M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Aje apinge kwa 'facts na si kwa farts'[emoji1], noted.Haikuteteleka kwa muktadha wa Covid 19 kama ni kufanya citing ya alichokizungumza Mama lakini in aggregate mtoa mada anatuambia ni horrible sasa leta nondo hapa kumpinga mleta mada kwa facts na sio farts.
ni kweli ni mkapa pekee ndiye aliyeweza kukuza uchumi wa nchi hii hata kama watu walimlaumu vipi kwangu mimi mkapa ndo aliyekuwa mchapa kazi.Magufuli aliletwa na Mungu kuwanyoosha mafisadi sababu aliyaona mambo yote ya kishenzi yaliyofanyika huko nyuma wakati akiwa waziri.nchi ilikuwa ya wenye pesa,sheria zilikuwa hazifanyi kazi,uonevu ulipitiliza,wenye pesa walikuwa na uweza wa kufanya lolote na watoto wao ndo hao walioko humu JF wanaotukana au wanaomtukana JPM baada ya wazazi wao kunyooshwa kisawasawa na upuuzi huu unataka kuendelea ktk awamu hii.Habari zenu wanabodi..
Ushahidi wa Takwimu umebainisha jinsi Serikali ya Magufuli iliharibu Uchumi wa Tanzania Kwa kiwango Kikubwa.
Kwa mujibu wa jarida la Tanzania Business Insight likinukuu taarifa za Benki Kuu na Ofisi ya Taifa ya Takwimu limefanya ulinganisho wa ukuaji wa Uchumi Kwa awamu ya kwanza ya Rais Mkapa,Kikwete na Magufuli.
Takwimu zinabainisha kwamba licha ya GDP kuongezeka ila Kasi ya uchumi ilipungua kutoka wastani wa 74% awamu ya kwanza ya Kikwete Hadi Asilimia 32% awamu ya kwanza ya Magufuli..
Aidha Uchambuzi pia unaonesha awamu ya kwanza ya Marehemu Mkapa,Alikuza uchumi Kwa Asilimia 154% na ni katika awamu ya Mkapa ndipo Uchumi wa Tanzania ulikuwa Mkubwa kuliko wa Kenya.
My Take
Ukweli ni kwamba licha ya Majigambo,Magufuli alifeli sana kwenye uchumi na ndio chanzo Cha kuanzisha udikteta usio na msingi ikiwemo kutunga Sheria za kuzuia watu ku challenge takwimu za uongo na za kupika za Serikali yake. Na kawaida ya Uchumi,namba Huwa hazidanganyi.
Wafuasi wa Mwendazake njooni mtoe majibu Kwa nini mlihatibu Uchumi? Mlikuwa mnafanya kazi gani hasa?
Swali lililosalia ni Je awamu ya 6 itatuvusha? Ni suala la kusubiria.
👇
Alianzisha miradi, na si lazima amalize yeye anayefuata anamaliza, siyo kwamba anayeanza na miradi lazima amalize, Magufuli alifanya kazi kipindi kimoja, na umona ongezeko la GDP, hilo ni muda mfupi sana Vs Kikwete na Mkapa. Kwenye percent kunaonyesha kuwa Vianzo vingi ambavyo vilikuza uchumi kipindi cha Kikwete (miaka kumi) na kipindi cha Pili (miaka 5) vingi vilianzhishwa na Mkapa. Vyazo vingi vilibaki vile vile hadi akaja Magu. Bomba la gesi la Mtwara Dar viliongeza GDP kwa kiasi kikubwa ingawa na miundo mbinu mingi ilisaidia kuongeza GDP ambayo ni routine.Sasa huyo Magufuli Mingi ya miradi yake ni hasara ukiacha bwawa la umeme..mradi kama reli,mabandari ya Ziwa Tanganyika hayawezi kuleta Tija licha ya Kukamilika Kwa sababu hayana linkages..
