Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #21
Umma upi huo? Wenye akili Timamu na wanaojitambua kwa mamilioni yao wapo upande wa Jemedari wetu Kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Nguvu ya Umma unaijua?
Uwe na adabu ewe uliyekosa malezi mazuri ya wazazi wako.ukileta na kufanya fujo ni lazima ukutane na mkono wa sheriaHuyu bibi amemzidi iddi amini dada Kwa vitisho lakini ajue tarehe 23 she must go.moto aliouanzisha utamlipukia yeye mwenyewe
Hata maji yanaweza kuwa machafuRais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na ni kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu
Mimi ni Mwanamume haswaa na hao unaowapamba wataniumiza na kunikamata walishaanza zamani sana kunifuatilia na tunaokoelekea utakuja kusikia tu maana ni madhulumati, manyonyaji na wanatumia vibaya madaraka na nafasi walizo nazo. Hata hii JF waliisakama na kuiandama sana lakini Mwanaume Maxence alipambana mpaka leo bado ipo na Chawa kama nyinyi mnapata nafasi wa kuposti pumba zenu humu. Uoga ni uzembe KijanaKama wewe ni Mwanaume basi toa pua yako kuingia barabarani hiyo siku halafu baadaye ukipata nafasi uje utoe mrejesho hapa.
Basi kama wewe ni Mwanaume mwenye akili Timamu basi jaribu kuleta pua yako barabarani kuandamana.ndio utakiona cha mtema kuni na maana halisi ya kutii sheria bila shuruti.Mimi ni Mwanamume haswaa na hao unaowapamba wataniumiza na kunikamata walishaanza zamani sana kunifuatilia na tunaokoelekea utakuja kusikia tu maana ni madhulumati, manyonyaji na wanatumia vibaya madaraka na nafasi walizo nazo. Hata hii JF waliisakama na kuiandama sana lakini Mwanaume Maxence alipambana mpaka leo bado ipo na Chawa kama nyinyi mnapata nafasi wa kuposti pumba zenu humu. Uoga ni uzembe Kijana
Hivi kwa akili zako na mawazo yako huyo Ephen utampata ? π€£π€£ephen haongei na wehu na machizi.
Rais Samia ndiye aliyeshikilia furaha ya watanzania kwa sasa na kuwafanya waishi Utafikiri wapo katika bustani ya kitalii inayoelea angani.Hata maji yanaweza kuwa machafu
Wewe kama nani wa kuwasemea hao Polisi wakati huku kitaa tunaishi nao ? Acha uoga wa kiboya wewe .Basi kama wewe ni Mwanaume mwenye akili Timamu basi jaribu kuleta pua yako barabarani kuandamana.ndio utakiona cha mtema kuni na maana halisi ya kutii sheria bila shuruti.
Unazungumzia habari za kumpata saizi? Hujuwi ephen na mimi ni kitu kimoja kwa sasa kuanzia moyo,mwili, fikira na kila kitu? Yaani ephen na mimi ni kitu kimoja na huwezi kututenganisha hata kwa msumeno.Hivi kwa akili zako na mawazo yako huyo Ephen utampata ? π€£π€£
KivipiWeka gazeti lako hapo.Rais Samia ni kipenzi cha mamillioni ya watanzania.Ndio Maana habari zake hazikauki midomoni Mwa watu
Ingia barabarani ndio utajuwa na kuuliza mwaswali hukohuko utakako nyakuliwa.Wewe kama nani wa kuwasemea hao Polisi wakati huku kitaa tunaishi nao ? Acha uoga wa kiboya wewe .
Kifungu kipi Cha Sheria ambacho kinamzuia mwananchi kuandamana kupinga mauaji?23 September she must goUwe na adabu ewe uliyekosa malezi mazuri ya wazazi wako.ukileta na kufanya fujo ni lazima ukutane na mkono wa sheria
Mama yupo Ikulu na ataendelea kuwepo sana tuu mpaka 2030.Mama nchi imemshinda ameanza kutisha watu. Hajazaliwa ikulu aondoke tu
Kwa bustani hiyo ya angani ya kufikirika ndio vivyo hivyo na furaha ya watanzania ni ya kufikirikaRais Samia ndiye aliyeshikilia furaha ya watanzania kwa sasa na kuwafanya waishi Utafikiri wapo katika bustani ya kitalii inayoelea angani.
Ingia huko barabarani utapewa na hicho kifungu unachotaka.Kifungu kipi Cha Sheria ambacho kinamzuia mwananchi kuandamana kupinga mauaji?23 September she must go
Powerful speech by the head of state, powerful headlines ππͺNdugu zangu Watanzania,
Baada ya hapo jana Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kutema cheche na kuteka anga la kitaifa na kimataifa na kupongezwa kila kona ya Nchi yetu.
Hii leo Magazeti yamepabwa na kutawala na habari za Mheshimiwa Rais na hotuba yake nzito na ya kihistoria aliyoitoa hapo janaView attachment 3099276View attachment 3099277View attachment 3099278View attachment 3099279View attachment 3099280View attachment 3099281View attachment 3099283
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
GarbageNdugu zangu Watanzania,
Baada ya hapo jana Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kutema cheche na kuteka anga la kitaifa na kimataifa na kupongezwa kila kona ya Nchi yetu.
Hii leo Magazeti yamepabwa na kutawala na habari za Mheshimiwa Rais na hotuba yake nzito na ya kihistoria aliyoitoa hapo janaView attachment 3099276View attachment 3099277View attachment 3099278View attachment 3099279View attachment 3099280View attachment 3099281View attachment 3099283
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mama anakubalika sana na watanzania.kwa hakika hotuba yake ya hana ni hotuba ya kihistoria inayopaswa kuwekwa kwenye makumbusho na makataba ya Taifa ili isomwe na vizazi vijavyoPowerful speech by the head of state, powerful headlines ππͺ