wakati wa Mungu wa kumuua kubwa la maadui utafika na hapo ndiyo itakuwa mwisho wa yote uliyosema
 
Tunaambiwa yeye ndie mjuzi wa hatma ya kila alie muumba. Anajua utakufa vipi toka unazaliwa. Sasa kama alishapanga utakufa vipi inakuwaje anae kuua apate dhambi? Kama anajua kwa mfano Palestinians watakufa kwa kupigwa makombora na Israelis how come Israelis waandikiwe dhambi kwa kutekeleza kila ambacha muumba alishakipanga kwa Palestinians? Au kama tayari alijua some Jews watakufa kwa kuangamizwa kwa sumu na Hitler, iweje Hitler aandikiwe dhambi kwa kutelekeza kitu ambacho tayari yeye muumba alishakipanga.
 
Kila kitu kipo katika mlolongo......
Usiache kufanya haqi kisa kuna batwili. Mungu wetu ni mmoja na akilihukumia jambo uliambia "kua kisha linakua"
 
Imani za kidini zimebaki kwa watu wenye mioyo miepesi ya kudanganyika ila sisi tuliojua ukweli kuwa DINI ni mifumo tu ya maisha ya kundi fulani TUMESHA LEFT GROUP kitambo.AASAAANTEEEE
 
Ujue siwaelewi.

Nashindwa kuelewa mpaka sasa huyo Mungu anayepata sifa kede kede katika hivyo vitabu vyenu Biblia na Quran mpaka sasa hizo sifa zake ameshindwa kuzionesha kwa wafuasi wake.

Angalia wafuasi wake pale Palestine wapo tayari kwa nguvu zao kulinda ule msikiti usitwaliwe na waisrael lakini Mungu wao mpaka sasa kashindwa kabisa kuwalinda wao dhidi ya makombora ya waisrael.

Hivi umewahi kuona video za watoto wa kipalestine wanao kufa kila siku tuchukulie mfano video za juzi juzi tu hapa ambazo kambi ya wakimbizi imeripuliwa huko Rafah na watoto wa kipalestine wamechomwa moto inasikitisha sana lakini huyo Mungu wao ambao wao wapalestine mpaka huwa wanapigana na askari wa waisrael kuhusu msikiti wa Al Aqsa wanapo zuiliwa kusali na wapo tayari kuulinda huo msikiti dhidi ya Israel lakini huyo Mungu hata kuwalinda wao dhidi ya uharamia wa Israel kashindwa kabisa.

Zile sifa kede kede mnazompa kwenye Quran ni hadithi tu za kijifurahisha za uongo ? Au huyo Mungu kafa ? Hayupo ? Au amewachoka hataki kuwasikiliza wafuasi wake ?

Tuje hapo Sudan, tuende somalia hali ni ile ile ni kushindwa kwa huyo Mungu anaye abuduiwa na kupewa sifa kede kede mara oooh ni muweza wa yote mpaka sasa kuwalinda watu wake dhidi ya uharamia kashindwa kabisa.

Sasa huyo Mungu kazi yake nini ? Kama tu zile zinazo elezewa kwenye hivyo vitabu mpaka leo hakuna anacho thibitisha kama anaweza kufanya au kuna mahali naye kajificha kazidiwa nguvu na watu wa duniani wa sasa tofauti na hao wa kale ambapo aliweza ?

Hawa wayahudi nao Mungu wao anapewa rundo la sifa mara ooh Samson pekee aliua wafilisti kwa uwezo wa Mungu, mara oooh Mussa alipasua bahari kwa uwezo wa Mungu sifa nyingi lakini huyo Mungu alishindwa kabisa kuwaokoa dhidi ya uharamia wa Hitler mpaka unajiuliza wakati Hitler anafanya anayo yafanya huyo Mungu alikuwa amelala miaka yote ?

Leo hii wanajilinda kwa mamifumo ya ulinzi ya kutisha na makombora ya kutisha sioni yule Mungu wao akiwalinda kwa miujiza yake kama anavyopewa sifa kwenye vitabu vyao.

Juzi tu hapo walipigwa ambush na Hamas huyo Mungu wao kuwalinda alikuwa wapi ?

Tuje Congo hawa wakatoliki wa Congo nao wanachinjana na kuchinjwa kila siku, wacongo huwezi waambia kitu kuhusu Mungu wao kupitia katoliki lakini mpaka leo wanategemea askari toka Tanzania waende wakawalinde kwa nini huyo Mungu wao asioneshe miujiza yake sasa ? Anasubiri nini na lini ?

Huko Ukraine wale wa orthodox nao Mungu wao kashindwa kuwalinda kabisa hata kuwapatanisha na wa orthodox wenzao warusi hakuna muujiza wowote alio fanya zaidi tu ya waukraine kuendelea kufa kila siku na kufanyiwa uharamia na Warusi.

Tunaambiwa huyo Mungu kupitia jiwe tu Daudi alimuua Goliath lakini leo hii mawe yameshindwa kuwalinda wapalestine kuzuia vifaru vya waisrael vinavyo waangamiza na kupora maeneo yao kila siku.