Pilia miradi Mingi ya aliyoacha Magufuli ilikuwa chini ya 30% lakini Mwenzie Samia mbona anaikimbiza Kwa speed sana? Ndio kusema by 2025 Rais Samia atakuwa amemaliza miradi Mingi sana na akiwa Rais awamu ya pili Na uhakika uchumi Wetu utakuwa mkubwa kuliko wa Kenya Kwa sababu Kuna LNG,kwala, Bagamoyo,Eacop,Mkonga sez nk
Pili Mwendazake yeye kazi yake ilikuwa ni kuanzisha miradi bila Kuimaliza au ndio ilikuwa mbinu ya kutaka kutawala milele Kwa visingizio vya kwamba hakuna Rais atakayemaliza miradi aliyoanzisha?
Pigia msumari,Rais Samia akiendelea kuwa Rais awamu ya pili Tanzania ndio itakuwa baba wa Uchumi EAC maana by that time tutakuwa tunajitosheleza Kwa Sukari,mbolea,mafuta ya kula,nafaka zote ikiwemo ngano na pia Nchinitakuwa imefunguka sana kimiundombinu hasa ya Barabara ,maji na umeme.
Pole kwa kutambua hivyo. Naheshimu madai yakoMradi huu wa Eacop Mwendazake alikuwa anaenda kuzindua hewa mara 3 pale Tanga 😁😁😁😁
Ila nyie Mwendazake alikuwaga na fix sijawahi ona,sijui ule usanii alikuwa anafanya Ili kumfool nani..
Mradi mwingine ambao aliendaga kuzindua hewa ni uwanja wa ndege wa Msalato na Dom Ring Road hata mia haikuwepo na Wala Wakandarasi kuwa procured ila alienda kuweka Jiwe la Msingi 😜😜😜😜
Kuegemea kule Kwa hayati kwenye ishu gani?Ni hivi, haiwezekani usizungumzie miradi ya Hayati katika hizo takwimu, wewe peke yako na chuki na propaganda has zako binafsi ndio umechagua iwe hivyo, tena kwa kujifanya Ati "sijazungumzia"
Shauri yako hiyo.
Watanzania tunajua, Ulimwengu unajua, na baadhi za Nchi duniani zimeenda kuegemea kule alipoegemea Hayati Raisi....sio lazima kuwa na maamuzi yanayopendwa na 'Watchdogs institution" yaani its not all laissez faire
Haujiulizi kwa nini Denmark nao waliondoa fedha kutoka katika mifuko ya 'Sherehe" na kuzipeleka katika mifuko ya maendeleo? Unafikiri, walifikiria tu? Hapo ndipo utajua ni Ushawishi gani aliokuwa nao hapa Ulimwenguni.
Nyie endeleeni na hayo machafuzi. Hayabadilishi mitazamo na uhalisia mitaani.
Kwani ni uongo? Nikuletee video?Pole kwa kutambua hivyo. Naheshimu madai yako
Kuzindua na Kutokuwa na Senti wapi na wapi.
Unasomeka
Eti Hayati Magufuli, shujaa wako au siyoJuzi rais Samia akiongea kwa msisitizo alisema "nchi yetu uchumi wake haukuteteleka sana kama majirani zetu kutokana na sera na maamuzi mazuri ya hayati Magufuli kutokufungan nchi kipindi cha COVID 19 , uchumi wetu upo imara kuzidi majirani zetu na Afrika"
Hoja yako imekaa kizushi na kihiyo,kwa mujibu wa bank ya dunia uchumi wa dunia umeshuka kutokana na janga la COVID 19,vita vya Ukraine na mabadiliko ya tabia nchi.
Jana rais Biden akihutubia maelefu ya watu mjini Warsaw Poland amesema vita ya Ukraine imeleta tatizo kubwa la kiuchumi duniani hasa Afrika .
