Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,028
Ulogwe sasa upelekwe usukumani utakamua ng'ombe na kupika mpka kitambi kizidi kiloNahis nitapelekwa mimba ikiwa na miezi minne tu nikajisubilie huko [emoji1787][emoji1787]na sikubali na usiombe upelekwe uchagan, uparen, uhayan, unyakyusani utakula mtori mpaka useme hallelujah
Hadi muda wa kuoga ndo wanabadili,,,,wakirudi Tupa begi wanaangalia msosi kwanza, kama vile huko shule hawali.Huwa hauwalazimishi kuvua may be...?
Watoto wa kiume,suruali za shule tulikua tunavaa mpaka weekend mtaani,tunabadili juu tu.
Sie wengne tulikua zaid ya majambaz...hadi ikambid mama anihamishe shule kutoka st kayumba had st mama rwakatare maana nilikua napotea...vichapo kila siku...mara nisirud nyumban after svhool...da..nilikuaga napiga mademu yaan nilikua sinaga shobo na mtu..ingawa walikua wanashangaa darasan niko vzur....kuna kipind had mama alitaka nipeleka shule ya kijeshi labda nitabadilika...ila nilivyofika darasa la 4 ndio nikaanza badilika na kuwa bookworm na serious na shule...ilikua nacheza namba 1 na mbili nabadilishana na mdada m1 hiv..aisee ilikua ni faya
Hadi muda wa kuoga ndo wanabadili,,,,wakirudi Tupa begi wanaangalia msosi kwanza, kama vile huko shule hawali.
Yaani wakirudi jioni wanahangaika kama vile hawajala kutwa....sare hawavui,Hahahaha ila cha home ni HAKI yao japo wanakula shule jmn...!
Yaani wakirudi jioni wanahangaika kama vile hawajala kutwa....sare hawavui,
Mama alikuwa mkali kipindi hicho,yaani tulikuwa hakuna kukaa chini kula bila kuvua sare eeeeh,...Jamani, hata wee mwenyewe si umepitia my dear...?
[emoji7]
Mama alikuwa mkali kipindi hicho,yaani tulikuwa hakuna kukaa chini kula bila kuvua sare eeeeh,...
Asee,Yani kumbe mlikuwa na muda Hadi wa kufikiria kuvua nguo za shule...