Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Watu wa Jumamosi wamezungumzwa ndani ya Qur'an na waligeuzwa manyani. Qur'an ni mwongozo na hakuna tusilolijua kupitia Qur'an.
Ni jinsi mnavyoaminishwa
Waarabu ni waislam
Musa hakuwa mwarabu alikuwa ni mjew
Na wajews mpaka leo ni wa Judaism
Nyie mnaaminishwa
 
Ni jinsi mnavyoaminishwa
Waarabu ni waislam
Musa hakuwa mwarabu alikuwa ni mjew
Na wajews mpaka leo ni wa Judaism
Nyie mnaaminishwa
Hivyo Musa alifundisha ujew ! Vipi Daudi yeye alifundisha nini !?
Hao wote wanajua kuwa Yesu ni mungu ?
 
Wagalatia hamna mnachokijua !
Ukiristo wako huujui, bali utamkuta mgala yuko biizee anausemea Uislaam !
Sisi tunasoma dini kwanza (madrasa) wakafi nyie mmeachia dini mapadre na manabii wa uongo. How come mtu anasimama anakwambia kaongea na Yesu halafu kanisa zima linalipuka kwa shangwe !
Nimekujib kwa jinsi nilivyokuelewa, hueleweki na wewe
Ni kama unaniuliza kama nilifundishwa ukurya
 
Nimekujib kwa jinsi nilivyokuelewa, hueleweki na wewe
Ni kama unaniuliza kama nilifundishwa ukurya
Hizi aya ndio zinamsilimisha Musa AS na Yesu AS.


Ni jinsi mnavyoaminishwa
Waarabu ni waislam
Musa hakuwa mwarabu alikuwa ni mjew
Na wajews mpaka leo ni wa Judaism
Nyie mnaaminishwa
 
Yote yameandikwa kwenye biblia
 
JIBU HIZO HOJA. 1.Nani kateremsha(kama kweli iliteremka) Qurani. Jibril au Roho Mtakatifu?
2.SHETANI yuko kwenu amesilimu na mnasali naye Msikitini. Hiyo ndio dini ya Mwenyezi Mungu kweli?
Ndio maana kila jini ni muislam... maana unasikia eti yako.mazuri na mabaya... but yote yanaswali miskitini.
 
Kuwa Neutral then tumia akili
Jiulize kwann hamna myaudi muislam angali Mussa na Yesu walikuwa wayaudi
Uyahudi ni kabila usiwe mjinga !
Yesu alikuwa ni Mnazareti si myahudi.
Mbona na wewe hujiuliza kuwa kama Yesu ni mwana wa mungu, sijui mungu mwenyewe, mbona wayahudi hawamfuati wala kumuabudu !?
 
Musa nimwisrael
Anatoka kabila la walawi
Kumbuka lawi nimtoto mmoja wapo Wa Israel au Jacob
Nandio maana mwenyenzi Mungu aliwapa walawi kuongoza Nyumba yake katika ibada
Harun Ndugu yake mussa
Kabila ni hilo Lawi, Dini yake ni ipi huyo Musa !?
 
Ni jinsi mnavyoaminishwa
Waarabu ni waislam
Musa hakuwa mwarabu alikuwa ni mjew
Na wajews mpaka leo ni wa Judaism
Nyie mnaaminishwa
'Na hakika mlikwisha yajua yale wale miongoni mwenu walioivunja Sabato (siku ya mapumziko jumamosi) na tukawaambia: kuweni manyani.
Qur'an: surat bagarah.

'Walipojifagharisha katika waliyo kanywa, tuliwaambia: kuweni manyani.
Qur'an: surat al a'raaf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…