Hivi, Nawe ni Mmoja Kati ya Waliokuwa Hawavui Nguo za Shule Wakifika Home...?

Hivi, Nawe ni Mmoja Kati ya Waliokuwa Hawavui Nguo za Shule Wakifika Home...?

Nahis nitapelekwa mimba ikiwa na miezi minne tu nikajisubilie huko [emoji1787][emoji1787]na sikubali na usiombe upelekwe uchagan, uparen, uhayan, unyakyusani utakula mtori mpaka useme hallelujah
Ulogwe sasa upelekwe usukumani utakamua ng'ombe na kupika mpka kitambi kizidi kilo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watoto wa kiume,suruali za shule tulikua tunavaa mpaka weekend mtaani,tunabadili juu tu.

Hahahaha hatari sana mnapiga zenu ball mwanzo mwi
Sie wengne tulikua zaid ya majambaz...hadi ikambid mama anihamishe shule kutoka st kayumba had st mama rwakatare maana nilikua napotea...vichapo kila siku...mara nisirud nyumban after svhool...da..nilikuaga napiga mademu yaan nilikua sinaga shobo na mtu..ingawa walikua wanashangaa darasan niko vzur....kuna kipind had mama alitaka nipeleka shule ya kijeshi labda nitabadilika...ila nilivyofika darasa la 4 ndio nikaanza badilika na kuwa bookworm na serious na shule...ilikua nacheza namba 1 na mbili nabadilishana na mdada m1 hiv..aisee ilikua ni faya

Hatari sana mzee baba...!
sho aisee.
 
Nikikuta wali njegere au ugali na bamia za kuungwa na nyanya na dagaa

Hizo nguo zisubirie kwanza
 
Back
Top Bottom