Hivi ndivyo Hayati Magufuli aliharibu Uchumi wa Tanzania. Takwimu huwa hazidanganyi

Hivi ndivyo Hayati Magufuli aliharibu Uchumi wa Tanzania. Takwimu huwa hazidanganyi

Haikuteteleka kwa muktadha wa Covid 19 kama ni kufanya citing ya alichokizungumza Mama lakini in aggregate mtoa mada anatuambia ni horrible sasa leta nondo hapa kumpinga mleta mada kwa facts na sio farts.
Aje apinge kwa 'facts na si kwa farts'[emoji1], noted.
 
Habari zenu wanabodi..

Ushahidi wa Takwimu umebainisha jinsi Serikali ya Magufuli iliharibu Uchumi wa Tanzania Kwa kiwango Kikubwa.

Kwa mujibu wa jarida la Tanzania Business Insight likinukuu taarifa za Benki Kuu na Ofisi ya Taifa ya Takwimu limefanya ulinganisho wa ukuaji wa Uchumi Kwa awamu ya kwanza ya Rais Mkapa,Kikwete na Magufuli.

Takwimu zinabainisha kwamba licha ya GDP kuongezeka ila Kasi ya uchumi ilipungua kutoka wastani wa 74% awamu ya kwanza ya Kikwete Hadi Asilimia 32% awamu ya kwanza ya Magufuli..

Aidha Uchambuzi pia unaonesha awamu ya kwanza ya Marehemu Mkapa,Alikuza uchumi Kwa Asilimia 154% na ni katika awamu ya Mkapa ndipo Uchumi wa Tanzania ulikuwa Mkubwa kuliko wa Kenya.

My Take
Ukweli ni kwamba licha ya Majigambo,Magufuli alifeli sana kwenye uchumi na ndio chanzo Cha kuanzisha udikteta usio na msingi ikiwemo kutunga Sheria za kuzuia watu ku challenge takwimu za uongo na za kupika za Serikali yake. Na kawaida ya Uchumi,namba Huwa hazidanganyi.

Wafuasi wa Mwendazake njooni mtoe majibu Kwa nini mlihatibu Uchumi? Mlikuwa mnafanya kazi gani hasa?
Swali lililosalia ni Je awamu ya 6 itatuvusha? Ni suala la kusubiria.
👇



ni kweli ni mkapa pekee ndiye aliyeweza kukuza uchumi wa nchi hii hata kama watu walimlaumu vipi kwangu mimi mkapa ndo aliyekuwa mchapa kazi.Magufuli aliletwa na Mungu kuwanyoosha mafisadi sababu aliyaona mambo yote ya kishenzi yaliyofanyika huko nyuma wakati akiwa waziri.nchi ilikuwa ya wenye pesa,sheria zilikuwa hazifanyi kazi,uonevu ulipitiliza,wenye pesa walikuwa na uweza wa kufanya lolote na watoto wao ndo hao walioko humu JF wanaotukana au wanaomtukana JPM baada ya wazazi wao kunyooshwa kisawasawa na upuuzi huu unataka kuendelea ktk awamu hii.
 
Sasa huyo Magufuli Mingi ya miradi yake ni hasara ukiacha bwawa la umeme..mradi kama reli,mabandari ya Ziwa Tanganyika hayawezi kuleta Tija licha ya Kukamilika Kwa sababu hayana linkages..

Pilia miradi Mingi ya aliyoacha Magufuli ilikuwa chini ya 30% lakini Mwenzie Samia mbona anaikimbiza Kwa speed sana? Ndio kusema by 2025 Rais Samia atakuwa amemaliza miradi Mingi sana na akiwa Rais awamu ya pili Na uhakika uchumi Wetu utakuwa mkubwa kuliko wa Kenya Kwa sababu Kuna LNG,kwala, Bagamoyo,Eacop,Mkonga sez nk

Pili Mwendazake yeye kazi yake ilikuwa ni kuanzisha miradi bila Kuimaliza au ndio ilikuwa mbinu ya kutaka kutawala milele Kwa visingizio vya kwamba hakuna Rais atakayemaliza miradi aliyoanzisha?

