Ahaaaa kumbe wana sayar artificial mkuu ko hizi gold zinzochimbwa sikuizi huwa zinaendaBe serious meeeen yaani hao ni watu wa kawaida?
Hao ni Nephilim ni giant Intelligent na imortal being
Hebu angalia hii ndio utajua they created man kwa mfano wao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mtu alinidanganya kuna pisi kali humu ndio nikajiunga. Kutahamaki nimekuta kuna mi single mama na mishangazi iliyojikatia tamaa za maisha.
Bro mwanzo nilikuwa ninasoma kama guest maana sikuwa ninajua jinsi ya kujiunga.
Bro mwanzo nilikuwa ninasoma kama guest maana sikuwa ninajua jinsi ya kujiunga.Hivi Kindeena ulikuja kuchelewa wapi kujiunga
Duuu hili swali mtambuka sana,Ahaaaa kumbe wana sayar artificial mkuu ko hizi gold zinzochimbwa sikuizi huwa zinaenda wapi
Kumbe kuna meng hatujuiDuuu hili swali mtambuka sana,
Kumbuka maelfu ya gold za himaya za kale kama Babylon,Misri,Aztec nk zili disappear without a trace na hatujui zilienda wapi ila hizi za kizazi chetu tunazitumia katika vifaa vya electronics na nyingine kama mapambo na nyingine reserve bank
Ila amini nachokuambia hii Dunia dhahabu 90% ilichimbwa zamani za kale tena kwa ustadi wa kustaajabisha sana huko South Africa na Kush kuna machimbo ya kale kuliko historia ya Mwanadamu yaani kuna advanced civilization walichimba gold kwa mamilioni ya tani na haijulikani zilikopotelea hapo ndio fact za Annunak zinaleta mashiko!
Kwahiyo hao Annunak nao waliumbwa na nani?Duuu hili swali mtambuka sana,
Kumbuka maelfu ya gold za himaya za kale kama Babylon,Misri,Aztec nk zili disappear without a trace na hatujui zilienda wapi ila hizi za kizazi chetu tunazitumia katika vifaa vya electronics na nyingine kama mapambo na nyingine reserve bank
Ila amini nachokuambia hii Dunia dhahabu 90% ilichimbwa zamani za kale tena kwa ustadi wa kustaajabisha sana huko South Africa na Kush kuna machimbo ya kale kuliko historia ya Mwanadamu yaani kuna advanced civilization walichimba gold kwa mamilioni ya tani na haijulikani zilikopotelea hapo ndio fact za Annunak zinaleta mashiko!
Kuumbwa maana yake kutengeneza kitu fulani kwa manufaa fulani,Kwahiyo hao Annunak nao waliumbwa na nani?
Yapo mengi confused about World history yaani kuna maajabu yalifanyika zamani za kale kipindi ambacho historia inayokuambia watu waliishi mapangoni na walikula mizizi ila amini ndio kipindi ambacho tayari Dunia imeshakaliwa na advanced civilization yenye Science na Teknolojia kubwa kuliko yetu na hatujui nani au viumbe gani walifanya hayo maajabu hapo ndipo nadharia za Alliens kama hao ANNUNAK, Andromedan,Zetaz reticul,Sirians,Plaidelian na race nyingi za reptilian waliowahi ishi duniani mamilioni ya miaka iliyopita zinaanza kumake sense kwamba we are not alone!Kumbe kuna meng hatujui
Daaah kumbe ko mda wowote Tunaweza kuwa attacked apa dunian na tukashindwa kujiteteaYapo mengi confused about World history yaani kuna maajabu yalifanyika zamani za kale kipindi ambacho historia inayokuambia watu waliishi mapangoni na walikula mizizi ila amini ndio kipindi ambacho tayari Dunia imeshakaliwa na advanced civilization yenye Science na Teknolojia kubwa kuliko yetu na hatujui nani au viumbe gani walifanya hayo maajabu hapo ndipo nadharia za Alliens kama hao ANNUNAK, Andromedan,Zetaz reticul,Sirians,Plaidelian na race nyingi za reptilian waliowahi ishi duniani mamilioni ya miaka iliyopita zinaanza kumake sense kwamba we are not alone!
Watu wa kale hawakua wajinga kuawaabudu miungu yaani waliabudu viumbe waliowaona kwa macho yao na viliwapa mahitaji yao
Unajua historia ya Wamaya,Waaztec na Jamii zote za wahindu wekundu kumwabudu mungu Quetzalcoatl au Kukukan?
Au wahindi wa India na huko Sri lanka kumwabudu Krishna!
Hao jamaa Moja ya masimulizi yao wanadai miungu yao ilikua inapaa angani na flying machine (Spaceships)
Ukiwasikiliza katika documents zao utajifunza hao Miungu walikua advanced kwenye science na Technology!
Who are they!
Mimi watu wa kwanza kuwafahamu walikuwa ni akina GENTAMYCINE Mshana Jr na akina Extrovert ila nilikuwa naenjoy CHAI za Melki WamatukioMwaka 2013 sikumbuki hata nilikuwa natafuta taarifa gani gugo. Nikaopt Jamii forums, nikakutana na mada ya Mshana Jr. moja kwa moja.
Hivyo ID ya Mshana Jr ndo ID ya 1 kuifahamu JF.
Okay!! Wewe ni mkongwe basi. Disguised ID ndiyo uhuru wwa maoniBro mwanzo nilikuwa ninasoma kama guest maana sikuwa ninajua jinsi ya kujiunga.
Baadaye nikapata ufahamu nikajiunga Kwa kutumia majina yangu halisi. Hii ilikuwa 2010.
Baadaye nikashtuka kwamba wengi humu wanatumia fake IDs. Nikaachana na ID yangu nikafungua nyingine 2017.
Kwani Kindeena maana yake ni nini mkuuBro mwanzo nilikuwa ninasoma kama guest maana sikuwa ninajua jinsi ya kujiunga.
Baadaye nikapata ufahamu nikajiunga Kwa kutumia majina yangu halisi. Hii ilikuwa 2010.
Baadaye nikashtuka kwamba wengi humu wanatumia fake IDs. Nikaachana na ID yangu nikafungua nyingine 2017.
Kyodowe maana yake ni minyoo
Hovyo tuuAu ndo ile tuliokuwa tunasoma kwenye vitabu kule olevo kwamba msimamo wa mwandishi wa kazi ya fasihi
Weee jamaaa huko juu utakaangwa wee endelea na imani zako za ajabuHey ndio mimi blood na huo ndio ukweli ambao wengi hatutaki kuukubali
Hawa jamaa ndio wenyewe
Unataka niingie kwenye kufuru mkuu kwa hapo umenikosa....Kama uliwahi soma pahali ya kwamba Mungu alisema tushuke na tujionee mnara wa Babel wanaojenga wanadamu basi hao jamaa ndio hawa kina Lord ENLIL na ENKI hao ANNUNAK
Katika masimulizi ya watu kuona Malaika wenye mbawa hahahah huo ni ujinga wa zama za kale hao ni Igigi halafu hawa Annunak wenyewe walikua advanced kwenye science and technology kiasi kwamba watu wa kale waliona maajabu tu na wasijue spaceships ni nini na hata hawakujua siraha za mionzi ni nini!
Wakawaabudu kama miungu shenzi type!