Hivi ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo tu ndani ya nyumba kwa matumizi anaongea sana na kununa nuna?

Hivi ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo tu ndani ya nyumba kwa matumizi anaongea sana na kununa nuna?

Huu upuuzi hata kwangu upo sana ila huwa sometimes nafunga macho naacha kabisa kutoa hela ya kuendesha familia namuacha ahangaike na ubahili wake, atajipikilisha wali maharage kila siku. Mimi nasema yes, kamanda usilegeze Kamba siku nyingine fanya hvo tena, vinginevo utamzoesha vibaya huyo mwanamke. Mfanye atambue kwamba pesa zake pia ni kwa ajili ya kuhudumia familia pia.
 
Zama zinabadilika mdogo wangu. Wewe endekeza mambo ya 1984 mwaka huu wa 2024, utakuja kusimulia hapa..
Hawa ndiyo wake zetu dogo, msikilize, utajifunza mengi
 
Kiasili mwanamke kaumbwa na tamaa , wivu, na ubinafsi plus uchoyo , hivo ni rahisi kwa mwanaume kumtunza mke wake ambaye Hana kazi kwa miaka 10, wewe mwanaume ukiyumba miezi miwili akakuhudumia anaanza na dharau kwako na watu wako, mwanamke hajawahi kutosheka iwe amesoma au hajasoma na ndio maana kama Unampa 10k akija wa laki moja anamchukua na kama Unampa laki moja akitokea wa kumpa milioni moja anamchukua ,kiufupi Sana wanawake wote duniani Wana price tag ukifika bei unambeba hata awe mke wa mtu,
Ahahahah mambo ya Gwanseri haya, mushungute, kanyamaganda......una point mkuu usikilizwe
 
Kwao itakua uchumi siyo mzuri Mwanamke kama kwao hakuna shida anakua na furaha, fikiria Kwao njaa na ametumia pesa yake kununua chakula chenu na wewe upo anona unakula na wakati huo kwao hawajala siku nzima au wanakula mlo mmja lazima anune.Ni muimu Vijana kabla ya kuoa au kutafuta Mwenza wa Maisha tujaribu kuchunguza familia za wenza wetu Tabia zao na Uchumi wao, Nashauri vijana kama Mchumba wako kwao Masikini si vizur kufunga nae ndoa, Kwasabu kipato cheng kitakua kinatibu ugonjwa usiopona ugonjwa wenyewe ni Umasikini, Mfano Utakuta Mke na mume Wanafanya kazi Mke Mshahara 350k na Mume 450K.
Sasa Mwanamke ana malengo ya kuwajengea Nyumba Wazazi wake na kuhudumia ndugu zake.
Duh
 
Mbona hatutao vijana wengi maana mpaka uje ukae sawa kiu humi tayari miaka 40
Muoe binti ambae kwao siyo tegemezi na wewe pia kwenu siyo tegemezi ata ukilipwa laki 5 kwa mwezi mtafanya malengo mazuri
 
Back
Top Bottom