Hivi ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo tu ndani ya nyumba kwa matumizi anaongea sana na kununa nuna?

Hivi ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo tu ndani ya nyumba kwa matumizi anaongea sana na kununa nuna?

Mrudishie pesa yake ndicho anachotaka.
Hana pesa yake , pesa ni zetu wote Mimi na yeye kwahiyo sirudishi na nashukuru anaelewa hilo na hawezi kuniambia huo upuuzi. Na kwasasa ametulia baada ya kugundua nimechukizwa na hiyo tabia.🤫
 
Hebu niambieni ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo kwaajili ya matumizi ya ndani ya nyumba Huwa anaongea sana maneno mengi halafu muda mwingi anakua na hasira na kununa nuna hovyo ?
Kuna case ilitokea hospitali dada anachangia familia yake mume alikua haendi kazini,huwezi amini yule dada akawehuka sababu ya mume wake hachangii chochote kwenye familia,kuwahoji watoto nao wanasema hivo hivo,yaani mwanaume kukosa pesa ni trigger ya mwanamke kupata magonjwa ya akili,daaah Dunia hadaaa hii
 
Yaani upewe chipopo bure na kulishwa ulishwe aaahhh ngangamala - mkeo atasaidia tu tena akijisikia - mji wako huo ndugu.
 
Kuna case ilitokea hospitali dada anachangia familia yake mume alikua haendi kazini,huwezi amini yule dada akawehuka sababu ya mume wake hachangii chochote kwenye familia,kuwahoji watoto nao wanasema hivo hivo,yaani mwanaume kukosa pesa ni trigger ya mwanamke kupata magonjwa ya akili,daaah Dunia hadaaa hii
Hawa. Viumbe tuishi nao kwaakili sana nimejifunza Mimi hata baadhi ya mapato yangu siweki wazi ni wabinafsi sana.
 
Back
Top Bottom