Hivi Ndivyo Rais Samia Alivyopamba na Kutawala Magazeti Yote ya Leo

Yaani Rais na Amri Jeshi ajibu kitoto hivyo! Mkuu nenda kwenye maandamano tarehe 23 ili mkatimize ngonjera zenu za "Samia Must Go" lakini angalia usije ukarudi unalia na kusaga meno!
Ule wao watoe pua zao barabarani kwa hakika watakiona cha mtema kuni
 
Ukiambiwa mwanao ni mwizi alafu ukawa mkali kumtetea siku nyingine wakimdaka utakuta majivu tu hawa ni wahenga walisema sio mimi
 
Pambana na CHADEMA yako inayoendelea kuteketea na kupoteza muelekeo huko.

Siko kwenye Chama chochote

Ila uwe unasoma comments za watu kwenye mada zako

Then ujiulize hao unaowaweka kwenye mada zako unawajenga au unawabomoa?

That's why Katibu Mkuu wako alimjibu musiba alivyosema myika anahusika
 
Siko kwenye Chama chochote

Ila uwe unasoma comments za watu kwenye mada zako

Then ujiulize hao unaowaweka kwenye mada zako unawajenga au unawabomoa?

That's why Katibu Mkuu wako alimjibu musiba alivyosema myika anahusika
Nimeshakwambia hangaikia CHADEMA yako.achana na mimi mara mara moja.
 




Your browser is not able to display this video.
 
Leo hayauziki hayo magazeti ila kauli ya kamati kuu Leo au kesho watapiga hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…