Hivi Ndivyo Rais Samia Alivyopamba na Kutawala Magazeti Yote ya Leo

Hivi Ndivyo Rais Samia Alivyopamba na Kutawala Magazeti Yote ya Leo

Yaani Rais na Amri Jeshi ajibu kitoto hivyo! Mkuu nenda kwenye maandamano tarehe 23 ili mkatimize ngonjera zenu za "Samia Must Go" lakini angalia usije ukarudi unalia na kusaga meno!
Ule wao watoe pua zao barabarani kwa hakika watakiona cha mtema kuni
 
Ukiambiwa mwanao ni mwizi alafu ukawa mkali kumtetea siku nyingine wakimdaka utakuta majivu tu hawa ni wahenga walisema sio mimi
 
Pambana na CHADEMA yako inayoendelea kuteketea na kupoteza muelekeo huko.

Siko kwenye Chama chochote

Ila uwe unasoma comments za watu kwenye mada zako

Then ujiulize hao unaowaweka kwenye mada zako unawajenga au unawabomoa?

That's why Katibu Mkuu wako alimjibu musiba alivyosema myika anahusika
 
Siko kwenye Chama chochote

Ila uwe unasoma comments za watu kwenye mada zako

Then ujiulize hao unaowaweka kwenye mada zako unawajenga au unawabomoa?

That's why Katibu Mkuu wako alimjibu musiba alivyosema myika anahusika
Nimeshakwambia hangaikia CHADEMA yako.achana na mimi mara mara moja.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Baada ya hapo jana Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kutema cheche na kutoa hotuba nzito ya karne na kihistoria na kuteka anga la kitaifa na kimataifa na kupongezwa kila kona ya Nchi yetu.

Hii leo Magazeti yamepambwa na kutawala na habari za Mheshimiwa Rais na hotuba yake nzito na ya kihistoria aliyoitoa hapo jana
View attachment 3099276View attachment 3099277View attachment 3099278View attachment 3099279View attachment 3099280View attachment 3099281View attachment 3099283

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.




 
Leo hayauziki hayo magazeti ila kauli ya kamati kuu Leo au kesho watapiga hela
 
Back
Top Bottom