Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Acha kuweweseka.Ni lazima mfundishwe kutii sheria .mkileta ujeuri ni lazima muwajibishwe haraka sana.mmevumiliwa vya kutosha.Watamnyoa sasa hivi hao anaowapa ONYO.
Uchunguzi wa kina unaendeleaMwashambwa,aah unajua kupamba mkuu!Waliotekwa na kuuwawa hili vipi?
Nimeacha nafasi ili uweke yako.mimi yangu anayo ephen.na akiwa nayo ephen wangu inatosha kabisa.
Watu wanatajwa na Wengine Sativa kawataja Bado uchunguzi! Kwenye mambo ya kuumiza uwe mkweli Mwashambwa!Uchunguzi wa kina unaendelea
Anategemea Wachina watamsaidia.Watamnyoa sasa hivi hao anaowapa ONYO.
Naona hata jamii forum ameipambaNdugu zangu Watanzania,
Baada ya hapo jana Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kutema cheche na kuteka anga la kitaifa na kimataifa na kupongezwa kila kona ya Nchi yetu.
Hii leo Magazeti yamepabwa na kutawala na habari za Mheshimiwa Rais na hotuba yake nzito na ya kihistoria aliyoitoa hapo janaView attachment 3099276View attachment 3099277View attachment 3099278View attachment 3099279View attachment 3099280View attachment 3099281View attachment 3099283
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo ishu ya mabalozi Mama yako ataiweza?Acha kuweweseka.Ni lazima mfundishwe kutii sheria .mkileta ujeuri ni lazima muwajibishwe haraka sana.mmevumiliwa vya kutosha.
Kama wewe ni Mwanaume basi toa pua yako kuingia barabarani hiyo siku halafu baadaye ukipata nafasi uje utoe mrejesho hapa.Tarehe 23 September maandamano ya amani kama kawa
Mimi sihitaji kuweka namba ya simu coz ephen_ naongea nae PM kila siku.Nimeacha nafasi ili uweke yako.mimi yangu anayo ephen.na akiwa nayo ephen wangu inatosha kabisa.
Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na ni kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuuNaona hata jamii forum ameipamba
Ndugu zangu Watanzania,
Baada ya hapo jana Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kutema cheche na kuteka anga la kitaifa na kimataifa na kupongezwa kila kona ya Nchi yetu.
Hii leo Magazeti yamepabwa na kutawala na habari za Mheshimiwa Rais na hotuba yake nzito na ya kihistoria aliyoitoa hapo janaView attachment 3099276View attachment 3099277View attachment 3099278View attachment 3099279View attachment 3099280View attachment 3099281View attachment 3099283
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nguvu ya Umma unaijua?Kama wewe ni Mwanaume basi toa pua yako kuingia barabarani hiyo siku halafu baadaye ukipata nafasi uje utoe mrejesho hapa.
Weka gazeti lako hapo.Rais Samia ni kipenzi cha mamillioni ya watanzania.Ndio Maana habari zake hazikauki midomoni Mwa watuHaya magazeti ni ya machawa wake ambayo kazi take kubwa ni 'kusifu na kuabudu.' Rais awe mwangalifu na sifa anazopewa kutoka kwa chawa wake.
Aidha, Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.