Pigia msumari,Rais Samia akiendelea kuwa Rais awamu ya pili Tanzania ndio itakuwa baba wa Uchumi EAC maana by that time tutakuwa tunajitosheleza Kwa Sukari,mbolea,mafuta ya kula,nafaka zote ikiwemo ngano na pia Nchinitakuwa imefunguka sana kimiundombinu hasa ya Barabara ,maji na umeme.
Alianzisha miradi, na si lazima amalize yeye anayefuata anamaliza, siyo kwamba anayeanza na miradi lazima amalize, Magufuli alifanya kazi kipindi kimoja, na umona ongezeko la GDP, hilo ni muda mfupi sana Vs Kikwete na Mkapa. Kwenye percent kunaonyesha kuwa Vianzo vingi ambavyo vilikuza uchumi kipindi cha Kikwete (miaka kumi) na kipindi cha Pili (miaka 5) vingi vilianzhishwa na Mkapa. Vyazo vingi vilibaki vile vile hadi akaja Magu. Bomba la gesi la Mtwara Dar viliongeza GDP kwa kiasi kikubwa ingawa na miundo mbinu mingi ilisaidia kuongeza GDP ambayo ni routine.

Bwawa umeme utauzwa, maji yatauzwa, viwanda vikubwa itaanzishwa, wakekesaji wakubwa watakuja, efficiency itakua. Meli, Ndege, Train - mizigo itasafarishwa, watu watatumia kusafiri that is how GDB grows. Ukarabati wa Meli Vitctoria, Tanganyika, Nyasa ilikuwa siyo kazi ndogo. Makao makuu Dodoma yaliongeza ukuzaji wa uchum indirect kwa viwanda vya cememt na infrastructure, hata kama Samia ataongeza hizo 30% lakini hivyo ni vitu vinavyohitajika. Huwezi kuita investors wakati huna umeme, ndege, train au Barabara; waste of time.

Sukari unayongea itafikaje kwa mlaji bila ya umeme, Barabara, train, au ndege? Hapa siongei ushabiki kwa siasa; bali uchumi. Sukari, Mbolea, mafuta ya kula vyote hivyo bila ya umeme na infrastructure zingine ni bure, hakuna service.
 
Mradi huu wa Eacop Mwendazake alikuwa anaenda kuzindua hewa mara 3 pale Tanga 😁😁😁😁



Ila nyie Mwendazake alikuwaga na fix sijawahi ona,sijui ule usanii alikuwa anafanya Ili kumfool nani..

Mradi mwingine ambao aliendaga kuzindua hewa ni uwanja wa ndege wa Msalato na Dom Ring Road hata mia haikuwepo na Wala Wakandarasi kuwa procured ila alienda kuweka Jiwe la Msingi 😜😜😜😜

Pole kwa kutambua hivyo. Naheshimu madai yako

Kuzindua na Kutokuwa na Senti wapi na wapi.

Unasomeka
 
Ni hivi, haiwezekani usizungumzie miradi ya Hayati katika hizo takwimu, wewe peke yako na chuki na propaganda has zako binafsi ndio umechagua iwe hivyo, tena kwa kujifanya Ati "sijazungumzia"
Shauri yako hiyo.

Watanzania tunajua, Ulimwengu unajua, na baadhi za Nchi duniani zimeenda kuegemea kule alipoegemea Hayati Raisi....sio lazima kuwa na maamuzi yanayopendwa na 'Watchdogs institution" yaani its not all laissez faire

Haujiulizi kwa nini Denmark nao waliondoa fedha kutoka katika mifuko ya 'Sherehe" na kuzipeleka katika mifuko ya maendeleo? Unafikiri, walifikiria tu? Hapo ndipo utajua ni Ushawishi gani aliokuwa nao hapa Ulimwenguni.
Nyie endeleeni na hayo machafuzi. Hayabadilishi mitazamo na uhalisia mitaani.
Kuegemea kule Kwa hayati kwenye ishu gani?

Mengine uliyoandika ni hadithi,hoja ilikuwa ni Magufuli kufifisha Kasi ya ukuaji wa uchumi Kwa 32% tuu,hiyo effects ya Miradi ya awamu ya 5 itaonekana baada ya Kukamilika kwenye awamu ya Samia lakini inasakia kuwa ni juhudi za Rais maana amepokea miradi karibu yote Iko chini ya 30% na by 2025 yote itakuwa imekamilika labda itasalia Sgr tuu ..

Mwisho Kwa miaka 2 tuu ya Rais Samia kuifungua uchumi rekodi zifuatazo zimewekwa..

TPA imevunja rekodi ya kuhudia makasha na mapato Kwa 1Tilioni

Banks Kwa mara ya kwanza zimefikia faida ya 1T

Kampuni za Bima mara ya kwanza zimefikia faida ya 1T

Tanzania Kwa mara ya kwanza imeizidi Kenya na EAC yote kwenye mauzo ya Nje yaani tuna exports zaidi ya tunavyo import,

TRA Kwa mara ya kwanza inakusanya wastani wa til.2 Kwa mwezi kutoka 1.2 Til.

