Hivi Mungu wenu bado yupo au amekufa? Au zile zilikuwa hadithi tu za vitabuni?

Jameni tufanyeni kazi na tujikite katika tafiti mbalimbali... Hakuna miujiza kwenye dunia hii.. Amin nimewaibia siri
 
🤣 🤣 🤣

Nani alikwambia Firauni alishughulikiwa na Allah
 
Kwa Nini Mungu alimuumba Shetani wakati hapendi maovu?
 
Kwa kweli binafsi kifo cha Hayati JPM kiliniacha na maswali ambayo itachukua muda mrefu kupata majibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…