HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

Wewe ndio mweupe unazani hizo harakati ziliamza 1959? Hivi unazani Che alitoa mafunzo kwa Congo DRC tuu? Castro hajawahi kumuuza Che ,hivi wewe unazani majarabio Mangapi waliyafanya west kumuangamiza Castro? Kwani hao askari wa Kikongo walikuwa wanaongozwa na nani? Na aliwekwa madarakani baada ya kumpindua nani? Hapo ndipo utajua Che alijua move ya Mobutu ndio maana choice yake ya kujificha ikawa Tz,sababu anajua wanaharakati wengi walikuwa wanakuja kujificha Tz.
Castro mpaka uzee wake US walikuwa wanamwinda

Che hakuwa Mcuba (Argentina),ila harakati zake Cuba ndizo zilizompa umaarufu, kwa vyama vingi vya ukombozi vya Afrika na Kusini mwa America. Nishaona documentary ya ukombozi wa Cuba,alikiwa bega kwa bega majoring na Castro,kwenye kuwaondoa Wakaloni na kuvirudisha viwanda vingi vikiwemo vya sukari.
Mbona unatapatapa Kama mqendawazimu!?..mwanzo ulionesha che ni mcuba na alikuja ikiwa mapinduzi Cuba bado,nikakusanua che si mcuba,umeenda kugugo ukashangaa kumbe kweli che so mcuba na mapinduzi yalifanyika kabla ya uhuru wa Tanganyika,umerudi unahororoja vitu visivyoeleweka,Sasa nakusanua Tena,che aliuzwa na Castro,kagugo tena
 

View: https://youtu.be/uQ-a7d0leig?si=KwxCAlbxJxtdeEwv

Rais Tinubu wa Nigeria ni jasusi la CIA.
Kanunuliwa, yuko mfukoni.

Nimesikitika, nimeshangaa, nikakasirika, halafu nikaisikitikia Mama Afika.

Sikiliza na uone tulivyo bado watumwa.

tunapenda kukonekti kila kitu na west , ila kiukwel kwasasa wanaotufanyia mind games ni East , na wanatumia hizo stori zenu za CIA sijui PUPPET kwa wale viongoz wasiofuata matakwa yao , Uchina ndo master wa hizo mind games ,muda ukifika mtaelewa tu
 
Ndiyo,alimuuza,jamaa alikua ndani mapambanoni, Castro akauza che alipo, CIA wakaenda mdaka,baada ya USSR kukubaliana mambo flan na USA, USSR akamlazimisha Castro kuuza file

Mimi siongoi kwa kuunga unga na ongea kwa reference, juzi tu UN wanachama zaidi ya 187 waliomba Cuba aondolewe vikwazo vya kibiashara alivyo wekewa US,Castro hajawahi kumuuza Che.
 
kwa ninavyoona mimi viongozi wengi wa Africa na mabara mengine ni majasusi wa Marekani a.k.a ( chawa)
kwasasa viongoz weng wa Afrika ni puppet wa China , muda ukifika mtaelewa , kun stories nlizikuta kwa watu wa bara fulan wanasema wao ndo walimuua mtu fulani kupitia mtu fulani wa nchi ya huo kiongoz fulan aliyeuwawa
 
Wewe ndio mweupe unazani hizo harakati ziliamza 1959? Hivi unazani Che alitoa mafunzo kwa Congo DRC tuu? Castro hajawahi kumuuza Che ,hivi wewe unazani majarabio Mangapi waliyafanya west kumuangamiza Castro? Kwani hao askari wa Kikongo walikuwa wanaongozwa na nani? Na aliwekwa madarakani baada ya kumpindua nani? Hapo ndipo utajua Che alijua move ya Mobutu ndio maana choice yake ya kujificha ikawa Tz,sababu anajua wanaharakati wengi walikuwa wanakuja kujificha Tz.
Castro mpaka uzee wake US walikuwa wanamwinda

Che hakuwa Mcuba (Argentina),ila harakati zake Cuba ndizo zilizompa umaarufu, kwa vyama vingi vya ukombozi vya Afrika na Kusini mwa America. Nishaona documentary ya ukombozi wa Cuba,alikiwa bega kwa bega majoring na Castro,kwenye kuwaondoa Wakaloni na kuvirudisha viwanda vingi vikiwemo vya sukari.
"Question" Did Fidel Castro betray Che Guevara's trust, which led him to his capture and death?
 

Mimi siongoi kwa kuunga unga na ongea kwa reference, juzi tu UN wanachama zaidi ya 187 waliomba Cuba aondolewe vikwazo vya kibiashara alivyo wekewa US,Castro hajawahi kumuuza Che.
"Question" Did Fidel Castro betray Che Guevara's trust, which led him to his capture and death?
 
