Nauliza tuu sio kwa ubaya...have u ever dated a man with a private jet?Mie bange zangu zikinipanda, pamoja na private jet yake na bangalow lake nikamuacha awashirikishe na wanawake wengine kero zake.
Heri niwe pekeyangu kuliko wawili na kero gunia, akuuuu.
Mapenzi yakiisha tuu, nakuacha kama nnavyotoka hospitali baada ya kutibiwa.
Bibi Mahaba.
π€£ π€£ π€£ π€£Nauliza tuu sio kwa ubaya...have u ever dated a man with a private jet?
Nauliza tuu sio kwa ubaya...have u ever dated a man with a private jet?
Dah basi una bahati sana na utakuwa na tako zuriYes....!!
All these years hujamfahamu...!!?
He is well known.
Kwani wewe uko upande gani ?Utaachwa ila kwa tabu mno sio kama hawa kina "sina shilingi"
Dah basi una bahati sana na utakuwa na tako zuri
Wewe unaonekana hata Yesu unamjua.Binafsi Mahaba, Mapenzi, Furaha na Amani ni kila kitu kwangu.
Hata mtu awe na Ikulu, akinikera nikafika top yaani nikamchoka namuacha na ufahari wake, naenda kaanga mihogo yangu na dagaa nakula nalala kwenye uchago kwa amani bila kero.
Napenda pesa ila hazijawahi nifanya nikawa mtumwa.
Bibi mahabaπ€π€π€ bhana!π€£Hakuwa Behaviourist
Anapenda bantu figure but not necessarly butts...
I asked him so many times, why me while am flat.....π€¨
Acha tu yani kwenye hela sipo sina shilingi mi ndio katibu mwenezi, ilimradi napumua nashukuru.Kwani wewe uko upande gani ?
Wenye hela, au
Sina shilingi ?? ππ
Wewe unaonekana hata Yesu unamjua.
Bibi mahabaπ€π€π€ bhana!π€£
Wewe toleo la zamani aka number A,ila hili toleo jipya number D wengi wao wanaendekeza hela.Binafsi Mahaba, Mapenzi, Furaha na Amani ni kila kitu kwangu.
Hata mtu awe na Ikulu, akinikera nikafika top yaani nikamchoka namuacha na ufahari wake, naenda kaanga mihogo yangu na dagaa nakula nalala kwenye uchago kwa amani bila kero.
Napenda pesa ila hazijawahi nifanya nikawa mtumwa.
Wewe toleo la zamani aka number A,ila hili toleo jipya number D wengi wao wanaendekeza hela.
Bibi mahaba!π€π€π€Basi tuu jamaa alirojeka na mengine ila sio chura eehehehehee.
Bibi mahaba!π€π€π€