Kwa mara ya kwanza tumeanza kuzalisha mbolea yetu wenyewe,mwaka huu Tume import Kwa sababu kiwanda kimeanza mwezi wa 7 ila.mwakani hakuna mfuko hata mmja utatoka Nje na infact Kunyaland wameanza ku import kutoka Tanzania,Tunajenga kiwanda kingine Pwani na kampuni ya Morocco..

In facts tuna vingi vya kuonesha mambo ni mengi mda ni mchanche,
 
Juzi rais Samia akiongea kwa msisitizo alisema "nchi yetu uchumi wake haukuteteleka sana kama majirani zetu kutokana na sera na maamuzi mazuri ya hayati Magufuli kutokufungan nchi kipindi cha COVID 19 , uchumi wetu upo imara kuzidi majirani zetu na Afrika"

Hoja yako imekaa kizushi na kihiyo,kwa mujibu wa bank ya dunia uchumi wa dunia umeshuka kutokana na janga la COVID 19,vita vya Ukraine na mabadiliko ya tabia nchi.

Jana rais Biden akihutubia maelefu ya watu mjini Warsaw Poland amesema vita ya Ukraine imeleta tatizo kubwa la kiuchumi duniani hasa Afrika .

Mleta mada utakuwa na mimba kubwa ya Magufuli inakutesa tulia uzae tu

USSR
Eti Hayati Magufuli, shujaa wako au siyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni hivi, haiwezekani usizungumzie miradi ya Hayati katika hizo takwimu, wewe peke yako na chuki na propaganda has zako binafsi ndio umechagua iwe hivyo, tena kwa kujifanya Ati "sijazungumzia"
Shauri yako hiyo.

Watanzania tunajua, Ulimwengu unajua, na baadhi za Nchi duniani zimeenda kuegemea kule alipoegemea Hayati Raisi....sio lazima kuwa na maamuzi yanayopendwa na 'Watchdogs institution" yaani its not all laissez faire

Haujiulizi kwa nini Denmark nao waliondoa fedha kutoka katika mifuko ya 'Sherehe" na kuzipeleka katika mifuko ya maendeleo? Unafikiri, walifikiria tu? Hapo ndipo utajua ni Ushawishi gani aliokuwa nao hapa Ulimwenguni.
Nyie endeleeni na hayo machafuzi. Hayabadilishi mitazamo na uhalisia mitaani.
Stupidity at it's highest level, yaani Denmark kuweka fedha za sherehe kwenye mifuko ya maendeleo 'wamemkopi' Jiwe. What exactly are you smoking? Hivi yule mwehu aliwarogo au ndiyo akili zenu zilivyo, unadhani civilized countries huwa yanatoka tu maamuzi ya kiongozi. Tanzania or rather uongozi wa Tanzania kwa '1st world' countries ni kama wewe hapo unavyoziona nchi za Tonga au Tuvalu au Fiji. Literally we don't exist in the world of politics, labda tukiwa kwenye vita ndiyo kwao inaweza kuwa habari kwao. Zaidi ya wasomi walio-specialize kwenye mambo ya Afrika hakuna watu wenye muda wala interests za mambo yenu huko third world.
 
Wewe ni Mtanzania, upo ndani ya nchi na hukuona alichofanya JPM, watu wa nje waliona alichofanya na kumsifia, hebu funguka, piga maombi ili uone kazi nzuri aliyofanya JPM. Hakika JPM alikuwa mkombozi wetu kiuchumi ila basi tu! Mpaka sasa siamini! Huenda umejificha mahali, utarudi lini baba?
Jiwe aliua kila kitu, napendekeza kaburi lake lichomwe moto
 
Habari zenu wanabodi..

Ushahidi wa Takwimu umebainisha jinsi Serikali ya Magufuli iliharibu Uchumi wa Tanzania Kwa kiwango Kikubwa.

Kwa mujibu wa jarida la Tanzania Business Insight likinukuu taarifa za Benki Kuu na Ofisi ya Taifa ya Takwimu limefanya ulinganisho wa ukuaji wa Uchumi Kwa awamu ya kwanza ya Rais Mkapa,Kikwete na Magufuli.

Takwimu zinabainisha kwamba licha ya GDP kuongezeka ila Kasi ya uchumi ilipungua kutoka wastani wa 74% awamu ya kwanza ya Kikwete Hadi Asilimia 32% awamu ya kwanza ya Magufuli..

