Huwezi kumpangia Mungu ratiba yake
Wakati wake bado
Maisha ya hapa duniani ni kama movie, sasa hivi kubwa la maadui Shetani anatamba ndio maana unaona mambo ya hovyo mengi sio vita tu hata maadili
Movie inapoelekea mwishoni wakati wa Mungu wa kumuua kubwa la maadui utafika na hapo ndiyo itakuwa mwisho wa yote uliyosema