Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Khaaaa shida sanaaaa.....wanajinunishaaaKu provide si nature yetu.
Mchape na fimbo tamu weye huyoHebu niambieni ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo kwaajili ya matumizi ya ndani ya nyumba Huwa anaongea sana maneno mengi halafu muda mwingi anakua na hasira na kununa nuna hovyo ?
Lazima na dharau zina anza hapo hapo, japo kuna wanawake wachache mno wanaweza hayo ana provide na halalamiki.Khaaaa shida sanaaaa.....wanajinunishaaa
Masikini yoyote yule linapokuja swala la pesa lazima awe na hasira kwa sababu hana pesa au pesa yake ni kidogo sanaHebu niambieni ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo kwaajili ya matumizi ya ndani ya nyumba Huwa anaongea sana maneno mengi halafu muda mwingi anakua na hasira na kununa nuna hovyo ?
Kwao itakua uchumi siyo mzuri Mwanamke kama kwao hakuna shida anakua na furaha, fikiria Kwao njaa na ametumia pesa yake kununua chakula chenu na wewe upo anona unakula na wakati huo kwao hawajala siku nzima au wanakula mlo mmja lazima anune.Ni muimu Vijana kabla ya kuoa au kutafuta Mwenza wa Maisha tujaribu kuchunguza familia za wenza wetu Tabia zao na Uchumi wao, Nashauri vijana kama Mchumba wako kwao Masikini si vizur kufunga nae ndoa, Kwasabu kipato cheng kitakua kinatibu ugonjwa usiopona ugonjwa wenyewe ni Umasikini, Mfano Utakuta Mke na mume Wanafanya kazi Mke Mshahara 350k na Mume 450K.Hebu niambieni ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo kwaajili ya matumizi ya ndani ya nyumba Huwa anaongea sana maneno mengi halafu muda mwingi anakua na hasira na kununa nuna hovyo ?
Nikweli Mkuu vijana tusikurupuke kuoa tu kwa kuangalia Nyashi tuangalie Uchumi wa familia wa muolewaji na muoaji.Masikini yoyote yule linapokuja swala la pesa lazima awe na hasira kwa sababu hana pesa au pesa yake ni kidogo sana
Wewe joined 2014 na bado new member!Masikini yoyote yule linapokuja swala la pesa lazima awe na hasira kwa sababu hana pesa au pesa yake ni kidogo sana
AiseeKu provide si nature yetu.
Kama vile ambavyo mwanaume kuwa na mwanamke mmoja si nature yetu au siyo?Ku provide si nature yetu.
Tafuta pesa mkuu acha kushinda masjid.Hebu niambieni ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo kwaajili ya matumizi ya ndani ya nyumba Huwa anaongea sana maneno mengi halafu muda mwingi anakua na hasira na kununa nuna hovyo ?
Katumia elf 70 Mimi sikuwepo kama siku 3 hivi na kweli sikuacha fedha ya matumizi ila chakula kilikuwepo ndani gesi ipo , umeme upo ila nimekuja kukuta malalamiko sana anasema vitu vidogo vidogo amenunua mpaka ameandika kwenye daftari. AiseeKidogo kama sh ngapi?