Aidha Uchambuzi pia unaonesha awamu ya kwanza ya Marehemu Mkapa,Alikuza uchumi Kwa Asilimia 154% na ni katika awamu ya Mkapa ndipo Uchumi wa Tanzania ulikuwa Mkubwa kuliko wa Kenya.

My Take
Ukweli ni kwamba licha ya Majigambo,Magufuli alifeli sana kwenye uchumi na ndio chanzo Cha kuanzisha udikteta usio na msingi ikiwemo kutunga Sheria za kuzuia watu ku challenge takwimu za uongo na za kupika za Serikali yake. Na kawaida ya Uchumi,namba Huwa hazidanganyi.

Wafuasi wa Mwendazake njooni mtoe majibu Kwa nini mlihatibu Uchumi? Mlikuwa mnafanya kazi gani hasa?
Swali lililosalia ni Je awamu ya 6 itatuvusha? Ni suala la kusubiria.
[emoji116]


Mtu hayupo alishafariki lakini bado mna msakama,mnalipwa kiasi gani kutukana maiti?
 
Alianzisha miradi, na si lazima amalize yeye anayefuata anamaliza, siyo kwamba anayeanza na miradi lazima amalize, Magufuli alifanya kazi kipindi kimoja, na umona ongezeko la GDP, hilo ni muda mfupi sana Vs Kikwete na Mkapa. Kwenye percent kunaonyesha kuwa Vianzo vingi ambavyo vilikuza uchumi kipindi cha Kikwete (miaka kumi) na kipindi cha Pili (miaka 5) vingi vilianzhishwa na Mkapa. Vyazo vingi vilibaki vile vile hadi akaja Magu. Bomba la gesi la Mtwara Dar viliongeza GDP kwa kiasi kikubwa ingawa na miundo mbinu mingi ilisaidia kuongeza GDP ambayo ni routine.

Bwawa umeme utauzwa, maji yatauzwa, viwanda vikubwa itaanzishwa, wakekesaji wakubwa watakuja, efficiency itakua. Meli, Ndege, Train - mizigo itasafarishwa, watu watatumia kusafiri that is how GDB grows. Ukarabati wa Meli Vitctoria, Tanganyika, Nyasa ilikuwa siyo kazi ndogo. Makao makuu Dodoma yaliongeza ukuzaji wa uchum indirect kwa viwanda vya cememt na infrastructure, hata kama Samia ataongeza hizo 30% lakini hivyo ni vitu vinavyohitajika. Huwezi kuita investors wakati huna umeme, ndege, train au Barabara; waste of time.

Sukari unayongea itafikaje kwa mlaji bila ya umeme, Barabara, train, au ndege? Hapa siongei ushabiki kwa siasa; bali uchumi. Sukari, Mbolea, mafuta ya kula vyote hivyo bila ya umeme na infrastructure zingine ni bure, hakuna service.
Wala usijali hakuna mtu amesema lazima amalizie yeye ila Kasi ya ujenzi awamu ya 5 ilikuwa ndogo sababu serikali haikuwa na pesa tofauti na Sasa..

Sasa boss unaposema hakuna umeme nk uwe unaongea vitu vinavyoeleweka,Kila mtu Moja ya matatizo yaliyosababisha matatizo ya umeme mwaka Jana ni kukosa akili Kwa awamu ya 5,huwezi kuweka Nguvu kubwa kwenye mradi mmja ambao haujui utakamilika lini matokeo yake ukame ulivyopiga umeme ukasumbua..

Saizi mvua zimenyesha tumepata nafuu na imetoa nafasi Kwa Serikali kuongeza mitambo ya gas,Kwa Sasa hata ukame utokee hutosikia mgao maana wameingiza megawatt 200 Mpya za gas na nimemsikia Byabato akisema installed capacity Kwa Sasa ni megawatt 1900 na Kati ya hizo 70% ni gas.By 2024 Tanesco inasema itakuwa ni megawatt 6,000.

Kuhusu Barabara Hilo achana nalo Mzee,Barabara zinatandikwa Kila sehemu ya Nchi hii siwezi Anza kukupa orodha hapa wewe angalia Mkoa wako Kuna miradi au hakuna,Mimi Mkoa wangu Kuna miradi 2 ya Barabara kuu achilia mbali za Tarura.