Mleta mada utakuwa na mimba kubwa ya Magufuli inakutesa tulia uzae tu
USSR
Stupidity at it's highest level, yaani Denmark kuweka fedha za sherehe kwenye mifuko ya maendeleo 'wamemkopi' Jiwe. What exactly are you smoking? Hivi yule mwehu aliwarogo au ndiyo akili zenu zilivyo, unadhani civilized countries huwa yanatoka tu maamuzi ya kiongozi. Tanzania or rather uongozi wa Tanzania kwa '1st world' countries ni kama wewe hapo unavyoziona nchi za Tonga au Tuvalu au Fiji. Literally we don't exist in the world of politics, labda tukiwa kwenye vita ndiyo kwao inaweza kuwa habari kwao. Zaidi ya wasomi walio-specialize kwenye mambo ya Afrika hakuna watu wenye muda wala interests za mambo yenu huko third world.Ni hivi, haiwezekani usizungumzie miradi ya Hayati katika hizo takwimu, wewe peke yako na chuki na propaganda has zako binafsi ndio umechagua iwe hivyo, tena kwa kujifanya Ati "sijazungumzia"
Shauri yako hiyo.
Watanzania tunajua, Ulimwengu unajua, na baadhi za Nchi duniani zimeenda kuegemea kule alipoegemea Hayati Raisi....sio lazima kuwa na maamuzi yanayopendwa na 'Watchdogs institution" yaani its not all laissez faire
Haujiulizi kwa nini Denmark nao waliondoa fedha kutoka katika mifuko ya 'Sherehe" na kuzipeleka katika mifuko ya maendeleo? Unafikiri, walifikiria tu? Hapo ndipo utajua ni Ushawishi gani aliokuwa nao hapa Ulimwenguni.
Nyie endeleeni na hayo machafuzi. Hayabadilishi mitazamo na uhalisia mitaani.
Jiwe aliua kila kitu, napendekeza kaburi lake lichomwe motoWewe ni Mtanzania, upo ndani ya nchi na hukuona alichofanya JPM, watu wa nje waliona alichofanya na kumsifia, hebu funguka, piga maombi ili uone kazi nzuri aliyofanya JPM. Hakika JPM alikuwa mkombozi wetu kiuchumi ila basi tu! Mpaka sasa siamini! Huenda umejificha mahali, utarudi lini baba?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aje apinge kwa 'facts na si kwa farts'[emoji1], noted.
Mtu hayupo alishafariki lakini bado mna msakama,mnalipwa kiasi gani kutukana maiti?Habari zenu wanabodi..
Ushahidi wa Takwimu umebainisha jinsi Serikali ya Magufuli iliharibu Uchumi wa Tanzania Kwa kiwango Kikubwa.
Kwa mujibu wa jarida la Tanzania Business Insight likinukuu taarifa za Benki Kuu na Ofisi ya Taifa ya Takwimu limefanya ulinganisho wa ukuaji wa Uchumi Kwa awamu ya kwanza ya Rais Mkapa,Kikwete na Magufuli.
Takwimu zinabainisha kwamba licha ya GDP kuongezeka ila Kasi ya uchumi ilipungua kutoka wastani wa 74% awamu ya kwanza ya Kikwete Hadi Asilimia 32% awamu ya kwanza ya Magufuli..
Aidha Uchambuzi pia unaonesha awamu ya kwanza ya Marehemu Mkapa,Alikuza uchumi Kwa Asilimia 154% na ni katika awamu ya Mkapa ndipo Uchumi wa Tanzania ulikuwa Mkubwa kuliko wa Kenya.
My Take
Ukweli ni kwamba licha ya Majigambo,Magufuli alifeli sana kwenye uchumi na ndio chanzo Cha kuanzisha udikteta usio na msingi ikiwemo kutunga Sheria za kuzuia watu ku challenge takwimu za uongo na za kupika za Serikali yake. Na kawaida ya Uchumi,namba Huwa hazidanganyi.
Wafuasi wa Mwendazake njooni mtoe majibu Kwa nini mlihatibu Uchumi? Mlikuwa mnafanya kazi gani hasa?
