Ni ujinga tu wanaoteseka namapenzi wote wanaendekeza ujinga watu wote waliojaa hawa dunian unatesekaje kwa sabab ya mwanamke ama mwanaume ?[emoji23] [emoji23] Wale wakina mwafulani walikua majobless? Hii kitu achana nayo kama wewe hayajakukuta mazito shukuru sana na omba sana yasikukute mana sio poa yaani.
Nitakua mtu wa mwish kuamini kwamba katibu alijiua kwa sabab ya kumpenda mke wa mtuMbona katibu hakuwa jobless? sankara25
π Aisee ngoja ninyamaze mana hapa tu nateseka sema sijafikia level ya wale wanaofikia kusahau hata kuoga kisa wamependa.Ni ujinga tu wanaoteseka namapenzi wote wanaendekeza ujinga watu wote waliojaa hawa dunian unatesekaje kwa sabab ya mwanamke ama mwanaume ?
Haya tumuache huyo, yule jamaa wa Mwanza Side aliejipiga risasi nae vipi? Haya makitu hayana mbabe omba tu usikutwe.Nitakua mtu wa mwish kuamini kwamba katibu alijiua kwa sabab ya kumpenda mke wa mtu
Me sjawahi kuteseka na mapenz labda ni kwa sabab ya hii misukosuko ya kutafuta maisha iliyoniandama labda maisha yanikinyookea nitateseka πππ Aisee ngoja ninyamaze mana hapa tu nateseka sema sijafikia level ya wale wanaofikia kusahau hata kuoga kisa wamependa.
Daaaah sw πHaya tumuache huyo, yule jamaa wa Mwanza Side aliejipiga risasi nae vipi? Haya makitu hayana mbabe omba tu usikutwe.
Hongera, kuna wenzako moto unatuwakiaMe sjawahi kuteseka na mapenz labda ni kwa sabab ya hii misukosuko ya kutafuta maisha iliyoniandama labda maisha yanikinyookea nitateseka ππ
Daah polen sanHongera, kuna wenzako moto unatuwakia
Hakunaga kitu kinaitwa mapenzi nahisi ni uzushi labda.Bado Jirani,mambo hayajakaa sawa....ila naelekea kuyapotezea mazima soon
ππ Aah kawaida sijakua na hali mbaya kihivyo, ahsante lakiniDaah polen san
Usipoombewa ndo unaelekea kweny hali mbaya ivoo unahitaji maombi ww πππ Aah kawaida sijakua na hali mbaya kihivyo, ahsante lakini
Aah wapi. Bado nina akili timamu bwana πUsipoombewa ndo unaelekea kweny hali mbaya ivoo unahitaji maombi ww π
Achana nae mseng3 yuleπHakunaga kitu kinaitwa mapenzi nahisi ni uzushi labda.
Yangekuwepo yule asingenitendea vile
Mapenzi jauAchana nae mseng3 yule[emoji57]
Bado hujampatia jina sahihi...Achana nae mseng3 yuleπ
Jaman,tatizo hutaki kung'ata kisimi mkuuBado hujampatia jina sahihi...
Aliondoka na sehem ya moyo wangu