"Mungu wa upendo na huruma" inafikirisha sana.

HUYO MUNGU TUNAEAMBIWA WA HURUMA NA UPENDO YUPO WAPI ?

MBONA KIMYA WAFUASI WAKE WANAZIDI KUANGAMIZWA KILA SIKU AU MIUJIZA IMEISHA ?
Siwezi kuwasemea hao wenzangu ila Mungu wetu ambae ni Mungu wa Israel anayo nguvu sana na ndio maana wewe mwenyewe unaona kazi zake mchana na usiku.

Angalia Israel yenyewe utaelewe ninachosema,

Jina na Yesu linatenda kazi kulingana na imani uliyonayo sio historia.
 
Ujue siwaelewi.

Nashindwa kuelewa mpaka sasa huyo Mungu anayepata sifa kede kede katika hivyo vitabu vyenu Biblia na Quran mpaka sasa hizo sifa zake ameshindwa kuzionesha kwa wafuasi wake.

Angalia wafuasi wake pale Palestine wapo tayari kwa nguvu zao kulinda ule msikiti usitwaliwe na waisrael lakini Mungu wao mpaka sasa kashindwa kabisa kuwalinda wao dhidi ya makombora ya waisrael.

Hivi umewahi kuona video za watoto wa kipalestine wanao kufa kila siku tuchukulie mfano video za juzi juzi tu hapa ambazo kambi ya wakimbizi imeripuliwa huko Rafah na watoto wa kipalestine wamechomwa moto inasikitisha sana lakini huyo Mungu wao ambao wao wapalestine mpaka huwa wanapigana na askari wa waisrael kuhusu msikiti wa Al Aqsa wanapo zuiliwa kusali na wapo tayari kuulinda huo msikiti dhidi ya Israel lakini huyo Mungu hata kuwalinda wao dhidi ya uharamia wa Israel kashindwa kabisa.

Zile sifa kede kede mnazompa kwenye Quran ni hadithi tu za kijifurahisha za uongo ? Au huyo Mungu kafa ? Hayupo ? Au amewachoka hataki kuwasikiliza wafuasi wake ?

Tuje hapo Sudan, tuende somalia hali ni ile ile ni kushindwa kwa huyo Mungu anaye abuduiwa na kupewa sifa kede kede mara oooh ni muweza wa yote mpaka sasa kuwalinda watu wake dhidi ya uharamia kashindwa kabisa.

Sasa huyo Mungu kazi yake nini ? Kama tu zile zinazo elezewa kwenye hivyo vitabu mpaka leo hakuna anacho thibitisha kama anaweza kufanya au kuna mahali naye kajificha kazidiwa nguvu na watu wa duniani wa sasa tofauti na hao wa kale ambapo aliweza ?

Hawa wayahudi nao Mungu wao anapewa rundo la sifa mara ooh Samson pekee aliua wafilisti kwa uwezo wa Mungu, mara oooh Mussa alipasua bahari kwa uwezo wa Mungu sifa nyingi lakini huyo Mungu alishindwa kabisa kuwaokoa dhidi ya uharamia wa Hitler mpaka unajiuliza wakati Hitler anafanya anayo yafanya huyo Mungu alikuwa amelala miaka yote ?

Leo hii wanajilinda kwa mamifumo ya ulinzi ya kutisha na makombora ya kutisha sioni yule Mungu wao akiwalinda kwa miujiza yake kama anavyopewa sifa kwenye vitabu vyao.

Juzi tu hapo walipigwa ambush na Hamas huyo Mungu wao kuwalinda alikuwa wapi ?

Tuje Congo hawa wakatoliki wa Congo nao wanachinjana na kuchinjwa kila siku, wacongo huwezi waambia kitu kuhusu Mungu wao kupitia katoliki lakini mpaka leo wanategemea askari toka Tanzania waende wakawalinde kwa nini huyo Mungu wao asioneshe miujiza yake sasa ? Anasubiri nini na lini ?

Huko Ukraine wale wa orthodox nao Mungu wao kashindwa kuwalinda kabisa hata kuwapatanisha na wa orthodox wenzao warusi hakuna muujiza wowote alio fanya zaidi tu ya waukraine kuendelea kufa kila siku na kufanyiwa uharamia na Warusi.

Tunaambiwa huyo Mungu kupitia jiwe tu Daudi alimuua Goliath lakini leo hii mawe yameshindwa kuwalinda wapalestine kuzuia vifaru vya waisrael vinavyo waangamiza na kupora maeneo yao kila siku.

"Mungu wa upendo na huruma" inafikirisha sana.

HUYO MUNGU TUNAEAMBIWA WA HURUMA NA UPENDO YUPO WAPI ?

MBONA KIMYA WAFUASI WAKE WANAZIDI KUANGAMIZWA KILA SIKU AU MIUJIZA IMEISHA ?
Hakunaga kiumbe kinachoitwa mungu
 
Back
Top Bottom