Swali lililosalia ni Je awamu ya 6 itatuvusha? Ni suala la kusubiria.
[emoji116]
Wala usijali hakuna mtu amesema lazima amalizie yeye ila Kasi ya ujenzi awamu ya 5 ilikuwa ndogo sababu serikali haikuwa na pesa tofauti na Sasa..Alianzisha miradi, na si lazima amalize yeye anayefuata anamaliza, siyo kwamba anayeanza na miradi lazima amalize, Magufuli alifanya kazi kipindi kimoja, na umona ongezeko la GDP, hilo ni muda mfupi sana Vs Kikwete na Mkapa. Kwenye percent kunaonyesha kuwa Vianzo vingi ambavyo vilikuza uchumi kipindi cha Kikwete (miaka kumi) na kipindi cha Pili (miaka 5) vingi vilianzhishwa na Mkapa. Vyazo vingi vilibaki vile vile hadi akaja Magu. Bomba la gesi la Mtwara Dar viliongeza GDP kwa kiasi kikubwa ingawa na miundo mbinu mingi ilisaidia kuongeza GDP ambayo ni routine.
Bwawa umeme utauzwa, maji yatauzwa, viwanda vikubwa itaanzishwa, wakekesaji wakubwa watakuja, efficiency itakua. Meli, Ndege, Train - mizigo itasafarishwa, watu watatumia kusafiri that is how GDB grows. Ukarabati wa Meli Vitctoria, Tanganyika, Nyasa ilikuwa siyo kazi ndogo. Makao makuu Dodoma yaliongeza ukuzaji wa uchum indirect kwa viwanda vya cememt na infrastructure, hata kama Samia ataongeza hizo 30% lakini hivyo ni vitu vinavyohitajika. Huwezi kuita investors wakati huna umeme, ndege, train au Barabara; waste of time.
Sukari unayongea itafikaje kwa mlaji bila ya umeme, Barabara, train, au ndege? Hapa siongei ushabiki kwa siasa; bali uchumi. Sukari, Mbolea, mafuta ya kula vyote hivyo bila ya umeme na infrastructure zingine ni bure, hakuna service.
Kufariki sio excuses,mlitaka tuache kumsakama muache kumuita shujaa wakati hakuwa na huo ushujaa na ndio maana tunawaonyeshaMtu hayupo alishafariki lakini bado mna msakama,mnalipwa kiasi gani kutukana maiti?
Vipi wale walioporwa mali/biashara zao, waliodhulumiwa, waliotekwa na kuteswa, walioshambuliwa kwa risasi na kujeruhiwa, waliobomolewa nyumba zao bila ya compensations, waliotukanwa na kukashifiwa baada ya kupata madhara na hasara kutokana na natural disasters na ndugu wa wale waliouawa au 'kupotezwa' hao hawapo humu janvini?ni kweli ni mkapa pekee ndiye aliyeweza kukuza uchumi wa nchi hii hata kama watu walimlaumu vipi kwangu mimi mkapa ndo aliyekuwa mchapa kazi.Magufuli aliletwa na Mungu kuwanyoosha mafisadi sababu aliyaona mambo yote ya kishenzi yaliyofanyika huko nyuma wakati akiwa waziri.nchi ilikuwa ya wenye pesa,sheria zilikuwa hazifanyi kazi,uonevu ulipitiliza,wenye pesa walikuwa na uweza wa kufanya lolote na watoto wao ndo hao walioko humu JF wanaotukana au wanaomtukana JPM baada ya wazazi wao kunyooshwa kisawasawa na upuuzi huu unataka kuendelea ktk awamu hii.
Na wakati bila ya Mwinyi kuwatengeneza raia kiuchumi toka kuvaa magunia,kula mlo mmoja hadi kufikia kumiliki biashara zao wenyewe,Mkapa angekusanya kodi toka wapi?.Ukweli ni kwamba, ukimwacha Mwalimu Nyerere, mpaka wakati huu, hakuna Rais aliyefanya mambo makubwa kwenye uchumi wa Tanzania kama Mkapa.
