Alianzisha miradi, na si lazima amalize yeye anayefuata anamaliza, siyo kwamba anayeanza na miradi lazima amalize, Magufuli alifanya kazi kipindi kimoja, na umona ongezeko la GDP, hilo ni muda mfupi sana Vs Kikwete na Mkapa. Kwenye percent kunaonyesha kuwa Vianzo vingi ambavyo vilikuza uchumi kipindi cha Kikwete (miaka kumi) na kipindi cha Pili (miaka 5) vingi vilianzhishwa na Mkapa. Vyazo vingi vilibaki vile vile hadi akaja Magu. Bomba la gesi la Mtwara Dar viliongeza GDP kwa kiasi kikubwa ingawa na miundo mbinu mingi ilisaidia kuongeza GDP ambayo ni routine.
Bwawa umeme utauzwa, maji yatauzwa, viwanda vikubwa itaanzishwa, wakekesaji wakubwa watakuja, efficiency itakua. Meli, Ndege, Train - mizigo itasafarishwa, watu watatumia kusafiri that is how GDB grows. Ukarabati wa Meli Vitctoria, Tanganyika, Nyasa ilikuwa siyo kazi ndogo. Makao makuu Dodoma yaliongeza ukuzaji wa uchum indirect kwa viwanda vya cememt na infrastructure, hata kama Samia ataongeza hizo 30% lakini hivyo ni vitu vinavyohitajika. Huwezi kuita investors wakati huna umeme, ndege, train au Barabara; waste of time.
Sukari unayongea itafikaje kwa mlaji bila ya umeme, Barabara, train, au ndege? Hapa siongei ushabiki kwa siasa; bali uchumi. Sukari, Mbolea, mafuta ya kula vyote hivyo bila ya umeme na infrastructure zingine ni bure, hakuna service.