Jirani ulitishaa, manake sio kwa mkong'oto huo uliotembezaMleta mada unanikumbusha mbali sana 1981 ama 1982 kama sijakosea kuna dogo flan aliingia anga zangu kijijin huko mbarali kwa kumtongoza mchepuko wangu. Nilitembeza vitasa kijiji kizima kwa madogo wote wenye umri kama wake. Maumiv makal sana niliwakabiz kwa kosa la mtu mmoja. Yan nilikuwa na bwaka nikiibuka 10 ardhin nikizama nikichomoza 20 wengine chali. Nikamchukua dogo mwengine mwembamba hiv nikamtumia kama fimbo kwa kuwacharaza. Ila kwasasa nimejikita zaid kusaka hela uzee nao ndio huo. Ila miaka iyo ya themanini nilikuwa mtemi sana
Hahaha nimecheka sana ukute hata hiyo 1981 ulikua hujazaliwa
At least wewe umejaribu kuongea ukweli japo mwishoni umejaribu kudanganya kuliko wakongwe wenzio ambao wao walikua wababe tu kipindi hicho...
Hahahaaaaaaa!! Daaaah! Nimecheka kweli Aisee!!mhhhh, wanakijiji walikuwa wanajua lugha kweli?
Nakumbuka miaka ya 80-90 ilikuwa jambo la kawaida kukuta jamaa wanapigana mitaani halafu watu wanashangilia sana.
Yaani ukiwa mtemi au gangwe basi unaonekana wa maana sana. Hata baadhi ya disco ilikuwa lazima ziishe kwa ngumi.
Kwa wale wa Iringa mtawakumbuka kina cool 9, shedadi, Ray nk
Wewe enzi zako ulibondwa au ulibonda?Siku hizi watu wanapigana nyuma ya keyboards.
Too many pussies and sore vaginas.
Wewe enzi zako ulibondwa au ulibonda?
Mmh na ubabe huo utaning'oa meno bure nishindwe kula kitimotoNijaribu uone halafu ndo utapata jibu...
Mmh na ubabe huo utaning'oa meno bure nishindwe kula kitimoto
Eti eeh... We utambonda juu afu mi ntamshuhulikia chini. TunamchangiaMama nakufollow kimya kimya ukidundwa naingilia ugomvi...niliwahi kupigana miaka ya 60kwa hiyo nina experience!
Watu wanatembea kumbe ndani mabua wameliwa na mchwa. Ukipiga kidogo mtu anapukutika. Lakini pia siku hizi watu wamestaarabika.Kupigana na mtu ni kupotezeana Muda WA Kutafuta pesa pia siku hizi watu wameshakufa wanasubiri kuzikwa tuuu, Ngumi moja mtu chali
Watu wanapigana na maisha
Eti eeh... We utambonda juu afu mi ntamshuhulikia chini. Tunamchangia