Hivi ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo tu ndani ya nyumba kwa matumizi anaongea sana na kununa nuna?

Hivi ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo tu ndani ya nyumba kwa matumizi anaongea sana na kununa nuna?

Kiasili mwanamke kaumbwa na tamaa , wivu, na ubinafsi plus uchoyo , hivo ni rahisi kwa mwanaume kumtunza mke wake ambaye Hana kazi kwa miaka 10, wewe mwanaume ukiyumba miezi miwili akakuhudumia anaanza na dharau kwako na watu wako, mwanamke hajawahi kutosheka iwe amesoma au hajasoma na ndio maana kama Unampa 10k akija wa laki moja anamchukua na kama Unampa laki moja akitokea wa kumpa milioni moja anamchukua ,kiufupi Sana wanawake wote duniani Wana price tag ukifika bei unambeba hata awe mke wa mtu,
Wio wote. Mbona mama zetu wamezeekeana na baba zetu. Sio kila fikra yako inakua na ukweli.
 
Unyama sana mwaisa
Ah bro nilishajua mie siku hizi naendesha maisha yangu kikompyuta. Yes or no basi.
Mwanamke namlisha alafu aniletee dyokofyoko mie siwezi.
Its alway my way or the highway.
Muhimu najua mie nina roho nzuri siwezi muonea mwanamke ila tuu afuate misimamo yangu. Ata yeye nitampa ruhusa ya kuchepuka mara 4 kwa mwaka maan kibamia nacho kinachosha😜
 
Hebu niambieni ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo kwaajili ya matumizi ya ndani ya nyumba Huwa anaongea sana maneno mengi halafu muda mwingi anakua na hasira na kununa nuna hovyo ?

1. Wanawake wameumbwa ni wabinafsi ipo kwenye nature yao

2. Mwanamke anatakiwa kupokea si kutoa
 
Ah bro nilishajua mie siku hizi naendesha maisha yangu kikompyuta. Yes or no basi.
Mwanamke namlisha alafu aniletee dyokofyoko mie siwezi.
Its alway my way or the highway.
Muhimu najua mie nina roho nzuri siwezi muonea mwanamke ila tuu afuate misimamo yangu. Ata yeye nitampa ruhusa ya kuchepuka mara 4 kwa mwaka maan kibamia nacho kinachosha😜
Ukimwi sasa tutapona kweli. ?
 
Katumia elf 70 Mimi sikuwepo kama siku 3 hivi na kweli sikuacha fedha ya matumizi ila chakula kilikuwepo ndani gesi ipo , umeme upo ila nimekuja kukuta malalamiko sana anasema vitu vidogo vidogo amenunua mpaka ameandika kwenye daftari. Aisee
Fukuza huyo mwanamke hamna binadamu hapo kuna shetani tuu hapo
 
Back
Top Bottom