Mbona unatapatapa Kama mqendawazimu!?..mwanzo ulionesha che ni mcuba na alikuja ikiwa mapinduzi Cuba bado,nikakusanua che si mcuba,umeenda kugugo ukashangaa kumbe kweli che so mcuba na mapinduzi yalifanyika kabla ya uhuru wa Tanganyika,umerudi unahororoja vitu visivyoeleweka,Sasa nakusanua Tena,che aliuzwa na Castro,kagugo tena
Nitapetape nini mimi nawekea na reference. Sawa weka zako hizo unazo zijua wewe.
Castro mpaka anaaga dunia hakuwahi kuwalamba makaio US na ndio maana Cuba wanavikwazo vya kibiashara alivyo viweka US.
 
Nitapetape nini mimi nawekea na reference. Sawa weka zako hizo unazo zijua wewe.
Castro mpaka anaaga dunia hakuwahi kuwalamba makaio US na ndio maana Cuba wanavikwazo vya kibiashara alivyo viweka US.
ww ushawai kuonana na Castro mpk umsemee kiasi hicho ? waafrika tunajua mengi ya nje ila hatujui nan alimuua Ally Kibao
 
ww ushawai kuonana na Castro mpk umsemee kiasi hicho ? waafrika tunajua mengi ya nje ila hatujui nan alimuua Ally Kibao
Sasa ushajiuliza why mpaka sasa US anamwekea vikwazo vya kibiashara?

Vip kwani ww unajua ya Kibao?
 
Ukisha jiset in your mind kwamba ni sawa tu kunuluwa , mradi unapata mpunga wako, huna tofauti na malaya wa kambi ya Manzese kwa mfuga mbwa.
ulichojib na alichoandika jamaa , ww upo OP , kwann wengine ni sw kuwanunua viongoz ila west sio sw ?

hapo utagundua kuna watu bado wapo kweny enz za ukolon wa kifikra
 
Sasa unaleta mijadala ya Quara hiyo si forum kama JF.Nimekuwea resource za uhakika, maana naweza kukuletea hata links za FB.Kumba unaunga unga na hiyo mijadala ya kahawa.
Mimi nilishaona documentary ya Al Jazeera wakiongelea Hilo suala,nimekuwekea Quora kwa kuwa utapata info toka watu mbalimbali
 
Sasa ushajiuliza why mpaka sasa US anamwekea vikwazo vya kibiashara?

Vip kwani ww unajua ya Kibao?
akil zako zipo direct sn , kaangalie mieleka ndo utaelewa si kila kitu kinachofanywa kweny hadhira ni real , vikwazo vinaweza kuwa njia ya kuwapoteza maboya wajinga km ww

watu washatoka hizo enzi za direct thinking , mtu anaunda ugomvi na mtu ili huyo mtu aende upande wa adui awe analeta siri za adui
 
Huwa tunamkashifu Mangungo wa Msovero Kwa kuuza Ardhi Kwa kipande Cha nguo na Shanga. Lakini Kwa Sasa tuna wakina Mangungo wengi sana tena walienda shule ambao ujinga wao ni mara mia wa original Mangungo.
 
Huwa tunamkashifu Mangungo wa Msovero Kwa kuuza Ardhi Kwa kipande Cha nguo na Shanga. Lakini Kwa Sasa tuna wakina Mangungo wengi sana tena walienda shule ambao ujinga wao ni mara mia wa original Mangungo.
Mangungo alidanganywa,hakujua kusoma na kuandika,baadae alipoambiwa umetoa nchi yako kwa mjerumani,alipambana,mkapa na usomi wake aliuza mashirika ya umma kwa Bei za kutupa na migodi kwa mirabaha ya 3%
 
Mimi nilishaona documentary ya Al Jazeera wakiongelea Hilo suala,nimekuwekea Quora kwa kuwa utapata info toka watu mbalimbali
Aljazeera.com documentary zake zote zipo YouTube na ndio channel yangu ninayo ikubali kwa habari za kimataifa hasa za Middle East.Juzi nimetoka kutizama Documentary moja maarufu wa uuzwaji wa dhahabu ya Zimbabwe na nishatizama nyingi sana.
 
akil zako zipo direct sn , kaangalie mieleka ndo utaelewa si kila kitu kinachofanywa kweny hadhira ni real , vikwazo vinaweza kuwa njia ya kuwapoteza maboya wajinga km ww

watu washatoka hizo enzi za direct thinking , mtu anaunda ugomvi na mtu ili huyo mtu aende upande wa adui awe analeta siri za adui
How do you prove kwamba hii sio real na hii ni real? Maana hiyo ni kura ya wazi imepigwa UN. Cuba wanapata tabu mpaka kesho,juzi tuu walikuwa na mgao mkubwa wa umeme? Ina maana haya yote ni maigizo kwako?,mbona mnapenda kuongozwa na hisia plus story za vijiweni.
 
Back
Top Bottom