mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 954
- 1,469
Hawa ndiyo wake zetu dogo, msikilize, utajifunza mengiZama zinabadilika mdogo wangu. Wewe endekeza mambo ya 1984 mwaka huu wa 2024, utakuja kusimulia hapa..
Ahahahah mambo ya Gwanseri haya, mushungute, kanyamaganda......una point mkuu usikilizweKiasili mwanamke kaumbwa na tamaa , wivu, na ubinafsi plus uchoyo , hivo ni rahisi kwa mwanaume kumtunza mke wake ambaye Hana kazi kwa miaka 10, wewe mwanaume ukiyumba miezi miwili akakuhudumia anaanza na dharau kwako na watu wako, mwanamke hajawahi kutosheka iwe amesoma au hajasoma na ndio maana kama Unampa 10k akija wa laki moja anamchukua na kama Unampa laki moja akitokea wa kumpa milioni moja anamchukua ,kiufupi Sana wanawake wote duniani Wana price tag ukifika bei unambeba hata awe mke wa mtu,
DuhKwao itakua uchumi siyo mzuri Mwanamke kama kwao hakuna shida anakua na furaha, fikiria Kwao njaa na ametumia pesa yake kununua chakula chenu na wewe upo anona unakula na wakati huo kwao hawajala siku nzima au wanakula mlo mmja lazima anune.Ni muimu Vijana kabla ya kuoa au kutafuta Mwenza wa Maisha tujaribu kuchunguza familia za wenza wetu Tabia zao na Uchumi wao, Nashauri vijana kama Mchumba wako kwao Masikini si vizur kufunga nae ndoa, Kwasabu kipato cheng kitakua kinatibu ugonjwa usiopona ugonjwa wenyewe ni Umasikini, Mfano Utakuta Mke na mume Wanafanya kazi Mke Mshahara 350k na Mume 450K.
Sasa Mwanamke ana malengo ya kuwajengea Nyumba Wazazi wake na kuhudumia ndugu zake.
Muoe binti ambae kwao siyo tegemezi na wewe pia kwenu siyo tegemezi ata ukilipwa laki 5 kwa mwezi mtafanya malengo mazuriMbona hatutao vijana wengi maana mpaka uje ukae sawa kiu humi tayari miaka 40
Kumpata sass huyo mrembo awe hivyo na awe na sura na tako piaMuoe binti ambae kwao siyo tegemezi na wewe pia kwenu siyo tegemezi ata ukilipwa laki 5 kwa mwezi mtafanya malengo mazuri