Trains hazina impacts yeyete ya maana kwenye uchumi,tuna Tazara Iko vizuri kabisa Kuna nini Cha maana inasafirisha? Hivyo hivyo hata Sgr kwangu naita ni tembo mweupe ikikamilika serikali itachukua Kodi za watu kuiendesha kama inavyofanya kwenye mandege, upuuzi mtupu.
 
Mtu hayupo alishafariki lakini bado mna msakama,mnalipwa kiasi gani kutukana maiti?
Kufariki sio excuses,mlitaka tuache kumsakama muache kumuita shujaa wakati hakuwa na huo ushujaa na ndio maana tunawaonyesha
 
ni kweli ni mkapa pekee ndiye aliyeweza kukuza uchumi wa nchi hii hata kama watu walimlaumu vipi kwangu mimi mkapa ndo aliyekuwa mchapa kazi.Magufuli aliletwa na Mungu kuwanyoosha mafisadi sababu aliyaona mambo yote ya kishenzi yaliyofanyika huko nyuma wakati akiwa waziri.nchi ilikuwa ya wenye pesa,sheria zilikuwa hazifanyi kazi,uonevu ulipitiliza,wenye pesa walikuwa na uweza wa kufanya lolote na watoto wao ndo hao walioko humu JF wanaotukana au wanaomtukana JPM baada ya wazazi wao kunyooshwa kisawasawa na upuuzi huu unataka kuendelea ktk awamu hii.
Vipi wale walioporwa mali/biashara zao, waliodhulumiwa, waliotekwa na kuteswa, walioshambuliwa kwa risasi na kujeruhiwa, waliobomolewa nyumba zao bila ya compensations, waliotukanwa na kukashifiwa baada ya kupata madhara na hasara kutokana na natural disasters na ndugu wa wale waliouawa au 'kupotezwa' hao hawapo humu janvini?
 
Ukweli ni kwamba, ukimwacha Mwalimu Nyerere, mpaka wakati huu, hakuna Rais aliyefanya mambo makubwa kwenye uchumi wa Tanzania kama Mkapa.

Ni kwa vile tu watanzania wengi wana vichwa vyepesi vinavyopenda kujadili na kusifia mambo mepesi, mambo mazito aliyoyafanya Mkapa, hawawezi kujua.

Record ya Mkapa, haijawahi kuvunjwa na utawala wowote Duniani. Record hiyo ni ya kushusha inflation toka 30% aliyoiacha Rais Mwinyi, mpaka 4%.

Mkapa ndiye aliyetengeneza mifumo ya uchumi, kodi na fedha.
Na wakati bila ya Mwinyi kuwatengeneza raia kiuchumi toka kuvaa magunia,kula mlo mmoja hadi kufikia kumiliki biashara zao wenyewe,Mkapa angekusanya kodi toka wapi?.
 
Kuegemea kule Kwa hayati kwenye ishu gani?

Mengine uliyoandika ni hadithi,hoja ilikuwa ni Magufuli kufifisha Kasi ya ukuaji wa uchumi Kwa 32% tuu,hiyo effects ya Miradi ya awamu ya 5 itaonekana baada ya Kukamilika kwenye awamu ya Samia lakini inasakia kuwa ni juhudi za Rais maana amepokea miradi karibu yote Iko chini ya 30% na by 2025 yote itakuwa imekamilika labda itasalia Sgr tuu ..

Mwisho Kwa miaka 2 tuu ya Rais Samia kuifungua uchumi rekodi zifuatazo zimewekwa..

TPA imevunja rekodi ya kuhudia makasha na mapato Kwa 1Tilioni

Banks Kwa mara ya kwanza zimefikia faida ya 1T

Kampuni za Bima mara ya kwanza zimefikia faida ya 1T

Tanzania Kwa mara ya kwanza imeizidi Kenya na EAC yote kwenye mauzo ya Nje yaani tuna exports zaidi ya tunavyo import,

TRA Kwa mara ya kwanza inakusanya wastani wa til.2 Kwa mwezi kutoka 1.2 Til.

Kwa mara ya kwanza tumeanza kuzalisha mbolea yetu wenyewe,mwaka huu Tume import Kwa sababu kiwanda kimeanza mwezi wa 7 ila.mwakani hakuna mfuko hata mmja utatoka Nje na infact Kunyaland wameanza ku import kutoka Tanzania,Tunajenga kiwanda kingine Pwani na kampuni ya Morocco..

