Hivi ni kawaida kuombwa namba na mwanamke? πŸ€”

Zipo mamii ila sio za kukununulia gari

Nina za (kula, na nauli ya daladala) tu.

We unataka hela gani kwanza tuanzie hapo.

A. 100,000 - 1M
B. 1M - 10M
C.10M - 100M
D. 100M - 1B
D...
Mi narange C
 
Acha kulemba wewe, kama vp nicheck Pm nikupe namba yangu umtumie.
 
Hapa point ni zile zile;

1. Poor government support,
2. Lack of enough education,
3. Lack of capital
4. The impact of Berlin conferrence

Tumvumilie mtoa mada. Si makosa yake
5. Vagaries of weather.

Umenikumbusha mbali saaana mkuu.
 
Ila hiki kizazi, wanaume mmekuwa waogawaoga sana!ikitokea tena vita ya majimaji sijui itakuwaje
Lazima uogope kidogo.

We unaona ni kawaida demu kumuomba namba mwanaume how comes??
 
Kweli hajakua anakili zakitoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…