jong afrikaanse
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 556
- 830
Naona wavulana mnafarijiana. Yaani watoto wa kiume aina yako na huyo mwenzako mkifika kijijini kwetu huwa tunawajumuisha katika kundi maalum la watoto (kids special group) linalohitaji kusimamiwa na kuongozwa katika kila kitu.Afadhali umemjibu mkuu..katiba inasema mtu yeyote ataishi atakavyo ila tu asivunje katiba au kuatarisha usalama wa nchi..kwenye ndoa haulazimishwi ila tu usizini ovyo ukaaribu usalama wa jamii yako
Kijana ambaye hawezi kukisimamia hata kichwa kimoja cha mwanamke anakuaje na sifa ya kuitwa mwanaume? Ana tofauti gani na mtoto mdogo sasa?