In facts tuna vingi vya kuonesha mambo ni mengi mda ni mchanche,


Rais SSH amekiri mwenyewe, bila maamuzi magumu ya Hayat Raisi hapa tulipofika palikiwa kana ndoto!
Hayo yote yalikuwepo na ndio maana Hayat alikuwa akirudia rudia" nchi hii tunachezewa" alioana Uhalisia na yale yanayoripotiwa nje ni tofauti....mifano ni kama hiyo uliyotoa....alikuwa anjiuliza inakuwaje sisi ndie tuna Tanzanite alafu kenya ndie irepoti ndio expota wa kwanza?

Kubali tu mirija aliyofunga imeleta tija, ufanisi, unaonekana ingawaje upo uwezekano kuwa tunaweza hata kuwa maradufu ya hapo...."We are a Donor Country" sasa we chagua tafsiri yako mwenyewe, mie nachagua Joshua 24:15 tuna uwezo wa Kulisha Dunia nzima, hamtaki kukubali na mntaja kejeli hatuwezi, ila kubeza yake Hayati Raisi mtafanya kwa sababu huo uchumi mnaodai nyinyi ni wa wale waliofinywa. Period. Nenda Manzese uwaulize
 
Mpaka leo tuanze kuorodhesha miradi ya DR Samia ambayo itakwenda kwa wananchi moja kwa moja
1. Umeme kubadilisha waya wa umeme kwa trilion 4.1 kati ya huzo tunaanza tril 1.9

2.Gesi asilia kwa wawekezaji wa tril 70
3. Mradi wa kujengewa barabara na wawejezaji chalinze to Morogoro na haujaanza bado.
4.mradi wa kupeleka kivuko kenya kwa 7.5 bil kwa kuzinduliwa na sherehe ya mkataba
5.
Tarura kujenga barabara mpaka uwe na mheshimiwa mtaa huo.
6. Barabara kuu za mikoa kazi nzuri zinaendelea .
Ile tril 1.3 ya IMF Tuliona ilivyoiendesha nchi na kuchangamsha ujenzi wa mashule ,vituo vya afya,mabwenu,nyumba za waalimu ila huu mradi wa tril 70 sioni watu wakikimbilia ajira huko au ni wageni tu?
Tunapenda miradi ya wananchi wapate ajira sio miradi ya wananchi kubakia watazamaji.
Mwendo kasi nchi nzima vijana wamepata kazi.any way mimi sio mchumi lakini tunapenda miradi ambayo sio ya kiini macho.
 
Mtu hayupo alishafariki lakini bado mna msakama,mnalipwa kiasi gani kutukana maiti?
Anasemwa na ataendelea kusemwa kwa maovu aliyofanya, anavuna alichopanda. Kama Hitler, Mussolini, John Vosta, Idd Amin and so many other dictators waliokufa miaka iliyopita bado wanasemwa na pia wametungiwa vitabu sasa kwa nini dictator Jiwe asisemwe eti kwa kuwa hayupo alishafariki. What's the difference kati yake na hao dictators wengine? Hili liwe fundisho kwa marais wengine wataokuja wawe wakijua ya kuwa matendo yao ndiyo yatawahukumu na ndiyo yatayo-determine jinsi watakavyokumbukwa.
 
Stupidity at it's highest level, yaani Denmark kuweka fedha za sherehe kwenye mifuko ya maendeleo 'wamemkopi' Jiwe. What exactly are you smoking? Hivi yule mwehu aliwarogo au ndiyo akili zenu zilivyo, unadhani civilized countries huwa yanatoka tu maamuzi ya kiongozi. Tanzania or rather uongozi wa Tanzania kwa '1st world' countries ni kama wewe hapo unavyoziona nchi za Tonga au Tuvalu au Fiji. Literally we don't exist in the world of politics, labda tukiwa kwenye vita ndiyo kwao inaweza kuwa habari kwao. Zaidi ya wasomi walio-specialize kwenye mambo ya Afrika hakuna watu wenye muda wala interests za mambo yenu huko third world.
Madai yangu na simama nayo one thousand percent

Usijitoe ufahamu, hizo kejeli zako hazinipunguzii taarifa wa maarifa niliyokuwa nayo. Jifunze kukubali....Usinilazimishe kukubali propaganda zenu hizo. Jibu hapa Denmark wamefanya hivyo au hawakufanya?

Kweli mna huzuni...Ungependa kuhudhuria mikutano ya kupunguza kero, yaani una lalalm kana kwamba hakuna cha kujifunza kutoka Afrika?

Aisee una hasira. Duh Basi jibu tu Denmark walifanya hivyo au hawakufanya?
 
Back
Top Bottom