Nyaja zote za kiuchumi, kijamii, ndo mana vijana wakiume hawana mbele wala nyuma, they have nothing to showUnazungumzia kusahaulika kwenye nini hasa? Maana inawezekana tunazungumzia nyanja tofauti..
Usinilishe maneno sijasema biblia imepitwa na wakati stick to my content kutetea hoja huwa nashangaa mkibanwa na jambo mnakimbilia maandiko think outside the box ili mjadala uwe huru, maana wewe waweza kuwa msomaji na Mimi msomaji wa hyo bible na kila mtu akawa na mapokeo tofauti, ndio mijadala hii sipendi kuigiza dini ili kuwa na free mind. Uonevu hauhitaji biblia au misaafu aisee. Don't twist my word's to change the whole contents of my argument in here please.sasa hapo hapo unasema mtu anatumia biblia vibaya, hapohapo unasema biblia imepitwa na wakati kana kwamba sio tena swala la kutumia biblia vibaya ni swala la wakati.
anyway nimalizie tu kwa kusema tumekuwa programmed kubehave this way. sina la ziada hapo.
Mrembo uko duniani kumbe ?Ndo uhalisia namuache kulia lia huku kuhusu wanawake kama nyie ni wanaume kweli
Mi nafikiri angesimamia upande mmoja. Aidha usawa na kuyakataa hayo yanayoitwa maandiko matakatifu au kufuata hayo maandiko na kuachana na habari za usawa. Tatizo she wants to eat her cake and have it at the same time..hapohapo anaongezea kwa anasema biblia inawaonea.. basi tabu tupu.
Hivi kufikiri nje ya box ndio kuwa huru au ndio kufikiri nje ya mipaka ?Usinilishe maneno sijasema biblia imepitwa na wakati stick to my content kutetea hoja huwa nashangaa mkibanwa na jambo mnakimbilia maandiko think outside the box ili mjadala uwe huru, maana wewe waweza kuwa msomaji na Mimi msomaji wa hyo bible na kila mtu akawa na mapokeo tofauti, ndio mijadala hii sipendi kuigiza dini ili kuwa na free mind. Uonevu hauhitaji biblia au misaafu aisee. Don't twist my word's to change the whole contents of my argument in here please.
Kwahiyo wewe unaona hayo mambo yote kuwepo duniani ni sawa??
Hahaha!!! Mkuu ni vizuri ukawa na takwimu thabiti kusapoti hayo matamko yako. Au umeshafanya uchunguzi ukagundua vijana wote wa kike wana mbele na nyuma ?Nyaja zote za kiuchumi, kijamii, ndo mana vijana wakiume hawana mbele wala nyuma, they have nothing to show
Nduguzo mbona hawaji???Abee
Hata huko mitaani wanachangamsha magenge tuu. Hakuna aliye serious. Ndio maana wanaume hawaachi kufanya wanayoyafanya na nyie pia hamuachi.Ni kweli mkuu, lakini haya mambo yanaongelewa hata mitaani na siyo mitandaoni tu yaani inaonekana wanaume wako serious kabisa kulalamikia maovu ya wanawake utadhani wao ni watakatifu au labda wenzetu maovu yao yamepitishwa
Ok SawaHapana ninyi ndiyo wanafiki sisi tukikemea maovu tunakemea ya jinsia zote ila ninyi mnakemea ya jinsia yetu tu
Nyie Ndiyo mnatakiwa kujirekebishaNa siku mkifanikiwa kuyarekebisha maovu ya wanawake kwenye jamii mtatuambia
Tatizo she wants to eat her cake and have it at the same time..
Mambo?Kwa hiyo kuwa juu yetu, au kuwa mtawala ndio inawapa uhalali wa kufanya dhambi?
Au ndio mkifanya dhambi zinageuka kuwa "haki" huku zetu wanawake zinaonekana kinyaa?
Ok Sawa nikija tz ntakuchekNa wala hakuna anayetaka usawa ila huo utofauti haupo kwenye dhambi
Ndiyo maana mjadala wake unakuwa mgumu kwasababu hata yeye mwenyewe hajui anaposimamia..ha ha.. kabisa asee.
Tatizo lenu mnatembea na wavulana mnasema ni wanaumeNdo uhalisia namuache kulia lia huku kuhusu wanawake kama nyie ni wanaume kweli
Vijana watano na wanawake kumi wakipewa injini waipandishe vijana ndo watafanikiwa hilo unalinganishaje?Hiyo ni perception yako ka Mimi ninavoamini utofauti wa mwanaume na mwanamke ni maumbile tu ya uzazi the rest wote ni sawa
Mambo poa Manga ML.Mambo?
Kumbe uzi ni wa kiimani?kama ndivyo dhambi zinamhusu atakae zifanya.
Ukimuona mwanaume goigoi ujue ametokana na mama anaeshinda saloon badala ya kulea wanaeHamhitaji vyama lakini ndo mnapuputika sana kuliko wanawake nyie mumesahaulika sana matokeo yake mumeshaanza kubaki nyuma mambo mengi, yani sikuhizi mumekuwa magoigoi, after 10 to 20 years mtaanza kulia lia it will be too late