Ni kwa vile tu watanzania wengi wana vichwa vyepesi vinavyopenda kujadili na kusifia mambo mepesi, mambo mazito aliyoyafanya Mkapa, hawawezi kujua.
Record ya Mkapa, haijawahi kuvunjwa na utawala wowote Duniani. Record hiyo ni ya kushusha inflation toka 30% aliyoiacha Rais Mwinyi, mpaka 4%.
Mkapa ndiye aliyetengeneza mifumo ya uchumi, kodi na fedha.
Kuegemea kule Kwa hayati kwenye ishu gani?
Mengine uliyoandika ni hadithi,hoja ilikuwa ni Magufuli kufifisha Kasi ya ukuaji wa uchumi Kwa 32% tuu,hiyo effects ya Miradi ya awamu ya 5 itaonekana baada ya Kukamilika kwenye awamu ya Samia lakini inasakia kuwa ni juhudi za Rais maana amepokea miradi karibu yote Iko chini ya 30% na by 2025 yote itakuwa imekamilika labda itasalia Sgr tuu ..
Mwisho Kwa miaka 2 tuu ya Rais Samia kuifungua uchumi rekodi zifuatazo zimewekwa..
TPA imevunja rekodi ya kuhudia makasha na mapato Kwa 1Tilioni
Banks Kwa mara ya kwanza zimefikia faida ya 1T
Kampuni za Bima mara ya kwanza zimefikia faida ya 1T
Tanzania Kwa mara ya kwanza imeizidi Kenya na EAC yote kwenye mauzo ya Nje yaani tuna exports zaidi ya tunavyo import,
TRA Kwa mara ya kwanza inakusanya wastani wa til.2 Kwa mwezi kutoka 1.2 Til.
Kwa mara ya kwanza tumeanza kuzalisha mbolea yetu wenyewe,mwaka huu Tume import Kwa sababu kiwanda kimeanza mwezi wa 7 ila.mwakani hakuna mfuko hata mmja utatoka Nje na infact Kunyaland wameanza ku import kutoka Tanzania,Tunajenga kiwanda kingine Pwani na kampuni ya Morocco..
In facts tuna vingi vya kuonesha mambo ni mengi mda ni mchanche,
Anasemwa na ataendelea kusemwa kwa maovu aliyofanya, anavuna alichopanda. Kama Hitler, Mussolini, John Vosta, Idd Amin and so many other dictators waliokufa miaka iliyopita bado wanasemwa na pia wametungiwa vitabu sasa kwa nini dictator Jiwe asisemwe eti kwa kuwa hayupo alishafariki. What's the difference kati yake na hao dictators wengine? Hili liwe fundisho kwa marais wengine wataokuja wawe wakijua ya kuwa matendo yao ndiyo yatawahukumu na ndiyo yatayo-determine jinsi watakavyokumbukwa.Mtu hayupo alishafariki lakini bado mna msakama,mnalipwa kiasi gani kutukana maiti?
Madai yangu na simama nayo one thousand percentStupidity at it's highest level, yaani Denmark kuweka fedha za sherehe kwenye mifuko ya maendeleo 'wamemkopi' Jiwe. What exactly are you smoking? Hivi yule mwehu aliwarogo au ndiyo akili zenu zilivyo, unadhani civilized countries huwa yanatoka tu maamuzi ya kiongozi. Tanzania or rather uongozi wa Tanzania kwa '1st world' countries ni kama wewe hapo unavyoziona nchi za Tonga au Tuvalu au Fiji. Literally we don't exist in the world of politics, labda tukiwa kwenye vita ndiyo kwao inaweza kuwa habari kwao. Zaidi ya wasomi walio-specialize kwenye mambo ya Afrika hakuna watu wenye muda wala interests za mambo yenu huko third world.