Hivi mwanaume mwenye hela anaweza kuachwa?

Nauliza tuu sio kwa ubaya...have u ever dated a man with a private jet?
 
Wewe unaonekana hata Yesu unamjua.
 
Wewe toleo la zamani aka number A,ila hili toleo jipya number D wengi wao wanaendekeza hela.
 
Anaachwa vizuri sana lakini na mtu anaejielewa au kwenye msimamo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…