Hivi na umri ulionao bado unaendeshwa na mapenzi?

Nimekuelewa mkuu,pole... mapenz hayana formula πŸ˜”
 
Akiniacha yule muje munizike[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tunaanda na jeneza kabisa pamoja na msalaba na kukuwahia NAFASI ya kaburi
 
Dah![emoji848]
 
Binafsi
naendeshwa sana na ngono sio mapenzi
Moyo wa mapenzi ulishakufa kitambo sana
 
Binafsi
naendeshwa sana na ngono sio mapenzi
Moyo wa mapenzi ulishakufa kitambo sana
Ipo siku utaacha na kutulia na mkeo ni suala la muda mkuu.

Mimi binafsi nimehakikisha kuwa roho ya ngono kuna wakati utakutana mwanamke mwenye mikosi hakuna rangi utaacha kuona.

Nimeachaga kabisa kutangatanga hovyo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ipo siku utaacha na kutulia na mkeo ni suala la muda mkuu.

Mimi binafsi nimehakikisha kuwa roho ya ngono kuna wakati utakutana mwanamke mwenye mikosi hakuna rangi utaacha kuona.

Nimeachaga kabisa kutangatanga hovyo
Hongera aisee...umechomoka hapo? Wanaume tukifanikiwa chomoka kwenye pombe na mbusasa...kama sio mafanikio ya duniani basi mbingu inatuhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…