Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Nakubari, maelezo yamenyookaNeno Mkuu kidogo linaweza kutumiwa kwa jinsia zote mbili maana hizi Id zetu feki ni ngumu kujua Me na Ke... ikiita mtu Mkuu kwa jinsia yoyote ile hawez leta makasiriko
Unique Flower π€Ila humu wanaume wengi wameoa,wengi wanamazulia period
MkuuNgoja wakuu waje wakujibu mkuu
Heshima yako pia mkuu Saint AnneHeshima yako Mkuu
Neno mkuu means respect and peaceful FaizaFoxyHilo neno la kujidharaulisha hutumiwa na wale wenye asili ya utumwa tu.
Kama neno "naomba" linavyotumiwa na wale waliojazwa ujinga (brainwashed) wa uombaomba aka Watanzania wengi.
Mkuu me ni mvivu wa kusoma πMkuu umesona horror book ya CAG?
Perfect π―Wacha tafsir mbaya wew, hilo Neno liko vzr kabsa na linatumika vzr, kwanza linatumika kumpa heshima yule unayeMtag ama unayemreply ktk thread.
[emoji117] Pili kama walivyosema hao wengine neno mkuu ni mbadala wa majina&identity zisizomuhusu mwana JF kwa ID yake, mfano wewe humu kwa wasiokujua hawawezi kukuita Mjomba, shangazi, mzee baba, dingi, brother, sister, dada, kaka ama vyovyote vile maana hawana uhakika na jinsia yako hivyo watatumia Neno "mkuu'' ambalo ni multipurpose linaitika ktk jinsia zote.
[emoji117] Tatu Neno mkuu linaipa sifa JF kuwa na Utukufu wake wa Members ambao kweli ni great thinkers na kujitofautisha na platforms zingine huko za kijamii ambazo watu huitana kwa majina ya kejeli&utani&dharau, humu wote mnatambulika kama WAKUU yaana hata wale vichwa panzi wasiopenda kutumia akili humu hawabaguliwi bado ni WAKUU kwa maana great thinkers.
Hilo ni jibu langu kwako MKUU ukiona hupendezwi na namna ya huu muito hamia kwa wenzako wa Twetter kule wote wanaharakati.
Mkuu MAWEED πPopote ulipo wewe ni MKUU NDUGU YANGU
Muungwana FaizaFoxy nakusalimiaπKwako Badala ya neno "mkuu" tutumie "Muungwana"??
Yaani; Muungwana Faizafoxy---??
πππππMkuu Mo mp5 Naheshimu uwepo wako mkuunduguyangu
Mbona mkuu tumeanza kulitumia kitambo sana tangu ikiwa inaitwa jamboforums au wewe ni mgeni?Nimekuwa humu kwa kipindi kidogo lakini hili la kuitana 'Mkuu' limekuja tu. Sijui kwanini wakuu?
Ila Da maua jaman, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila humu wanaume wengi wameoa,wengi wanamazulia period
Nimefanyaje??Ila Da maua jaman, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya bhanaa. [emoji23][emoji23][emoji23]Nimefanyaje??
Sema basi bestHaya bhanaa. [emoji23][emoji23][emoji23]